Tetesi: Kiongozi mwandamizi wa Hamas auawa katika shambulizi la leo katika kambi ya Al-Islam Nuseirat -Gaza

Tetesi: Kiongozi mwandamizi wa Hamas auawa katika shambulizi la leo katika kambi ya Al-Islam Nuseirat -Gaza

Askari akifa vitani ni jambo la kawaida . Hata wangeokoa raia mmoja wakafa kumi bado ni jambo la kawaida kwenye vita. Unatakiwa kujua thamani ya raia 1. Kumbuka raia 210 wamesababisha zaidi ya waelfu ya wanajeshi kupelekwa front line.

Mwanajeshi anaeenda vitani kuna mawili kufa au kuua kwa ajili ya ushindi. Ndo maana kwenye vita akifa raia ni kosa na hata uchunguzi unaweza fanyika.


Tusishabikie hii vita . Ujinga wa Hamas na wanao washabikia umefharimu wasio na hatia. Hakuna ushindi wowote wanao upata hapa. Wamepoteza kila kitu. Tusidanganyane hapa. Waachie mateka wote kusitisha vifo vya watu wasio na hatia.

Pia wasitumie raia kama ngao ya kujikinga kwani wanapelekea mauaji. Wanachofanya wanapoteza musa na kusogeza tarehe za misiba mbele lakini watafikiwa
Hizo ni ndoto msikie huyu msichana wa kingeteza anasema nini kuhusu kufanikiwa kuokoa hao hostages 4, je akilini mwako watafanikiwa kucheza hivi sidhani.

Usaidizi wa USA kujidai anapeleka msada umeisha julikana na wanafahamu wazi hawawezi tena kufanikiwa kuokoa mtekwa kwa njia walio tumia, kwa walio baki isipokuwa kwa masharti ya Hamasi.

Kama unajua umuhimu wa raia we unataka maisha yako Israel auwe wa Palestine bila makosa yoyote yale, na Hamasi kuingia Ihilo taifa la srael mlio pewa na uingereza kwa kudhukumu wa Palestine ni kosa, hapo ndio mnatuonyesha ujinga wenu.


View: https://youtu.be/ttPlOIqttsc?si=pAT9bMOoKBvVNyAd
 
Mmepoteza askari 10 mmoja ni officer wa special force kwa kupata matekwa 4 tena kwa kusaidiwa na America kutumia warabu wanafiki ndio mnajisifu, afu katika hao matekwa wanne, walikuwepo wengine wamekufa Israel kauwa matekwa wake wengine sa hu si ujinga😄
''Mmepoteza?'' Sema ''wamepoteza''. Hakuna wayahudi humu.

Na wewe uache kujikuta ni Hamas kenge wewe! Sisi wote ni wabongo tu.
 
Mtoa mada mwendawazimu ni wewe unaye muona Netanyahu mzima wa akili.

Afu Mohamed Al Dheif hata akifa ndio kitu gani wako wengine nyuma yake, afu hio naona ni ndoto kama mnaota vile [emoji1]
Huna akili. Kumbe kuna wapumbav wengi.humu angekua mama ako anatumiwa kama ngao na magaidi kujificha ili yeye afe ili gaidi lipone au familia yako ingekua imetekwa ungeongea huu upuuzi,, fikiria gaidi.mmoja anaondoka.na maiti zaidi ya 200 za wasio na hatia, unachoshangilia hapo ni nini..huna akili.
 
Mmepoteza askari 10 mmoja ni officer wa special force kwa kupata matekwa 4 tena kwa kusaidiwa na America kutumia warabu wanafiki ndio mnajisifu, afu katika hao matekwa wanne, walikuwepo wengine wamekufa Israel kauwa matekwa wake wengine sa hu si ujinga[emoji1]
We kweli mbwa !
 
Sema wale jamaa wanaokuwa na majeruhi hata mi huwa Nina mashaka nao kuwa ni Hamas wanaokuwa eneo la tukio
Ni waislam wa tz pekee ndio wanafurahia hii vita ila huko kwingine wanaomba iishe
Maislamu mapumbavu tu haya maskini!
 
Halafu eti wanajifanya sizi faya wahuni sana hawajamaa wako radhi Gaza nzima wafe kisa watu 120 mbwa hawa. Lakini nachowapendea Hamasi hii ngoma haitakwisha hivi hivi wakiisha mateka watachukua wengine na mzunguko utaendelea, hakuna amani kwenye chuma. Chuma dawa yake ni chuma.
Nyie kweli mbwa! Ok endeleeni kuwatumia wanawake na watoto kama ngao yenu mkifikiri mtaachwa, kitu mnachojisifia nacho mkiuawa kama.mammbwa mnajisifu mmeondoka na mamia ya maiti za wanawake na watoto..kwanza wapalestina wameanza kutoa taarifa nyeti kwa majeshi kuhusu hayo mammbwa hamavi mana wamechoka kutumiwa kama.ngao na hao mbwa. Subirini muone nyie hamavi wa temeke
 
Huna akili. Kumbe kuna wapumbav wengi.humu angekua mama ako anatumiwa kama ngao na magaidi kujificha ili yeye afe ili gaidi lipone au familia yako ingekua imetekwa ungeongea huu upuuzi,, fikiria gaidi.mmoja anaondoka.na maiti zaidi ya 200 za wasio na hatia, unachoshangilia hapo ni nini..huna akili.
Umeongea ukweli mchungu sana, gaidi hathamini uhai wa watu wengine.
 
Ah! Hamna msimamo. Mara mseme ni Special Forces Operantions, mara ni Delta Force ... sasa Delta force na Special Operations ni kitu kile kile au ni vitu viwili Tofauti? OK, sasa semeni ni Marine seals au Blackwater au........ruksa.
Wewe tafsiri unavojua ila marekani ndo kaingilia kati kuwasaidia wavaa pampas.
 
Mtoa mada mwendawazimu ni wewe unaye muona Netanyahu mzima wa akili.

Afu Mohamed Al Dheif hata akifa ndio kitu gani wako wengine nyuma yake, afu hio naona ni ndoto kama mnaota vile 😄
Utakufa na janaba dogo!
Sababu ushuzi wa shetani Hauna KATA.3
👇👇
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
halafu unaumia ukiwa wapi????
 
Taarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali kutoka nchi za kiarabu ambazo hazijathibitishwa zinasema Mohammed Deif ([emoji1193]Hamas's chief of staff ) ameuawa katika operesheni maalum iliyofanywa n jeshi la Israel (IDF[emoji1134]) iliyofanyika katika kambi ya wakimbizi Nuseirat iliyopp gaza mbayo imepelekea vifo vya wapalestina 210 na kuacha majerui 420, ambapo mateka 4 wa Israel waliokuwa wakishikiliwa na Hamas wefanikiwa kuokolewa.

Kwa mujibu wa vyanzo hivyo, inasemekana mwili M. Deif Upo mikononi mwa jeshi la Israel

Msemaji wa IDF alipoombwa kudhibitisha juu ya tukio hilo la kuuawa kwa M. Deif alikana taarifa hizo.
Ni taarifa isiyokuwa na ukweli wowote.
Huyu ni mtaalamu mkubwa katika mipango ya vita kuliko majenerali wote wa Israel na mwanzoni tuliambiwa ndiye aliyelipanga tukio la oktoba 7 mwanzo mpaka mwisho na likafanikiwa.Picha hiyo ya mwanzoni mwa vita hata hikumtaja sana Yahya Sinwar kuliko huyu Injinia Mohammed Deif,Allah amuhifadhi.
Ingekuwa taarifa hii ni kweli basi Israel wangeshangilia kuuwawa kwake kuliko kushangilia hao mateka 4 waliookolewa.
 
Utakufa na janaba dogo!
Sababu ushuzi wa shetani Hauna KATA.3
👇👇
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
halafu unaumia ukiwa wapi????
We mimi life nayo ishi huwezi kuwa nayo hata siku moja eti naumia nikiwa wapi 😄

Hizo hadith zingine sijui mnaziokota wapi nacho fahamu kuna hadith sahihi ambaye Mtume Muhammad anasema Kama huna maneno mazuri ya kuongea bora unyamaze.

Sijui mnapotezwa na nani kucopy hadith fake na mnazitumia kwa point haziendani na lengo lake 😄
 
We mimi life nayo ishi huwezi kuwa nayo hata siku moja eti naumia nikiwa wapi 😄

Hizo hadith zingine sijui mnaziokota wapi nacho fahamu kuna hadith sahihi ambaye Mtume Muhammad anasema Kama huna maneno mazuri ya kuongea bora unyamaze.

Sijui mnapotezwa na nani kucopy hadith fake na mnazitumia kwa point haziendani na lengo lake 😄
Kambishie Mtume aka allah!
Mimi hayanihusu!
Mimi naburudika na mbuzi Katoliki na kushushia
 

Attachments

  • Screenshot_20240320-170538~2.jpg
    Screenshot_20240320-170538~2.jpg
    48.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240522-211631~2.jpg
    Screenshot_20240522-211631~2.jpg
    27.3 KB · Views: 2
Kambishie Mtume aka allah!
Mimi naburudika na mbuzi Katoliki na kushushia
Yani unataka kunionyesha una maisha mazuri kwa kupiga screen shot vyakula vya watu, we kweli njaa nimeamini.

Unasikia wewe sister hakuna hadithi zanamna hio mtume akaongea matusi eti anaye tukana anajambiwa na shetani hahaha 😆

Ungesema labda Usitukamne pale uko kwenye hamaki, au usitukane watu, au ukihamaki katawadhe sababu hamaki huwa inatokana na shetani hapo ningesema hizo kweli hadith za Mtume.

Lazima ufahamu Mtume Muhammad alikuwa hakeri watu, hatukani daima maneno yalikuwa mazuri na mwenye sifa nzuri huyo ndio Mtume Muhammad.
 
Sijaona Taarifa hiyo ya Jeshi la America na mahali Israeli alipokiri hayo.
Nakubali kwamba inawezekana kabisa wapo Waplestina wanafiki ila ww ulisema Waarabu - Je, kila mwarabu ni Mpalestina?
sio wanafiq mkuu ni vile tu wamechoka na hamasi wanaish kama wadudu saiv kwa sababu ya ujinga wa hamas sasa jiulize kamanda mwandamiz anaenda kujificha kwenye kambi za wakimbiz kama sio kuwatumia wapelestina kama ngao
 
sio wanafiq mkuu ni vile tu wamechoka na hamasi wanaish kama wadudu saiv kwa sababu ya ujinga wa hamas sasa jiulize kamanda mwandamiz anaenda kujificha kwenye kambi za wakimbiz kama sio kuwatumia wapelestina kama ngao
Hiyo ni kweli mkuu. Kambi za wakimbizi zina utaratibu wake. Sijui huyo kamanda aliwezaje kuingia humo kama sio kujidhalilisha. Inakuwaje mtu mzito kiasi hicho anaenda kuomba wakimbizi wamlinde? Inamaana walinzi wa HAMAS ndo kwishney au........ HAMAS hawaishi kufanya vituko. Majuzi kati hapo walienda kuwaomba akina mama wanaosubiria kujifungua kule Hospital ya Al shifa eti wawalinde. Hospitali ilipofumuliwa HAMAS wakadai eti IDF anaua akina mama na watoto.
HAMAS wamegeuzwa na IDF kuwa ni wapiganaji wanaohaha huku na kule kuokoa maisha/uhai wao. Mara wakaombe wanafunzi mashuleni wawalinde, mara wajiingiza kwenye nyumba za Raia na kuvalia baibui lakini kidume IDF akawafuata huko huko na HAMAS wakadai eti IDF anaua raia wasio na hatia. Dah! HAMAS sasa wamekuwa kamasi ni mwendo wa kupenga na kutupa kule.
 
Back
Top Bottom