Ukiniwekea HUKUMU aliyotoa muham mad aka allah Kwa mashoga zaidi ya KUWARUHUSU Wafumuane Malinda tuwekeane miadi humu unisilimishe!
👇👇
وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا
[ AN-NISAAI - 16 ]
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.
Umar dhamira ilimsuta baada ya KUMUINGILIA mkewe kinyume cha maumbile!
Akamuendea Mtume Ili apate ushauri!
Anasimulia!
👇👇
من جامع الترمذي:
«يروي ابن عباس أن حضرة عمر ذهب قبل رسول الله (ص) وقال: يا سيدي هلكت! فقال رسول الله (ص): ما الذي أهلكك؟ أجاب عمر الليلة الماضية لقد مارست الجنس الشرجي. فلم يجب رسول الله (ص) على عمر، فأنزل الله عز وجل هذا الوحي: «نساؤكم مثل الحرث لكم؛ فأتوا حرثكم متى شئتم وكيف شئتم. كلمة "كابول ودبر" (يتم قبول الدبر) ".
جامع الترمذي، باب التفسير ج 2، ص 382، آية حارس.
min jamie altirmidhi:
<<yrwi abn eabaas 'ana hadrat eumar dhahab qabl rasul allah (s) waqala: ya sayidi hilikat! faqal rasul allah (sa): ma aladhi 'ahlakaka? 'ajab eumr allaylat almadiat laqad marasat aljins alsharaji. falam yajib rasul allah (s) ealaa eumra, fa'anzal allah eaza wajala hadha alwahi: <<nisawukum mithl alharth lakam; fa'atau harthakum mataa shitum wakayf shitum. kalima "kabul wadabar" (yatum qabul aldabru) ".
jamie altirmadhi, bab altafsir j 2, s 382, ayat haris.
kutoka kwa Jami
al-Tirmidhiy:
“Ibn Abbas anasimulia kwamba Hadhrat Umar alikwenda mbele ya Mtume (s) na “Bwana mimi nimeangamizwa!’. Rasulullah (s) akauliza ‘kitu gani kimekuangamiza?’. Umar alijibu jana usiku nilifanya ngono ya mkundu. Mtume (s.a.w.w.) hakumjibu Umar, kisha Allah (s.w.t.) akateremsha wahyi huu “Wake zenu ni kama konde zenu; basi ikaribieni konde zenu mtaka!vyo maneno ‘kabool wa Dhabar’ mkundu unakubalika”
Jami al Tirmidhi, Bab al Tafseer Juzuu ya 2, ukurasa wa 382, ‘Ayata Hars’.
Pia mungu wao amewapa wepesi kama muislamu AMEINGILIWA IMA AMEINGILIA NA Maiti, Mnyama, Mtoto, Kuntha, Kifisifisi...Waoge Kata.3!
Mungu wa Wakristo Ameagiza hili!
👇👇
Leviticus 20:13
[13]Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
. Jeremiah 2:22
[22]Maana ujapojiosha kwa magadi, na kujipatia sabuni nyingi, lakini uovu wako umeandikwa mbele zangu, asema Bwana MUNGU.
1 Corinthians 6:9-10
[9]Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
[10]wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
Hakuna Aya katika Biblia Takatifu Inayo Fundisha Uchafu huo!
Hivyo wanaofuata na kuuishi ushoga wanafuata na Kuishi Ilimu Islamu!
Sijui nani anaye kudan'gan'ya eti uislam unaruhusu kuingilia wake zao nyuma 😄
SOMA WEWE KICHAA ACHA KUDANDIA STORY ZA UWONGO.
UHARAMU WA KUMUINGILIA MKE KINYUME NA MAUMBILE (NYUMA)
Ama tendo la ndoa ni lazima litekelezwe kwa mujibu wa tulivyofundishwa na Uislamu. Allaah Aliyetukuka Anatuambia:
"Wakishatwaharika basi waendeeeni katika pale Alipokuamrisheni Allaah. Hakika Allaah Huwapenda wanaotubu na Huwapenda wanaojitakasa. Wake zenu ni konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo" (2: 222-223).
Na kuziendea konde zenu mpendavyo, si sehemu ya nyuma, bali ni sehemu ambayo inapatikana uzazi na ndio ikafananishwa na konde/ shamba kwa sababu shamba hulimwa na kuota mazao ambayo kwayo hupatikana mavuno.
Kwa hivyo, ni ubaya sana kwa mwanamume kumwendea mkewe kwa nyuma na athari yake ni kubwa kwani inampatia shida sana mwanamke wakati wa kuzaa na matatizo mengine. Pia inaleta madhara ya kiafya, inakwenda kinyume na maadili matukufu na hii ni tabia mbaya sana.
Ama katika Dini yetu, hili ni jambo lililokatazwa kwa Aayah tuliyoitaja hapo juu na Hadiyth zifuatazo:
1. "Allaah Hatomtazama mwanamume mwenye kumuingilia mkewe kwa nyuma" (an-Nasaaiy na Ibn Hibbaan kwa Isnadi nzuri).
2. "Amelaaniwa mwenye kumjia mwanamke kwa nyuma" (Ahmad, Abu Daawuud na Ibn 'Adiy).
3. "Mwenye kumuingilia mwenye hedhi au mwanamke kwa nyuma au kumuendea mchawi na kumuamini kwa anayosema basi amekufuru kwa aliyoteremshiwa Muhammad" (Abu Daawuud, at-Tirmidhiy na Ibn Maajah, na Isnadi yake ni Sahihi).
4. "Twaawuus amesema: 'Ibn 'Abbaas aliulizwa kuhusu mtu anaye muingilia mkewe kwa nyuma'. Akasema: 'Huyu ananiuliza kuhusu ukafiri'" (an-Nasaa'iy).
((لا يَنْظُرُ اللَّهُ إلى رَجُلٍ أَتَى امْرَأَةً في دُبُرِهَا))
((Allaah Hatomtazama mwanamume anayemuingilia mwanamke kwa nyuma))[4]
(( مَلْعُون مَنْ ياَتِي النِّسَاءَ فِي مَحَاشِهِنَّ)) ( يعني : أدبارهن)
((Amelaaniwa anayewaendea wanawake katika njia zao za nyuma))[5]
((مَنْ أَتى حَائِضاً أَوِ امْرَأَةً فِي دُبُرِها أَوْ كَاهِناً فَصَدَقَهُ بِمَا يَقُولُ فقدْ كَفَرَ بمَا أُنْزِلَ عَلَى مُحَمَّدٍ))
((Atakayemuingilia mwenye hedhi au mwanamke kwa nyuma au atakayemuendea kahini (mtabiri) akamuamini anayomwambia atakuwa amekufuru yaliyoteremshwa kwa Muhammad))[6]
: عن خُزَيْمَةَ بنِ ثابتٍ أَنَّ رجلاً سَأَلَ النبيَّ عن إتيانِ النساءِ في أَدْبَارِهِنَّ أو إتيانِ الرجلِ امْرَأَتَهُ في دُبُرِهَا، فقالَ النبيُّ: «حلالٌ»، فلمَّا وَلَّى الرجلُ دعاهُ أَوْ أَمَرَ بِهِ فدُعِيَ فقالَ: «كيفَ قلتَ، في أيِ الخُرْبَتَيْنِ أَوْ فِي أَيِّ الخُرْزَتَيْنِ أو في أيِّ الخُصْفَتَيْنِ أَمِنْ دُبُرهَا في قُبُلِهَا فَنَعَمْ، أَمَّا مِنْ دُبُرِهَا في دُبُرِهَا فَلاَ، إنَّ اللَّهَ لا يَسْتَحْيِي من الحقِّ، لا تَأْتُوا النساءَ في أَدْبَارِهِنَّ»
Imetoka kwa Khuzaymah ibn Thaabit رضي الله عنه "Mtu mmoja alimuuliza Mtume kuhusu kuwaingilia wanawake kwa nyuma au mwanamume kumuendea mkewe kwa nyuma yake. Akasema Mtume kuwa ni ((Halaal)). Alipoondoka Mtume alimwita au aliamrisha aitwe, akasema: ((Ulisema nini? Njia gani kati ya tundu mbili umemaanisha? Ikiwa ulimaanisha kutoka kwa nyuma na kumuingilia mbele (sehemu yake ya siri ya mbele) basi sawa. Lakini ikiwa umemaanisha nyuma katika sehemu yake ya siri ya nyuma basi hapana! Hakika Allaah Haoni hayaa katika haki. Msiwaingilie wake zenu katika njia zao za nyuma))[3]
: عن ابن عباس رضي الله عنهما قال: جاء عُمَر بن الخطاب إلىٰ رسول الله فقال: يا رسول الله، هلكتُ! قال: ((وما الذي أهلكك؟)) قال: حَوَّلْتُ رَحْلِي الليلة، فلم يردَّ عليه شيئاً، فأُوْحِيَ إلىٰ رسول الله هذه الآيةُ: ((نساؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنىٰ شئتم)) يقول: ((أَقْبِلْ، وأَدْبِرْ، واتقي: الدُّبر، والحَيضة))
Imetoka kwa Ibn 'Abbaas رضي الله عنهما ambaye amesema: Alikuja 'Umar ibnul-Khatwtwaab kwa Mjumbe wa Allaah akasema: Ewe Mjumbe wa Allaah, Nimeangamia! Akasema: ((Nini kilichokuangamiza?)) Akasema: Nimepindua kipando changu usiku. Lakini (Mtume) hakumjibu kitu.
عن ابن عباس رضي الله عنهما قال: جاء عُمَر بن الخطاب إلىٰ رسول الله فقال: يا رسول الله، هلكتُ! قال: ((وما الذي أهلكك؟)) قال: حَوَّلْتُ رَحْلِي الليلة، فلم يردَّ عليه شيئاً، فأُوْحِيَ إلىٰ رسول الله هذه الآيةُ: ((نساؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنىٰ شئتم)) يقول: ((أَقْبِلْ، وأَدْبِرْ، واتقي: الدُّبر، والحَيضة))
Imetoka kwa Ibn 'Abbaas رضي الله عنهما ambaye amesema: Alikuja 'Umar ibnul-Khatwtwaab kwa Mjumbe wa Allaah akasema: Ewe Mjumbe wa Allaah, Nimeangamia! Akasema: ((Nini kilichokuangamiza?)) Akasema: Nimepindua kipando changu usiku. Lakini (Mtume) hakumjibu kitu.
Akateremshiwa Aayah hii ((Wake zenu ni kama konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo)) Akasema: ((Kwa (mtindo) wa mbele, nyuma lakini chunga kumuingilia (sehemu ya maumbile ya nyuma) na akiwa katika hedhi))[2]
Imetoka kwa Ummu Salamah رضي الله عنها kwamba: Muhaajiriyn walipokuja Madiynah kwa Ma-Answaar waliwaoa wanawake wao. Wanawake wa Muhaajiriyn walikuwa wakilala kifudifudi (wakati wa kujimai na waume zao) na wanawake Ma-Answaar hawakuwa wakifanya hivyo. Mwanamume mmoja Muhaajir alitaka mkewe afanye hivyo akakataa. Akaenda kwa Mtume lakini aliona hayaa kumuuliza swali hilo, kwa hiyo Ummu Salamah alimuulizia kisha Aayah ikateremshwa inayosema: ((Wake zenu ni kama konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo)). Mtume akasema: ((Hapana! (Sio kila njia upendayo) bali isipokuwa ni pale penye tundu)) (la mbele) [1]