Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar aondoka Gaza akiwa amevaa kama Mwanamke

Niliandika humu haya kwamba popote atakapoenda hata akienda uwani Sinwar lazima apige nikabu na viatu mchuchumio ili kumpoteza Mzayuni nikaonekana mwenzawazimu.

Akijaribu kutoka kichwa wazi lazima drones zifanye yake hawezi kuwa mzembe kama Haniyeh alijua kabisa ameacha kilio kwa jirani then anaenda kwenye sherehe za kuapishana.
 
Hizi thread za kanisani kama bibilia hazina ukweli.

Sinwar akiipiga hii hapo chini akaweka skuna moja matata lazima Mzayuni apoteane,anajua akiuza sura hakuna Yahudi ana muda wa kuinunua watamuua ndiyo maana amekuwa mbunifu.

Sheikh,mpe sifa zake ndugu yako.
 
N bado
 
Ukiona taarifa kama hizi kwa sisi tunaowaelewa vizuri wazayuni game limekaribia ulingonimaji ya shingo. Hamas wamawashika pabaya.
 
Hawajasema ameondoka Gaza.

Ametoka mara kadhaa kwenye tunnels na kujichanganya na raia akiwa amevaa kama mwanamke.

January walimkosakosa huko kwenye tunnels walikuta kaondoka kahawa yake ikiwa bado ya moto.
Huyo kamanda hawawezi kumpata tangu amekua kiongozi baada ya Ismail Haniye Israel unapata tabu sana.
 
Mbona
Mbona mnatusimulia bila picha ? Hao waliomuona hawakua na camera ?
 
Nachukia habari zenye uongo ndani yake...
 
Na bado, watavaa hadi sidiria
wakiristo wa Jf bana. hukos shule mkienda kucheza rede na mdako?ngoja nkuulize kitu

Marekani anahaha kutisha vita. kama Isreal anapata ushindi mkubwa kama huyo marekani ahangaike kuwataka Hamas wakubali mkataba wa kusitisha vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…