ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Wapo Watu ambao kutokana na kiburi cha nguvu madaraka na pesa huwa wanadhani wanaweza kumfanyia ubaya mtu yeyote mahali popote bila wao kupata adhabu yeyote kutoka kwa Mungu !!Kwanini Ndugu yangu?
Hawa ni watekaji na wauajiHawa Vijana wa hovyo wa CCM natamani wangeonywa juu ya haya matamshi Yao! Imagine huyu ni kiongozi wa CCM na anaongea haya publicly, kama ana uwezo wa kusema hivi hadharani, je huko sirini Wanaongea na kupanga mabaya Kiasi Gani?.
View attachment 3160396
CCM mbona wanatunyanyasa na MUNGU anaangilia tu?Ni
Wapo Watu ambao kutokana na kiburi cha nguvu madaraka na pesa huwa wanadhani wanaweza kumfanyia ubaya mtu yeyote mahali popote bila wao kupata adhabu yeyote kutoka kwa Mungu !!
Kinyume chake nimeshaona wengi wakiadhibiwa na Mungu na bado adhabu zinaendelea kuwafuata popote walipo πππ
Na Bado π³ππ
Mnyanyasaji yeyote mahali popote pale huwa hana amani moyoni mwake !CCM mbona wanatunyanyasa na MUNGU anaangilia tu?
Mbona dogo kaongea kistaarabu sana compared na wale mbugila wengine wa chama.Hawa Vijana wa hovyo wa CCM natamani wangeonywa juu ya haya matamshi Yao! Imagine huyu ni kiongozi wa CCM na anaongea haya publicly, kama ana uwezo wa kusema hivi hadharani, je huko sirini Wanaongea na kupanga mabaya Kiasi Gani?.
View attachment 3160396
Mbona hilo hajasema?Hawa Vijana wa hovyo wa CCM natamani wangeonywa juu ya haya matamshi Yao! Imagine huyu ni kiongozi wa CCM na anaongea haya publicly, kama ana uwezo wa kusema hivi hadharani, je huko sirini Wanaongea na kupanga mabaya Kiasi Gani?.
View attachment 3160396
CCM ni wajinga snMnyanyasaji yeyote mahali popote pale huwa hana amani moyoni mwake !
Na yeyote yule mwenye kukosa amani moyoni mwake huwa hana furaha !
Na yeyote yule mwenye kukosa furaha ya kweli huwa yumo kwenye lindi la mateso mpaka huwa anajiuliza ni kwanini alizaliwa !
Pesa Nguvu wala madaraka haviwezi kumletea mtu furaha !
Wenye kuwa navyo hivyo vitu wanajua nasema kweli maana vinawatokea !
Au nasema uongo ndugu zanguniii ????!! π±π€¦π½ββοΈ
Kwa mfano yule wa Kagera !! πMbona dogo kaongea kistaarabu sana compared na wale mbugila wengine wa chama.
UVCCM ya sasa wana vitambi kuliko wajumbe wa kamati kuu ya CCM. Hadi chipukizi nao wana vitambi.Wana moto haooo π
Ova
πUVCCM ya sasa wana vitambi kuliko wajumbe wa kamati kuu ya CCM. Hadi chipukizi nao wana vitambi.
Urudi darasaniMbona hilo hajasema?
Hii ndio Tanzania ilipofikia sasaHuyu hajakamatwa?
Mdude yuko ndani, Sativa ishi mwanangu!
GWM p series, za wakuu wa idara za Polisi mikoani, kila mkoa zinaenda 5, Kwa ajili ya uchaguzi sasa, na ujao maandaliziKuna mamia ya magari mapya yako barabarani kuelekea Dodoma leo na reg number PT 53..
Ya nini na digrii za heshima zipo?Urudi darasani
Wewe ni mtu wa ajabu sana. Yaani hapa kuna video clip na bado unadanganya! Kungekuwa hakuna video ungeandika uongo mara 1,000.Hawa Vijana wa hovyo wa CCM natamani wangeonywa juu ya haya matamshi Yao! Imagine huyu ni kiongozi wa CCM na anaongea haya publicly, kama ana uwezo wa kusema hivi hadharani, je huko sirini Wanaongea na kupanga mabaya Kiasi Gani?.
View attachment 3160396
Ni kampuni gani maana zinaonekana siyo ToyotaGWM p series, za wakuu wa idara za Polisi mikoani, kila mkoa zinaenda 5, Kwa ajili ya uchaguzi sasa, na ujao maandalizi
Siasa za bongo, sasa hivi zipoteza maana. Watu wanashindana kupata madaraka kwa namna yoyote ile. Wamesahau lengo kuu la siasa ni nini.Hawa Vijana wa hovyo wa CCM natamani wangeonywa juu ya haya matamshi Yao! Imagine huyu ni kiongozi wa CCM na anaongea haya publicly, kama ana uwezo wa kusema hivi hadharani, je huko sirini Wanaongea na kupanga mabaya Kiasi Gani?.
View attachment 3160396