Kiongozi wa Al Qaeda, Ayman al Zawahiri auawa kwa shambulio la drone lililofanywa na Marekani

Kiongozi wa Al Qaeda, Ayman al Zawahiri auawa kwa shambulio la drone lililofanywa na Marekani

Si ndio maana nakuambia uache uongo. Utalipwaje pesa wakati haijathibitishwa kwamba mwili ni wa gaidi Osama Bin Laden???
Hebu rudi shule ukasome tena jinsi CIA wanavyolipa watu kwa kupata information. Tena wala usifike mbali tafuta za Zanzibar na TAnganyika tu.

Nadhani umepata hicho kisimu cha smartphone hivi juzi tu kwa hivyo unaona ajabu kila kitu.
 
US official, speaking on the condition of anonymity, said a drone strike was carried out by the CIA in the Afghan capital Kabul on Sunday
Huyu jamaa alikuwa Kabul ?...🙄🙄
 
Nimefuatilia taarifa ya habari ya Azam sikuona habari ya kuliwa kwa kiongozi namba mbili wa kundi la Al Qaeda.

Nimeona habari ya Bi Mkubwa Nancy Pelosi ziara yake Taiwan na uchaguzi wa Kenya.

Ama hii kwao sio habari pamoja na kutajwa kwa Ayman kama ni kinara wa mashambulizi ya Ubalozi wa USA Dar es Salaam na Nairobi mwaka 1998.
 
Habari ni nyingi za kutangaza
 
Nimefuatilia taarifa ya habari ya Azam sikuona habari ya kuliwa kwa kiongozi namba mbili wa kundi la Al Qaeda...
Pengine hawataki kuingizwa chaka. Mara nyingi maadui wa mabeberu huwa wanauwawa zaidi ya mara moja. Au wameonyesha maiti?
 
Ugaidi lazima udhibitwe kwa namna yoyote ile
 
Magaidi hawako salama kila mahali, ukiona ligaidi ambalo halijauliwa si kwamba ni lijanja na lina uwezo wa kujificha ila jua Marekani hajaona ulazima wa kuliua kwa wakati huo. Muda ukifika ni shaba basi.

Tunasubiri watakayemchagua naye awekwe kwenye orodha ya watafutwaji
Hata na wewe unauliwa na hao Wamrekani bila kujitambua
 
Back
Top Bottom