kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
Wakuuu hizi ndio habari duniania
Israel 🇮🇱 kupitia kikosi makini kabisa
Imelipua makao makuu ya Isbollah mjini Beirut Lebanon 🇱🇧
Ikaenda na kichwa cha mkuu wao leo
Huku Waziri mkuu mwenye akili kuliko wote duniani Benjamin Netanyahu
Akiambia dunia Ukitupiga tunakupiga ,hakuna sehemu katka nchi ya Iran mfadhili mkuu wa Magaidi hatuwezi kufika
Kutoka na hutuba hiyo yenye viwango ambayo haijawai kutolewa na kiongozi yeyote Duniania iliwafanya mataifa yote ya Mashariki ya kati kususia Hotuba hii makini kabisa
Israel 🇮🇱 kupitia kikosi makini kabisa
Imelipua makao makuu ya Isbollah mjini Beirut Lebanon 🇱🇧
Ikaenda na kichwa cha mkuu wao leo
Huku Waziri mkuu mwenye akili kuliko wote duniani Benjamin Netanyahu
Akiambia dunia Ukitupiga tunakupiga ,hakuna sehemu katka nchi ya Iran mfadhili mkuu wa Magaidi hatuwezi kufika
Kutoka na hutuba hiyo yenye viwango ambayo haijawai kutolewa na kiongozi yeyote Duniania iliwafanya mataifa yote ya Mashariki ya kati kususia Hotuba hii makini kabisa