Kiongozi mwingine wa Magaidi kafyekelewa mbali leo huko Beirut makao makuu ya Isbollah Lebano

Kiongozi mwingine wa Magaidi kafyekelewa mbali leo huko Beirut makao makuu ya Isbollah Lebano

kibori nangai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,430
Reaction score
2,130
Wakuuu hizi ndio habari duniania

Israel 🇮🇱 kupitia kikosi makini kabisa
Imelipua makao makuu ya Isbollah mjini Beirut Lebanon 🇱🇧
Ikaenda na kichwa cha mkuu wao leo

Huku Waziri mkuu mwenye akili kuliko wote duniani Benjamin Netanyahu

Akiambia dunia Ukitupiga tunakupiga ,hakuna sehemu katka nchi ya Iran mfadhili mkuu wa Magaidi hatuwezi kufika

Kutoka na hutuba hiyo yenye viwango ambayo haijawai kutolewa na kiongozi yeyote Duniania iliwafanya mataifa yote ya Mashariki ya kati kususia Hotuba hii makini kabisa

 

Attachments

  • Screenshot_20240927_212427_YouTube.jpg
    Screenshot_20240927_212427_YouTube.jpg
    154.5 KB · Views: 5
Sasa na nyie nendeni muwakatalie waje kulima mboga zao hapa Tanzania.

Subirini, tutajua hatujui tunajua.
 
Wakuuu hizi ndio habari duniania

Israel 🇮🇱 kupitia kikosi makini kabisa
Imelipua makao makuu ya Isbollah mjini Beirut Lebanon 🇱🇧
Ikaenda na kichwa cha mkuu wao leo

Huku Waziri mkuu mwenye akili kuliko wote duniani Benjamin Netanyahu

Akiambia dunia Ukitupiga tunakupiga ,hakuna sehemu katka nchi ya Iran mfadhili mkuu wa Magaidi hatuwezi kufika

Kutoka na hutuba hiyo yenye viwango ambayo haijawai kutolewa na kiongozi yeyote Duniania iliwafanya mataifa yote ya Mashariki ya kati kususia Hotuba hii makini kabisa


Yaani vurugu zote hizi wakae makao makuu!!
 
Hu
Kiongozi mkuu wa Hezbollah mh Nasrallah hajauliwa katika shambulio la Makao makuu ya kikundi hicho

Source: BBC
Huyu siku zake za mwisho zinahesabika ukiangalia jinsi wasaidizi wake wanavyopukutika kwa Kasi basi na yeye kifo hakiko mbali
 
Sasa na nyie nendeni muwakatalie waje kulima mboga zao hapa Tanzania.

Subirini, tutajua hatujui tunajua.
Kenge wa CCM, hawaelewi dunia inavyokwenda, Rwanda anaelewa nguvu ya Israel, ndio maana, idara yake ya kijasusi, inatumia software kutoka Israel, kudukua simu za, viongozi wa, Afrika, hapa lazima anadukua ya huyu Bibi kizee wa, kizimkazi, USA, akiamua tuchapike, tutachapika vibaya Sana,
 
hata kama ni propaganda lakini kiukweli muarabu hamuwezi muisrael

anajisumbua sana ona vile anaua viongozi wao
sijasikia kiongozi yoyote wa israel alieuawa mpaka sasa
 
Huyu gaidi ni mpumbavu sana!

Wenzake walikuwa wanatoa mikwara wakiwa wanakula raha nje ya nchi zao mfano yule wa Hamas.

Kumbe yeye anazurura tu hapo hapo Lebanon
 
Back
Top Bottom