Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar aondoka Gaza akiwa amevaa kama Mwanamke

Hajaondoka Gaza, yupo Ndani ya Gaza, ila anatumia mavazi ya kike kuepuka kugundulika, na inasemekana hakai Eneo Moja Ndani ya Masaa 24.

Na hamtumii simu .


Ila watampata tu
Kwahio wakimpata vita itaisha? Yeye ni sahihi aendelee na utaratibu wake kuhakikisha anasimamia vita hivi kwa weledi ata akivaa chupi siku akiondoka atashika mwingine hata wenyewe IDF wamepoteza Makanda wengi mno tena vijana wadogo kabisa
 
Kwahio wakimpata vita itaisha? Yeye ni sahihi aendelee na utaratibu wake kuhakikisha anasimamia vita hivi kwa weledi ata akivaa chupi siku akiondoka atashika mwingine hata wenyewe IDF wamepoteza Makanda wengi mno tena vijana wadogo kabisa
Huyu ni mgumu sana kuliko hata Ismail Haniyeh. CV yake kwenye resistance na kutoitambua Israel ni ya hatari.

Ismail Haniyeh alikuwa tayari kwa maridhiano, huyu hakuwahi kukubali
 
Kwahiyo haiwezekani
Ni suala la muda tu, ila hawezi kukwepa kipigo kama hawa watangulizi wake:
1. Fuad Shukur- Hezbollah (Chief of Staff) 2024
2. Ismail Haniyeh- Hamas (Supreme Commander) 2024
3. Dr Addel Aziz Ratinsi (Chief Advisor to Hamas Founder) 2004
4. Sheikh Ahmed Yasin (Founder of Hamas) 2004
 
uongo mtupu na porojo
 
Kwani IDF wamekufa makamanda wangapi?
 
Hajaondoka Gaza, yupo Ndani ya Gaza, ila anatumia mavazi ya kike kuepuka kugundulika, na inasemekana hakai Eneo Moja Ndani ya Masaa 24.

Na hamtumii simu .


Ila watampata tu
Kinachowapumbaza waarabu ni kutumia android, kama wataendelea kupambana na wayahudi uku wanatumia android wataisha wote. Elon Musk alivyoeenda Israel 🇮🇱 hakuenda kwa bahati mbaya, alienda kupiga hesabu zake kuhusu icho kizazi cha wapalestina na kuchukua kodi namba zao watawamaliza wote na siku akienda kule Qatar 🇶🇦 na akafika Cyprus 🇨🇾 ujuee wairani na walebanoni wanaisha na wenyewe
 
Israel kwanini wanamchelewesha huyu gaidi?
 
Kagazeti kamashoga haka na wapinga kristo Mfalme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…