Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Tuombeane aman siyo vifoHuyo gaidi akiishi zaidi ya Desemba mwaka huu basi ataishi sana maanake Mossad kwa dili kama hizo hawana mshindani duniani na waarabu ni mashahidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombeane aman siyo vifoHuyo gaidi akiishi zaidi ya Desemba mwaka huu basi ataishi sana maanake Mossad kwa dili kama hizo hawana mshindani duniani na waarabu ni mashahidi.
Wewe bwege nenda tena kwenye post #1 kaangalie hii thread ni ya tarehe ngapi kabla ya kuandika utumbo hapaYou have been overtaken by events bro
He is burning in hellView attachment 3127992
Wamemuua kabisaWayahudi wa Namtumbo mmemuona Yahya Sinwar akitoroka lakini mmeshindwa kumkamata, kweli!
Umeona komwe la kipenzi chetu Sinwar lilivyopata tabu kutokana na kipigo?Huyo gaidi akiishi zaidi ya Desemba mwaka huu basi ataishi sana maanake Mossad kwa dili kama hizo hawana mshindani duniani na waarabu ni mashahidi.
Ina maana wale wayahudi wa kale walikuwa na asili ya Ulaya magharibi kama hawa wa sasa?....Hawa jamaa wrnyeqe wana deal na makamanda tu.
Hii inanikumbusha walivyo deal na Goliathi, Agagi, Adonbezeki wafalme wa Filisti, Amaleki na Bezeki kwa mfuatano huo.
Matusi mmefunzwa na allahWewe bwege nenda tena kwenye post #1 kaangalie hii thread ni ya tarehe ngapi kabla ya kuandika utumbo hapa
Uliona mbali sana Mkuu.Kobazi hawapumui, sasa hii taarifa inawezekana ikawa ni mtego, si muda utasikia innah lillah, wainalillah rajiun😂