Tetesi: Kiongozi mwandamizi wa Hamas auawa katika shambulizi la leo katika kambi ya Al-Islam Nuseirat -Gaza

Tetesi: Kiongozi mwandamizi wa Hamas auawa katika shambulizi la leo katika kambi ya Al-Islam Nuseirat -Gaza

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
Taarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali kutoka nchi za kiarabu ambazo hazijathibitishwa zinasema Mohammed Deif ([emoji1193]Hamas's chief of staff ) ameuawa katika operesheni maalum iliyofanywa n jeshi la Israel (IDF[emoji1134]) iliyofanyika katika kambi ya wakimbizi Nuseirat iliyopp gaza mbayo imepelekea vifo vya wapalestina 210 na kuacha majerui 420, ambapo mateka 4 wa Israel waliokuwa wakishikiliwa na Hamas wefanikiwa kuokolewa.

Kwa mujibu wa vyanzo hivyo, inasemekana mwili M. Deif Upo mikononi mwa jeshi la Israel

Msemaji wa IDF alipoombwa kudhibitisha juu ya tukio hilo la kuuawa kwa M. Deif alikana taarifa hizo.
 
Deif kaondoka na watu 210 duh!. Israel Wana hasira Sana.
Aisee! 👆 👆 Israel Wana hasira Sana. 👉Israel Wana ghadhabu kali Sana.👉 Israel Wana usongo sana dhidi ya HAMAS. Israel kawa Izraeli kweli kweli.:somDied:
Mkuu; Hao watu 210 ni steki tupu =HAMAS alone au nyama na mifupa= HAMAS+Raia?
Halafu Majeruhi 420? Duh! Hicho bro; kinaitwa Kisago kitakatifu. Na mbado.
 
Nyie huwa hamkosagi visingizio hata siku moja? eti kuna wamarekani, kuna Waarabu wanafiki na blaa blaa nyingi.
Jeshi la America ndio walio sema wamefanya operation kwa kuwasaidia jeshi la Israel, we unadhani hakuna wapalestine wanafiki wanawapa infomation America na Israel.

We akili zako kweli bogo Israel mwenyewe amekiri hayo afu we unabisha.
 
Jeshi la America ndio walio sema wamefanya operation kwa kuwasaidia jeshi la Israel, we unadhani hakuna wapalestine wanafiki wanawapa infomation America na Israel.

We akili zako kweli bogo Israel mwenyewe amekiri hayo afu we unabisha.
Sijaona Taarifa hiyo ya Jeshi la America na mahali Israeli alipokiri hayo.
Nakubali kwamba inawezekana kabisa wapo Waplestina wanafiki ila ww ulisema Waarabu - Je, kila mwarabu ni Mpalestina?
 
Sema wale jamaa wanaokuwa na majeruhi hata mi huwa Nina mashaka nao kuwa ni Hamas wanaokuwa eneo la tukio
Ni waislam wa tz pekee ndio wanafurahia hii vita ila huko kwingine wanaomba iishe
 
1717866518173.png
 
Sijaona Taarifa hiyo ya Jeshi la America na mahali Israeli alipokiri hayo.
Nakubali kwamba inawezekana kabisa wapo Waplestina wanafiki ila ww ulisema Waarabu - Je, kila mwarabu ni Mpalestina?
What are American soldiers doing in Israel?
U.S. special operations forces are stationed in Israel and “actively helping the Israelis” in a number of areas, among them efforts to “identify hostages, including American hostages,” a Department of Defense official
 
What are American soldiers doing in Israel?
U.S. special operations forces are stationed in Israel and “actively helping the Israelis” in a number of areas, among them efforts to “identify hostages, including American hostages,” a Department of Defense official
Halafu eti wanajifanya sizi faya wahuni sana hawajamaa wako radhi Gaza nzima wafe kisa watu 120 mbwa hawa. Lakini nachowapendea Hamasi hii ngoma haitakwisha hivi hivi wakiisha mateka watachukua wengine na mzunguko utaendelea, hakuna amani kwenye chuma. Chuma dawa yake ni chuma.
 
Mmepoteza askari 10 mmoja ni officer wa special force kwa kupata matekwa 4 tena kwa kusaidiwa na America kutumia warabu wanafiki ndio mnajisifu, afu katika hao matekwa wanne, walikuwepo wengine wamekufa Israel kauwa matekwa wake wengine sa hu si ujinga😄
Associated risk....
 
Back
Top Bottom