Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuuu hizi ndio habari duniania
Israel 🇮🇱 kupitia kikosi makini kabisa
Imelipua makao makuu ya Isbollah mjini Beirut Lebanon 🇱🇧
Ikaenda na kichwa cha mkuu wao leo
Huku Waziri mkuu mwenye akili kuliko wote duniani Benjamin Netanyahu
Akiambia dunia Ukitupiga tunakupiga ,hakuna sehemu katka nchi ya Iran mfadhili mkuu wa Magaidi hatuwezi kufika
Kutoka na hutuba hiyo yenye viwango ambayo haijawai kutolewa na kiongozi yeyote Duniania iliwafanya mataifa yote ya Mashariki ya kati kususia Hotuba hii makini kabisa
Huko Lebanon wenzio wesha anza sherehe za maziko ya Nasrallah hivyo
View: https://x.com/emilykschrader/status/1839807907736527259
Amka usije ukajikojolea. Rwanda aichape tz wewe jamaaaaaa unachekesha sana.Kenge wa CCM, hawaelewi dunia inavyokwenda, Rwanda anaelewa nguvu ya Israel, ndio maana, idara yake ya kijasusi, inatumia software kutoka Israel, kudukua simu za, viongozi wa, Afrika, hapa lazima anadukua ya huyu Bibi kizee wa, kizimkazi, USA, akiamua tuchapike, tutachapika vibaya Sana,