Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar aondoka Gaza akiwa amevaa kama Mwanamke

Wayahudi wa Namtumbo mmemuona Yahya Sinwar akitoroka lakini mmeshindwa kumkamata, kweli!
 
Kwa ugonjwa na umri wamekufa wengi sawa. Lakini siyo kwa risasi ya magaidi wa Hamas.
Niweke hapa video utaweza kuingalia? Yaan wamegongwa shaba halafu majamaa yanawakanyaga kichwani na kutemea mate
 
Niweke hapa video utaweza kuingalia? Yaan wamegongwa shaba halafu majamaa yanawakanyaga kichwani na kutemea mate
Siyo makamanda wa IDF. Wala sihitaji hiyo video kwa kuwa hakuna Kamanda wa IDF amewahi kuuliwa na magaidi wa Hamas
 
Ni hatari washamgeuza bikira hapa hapa dunian
A
 
hii ni kawaida mbona waisrael walipo kwenda kuokoa mateka walivaa kama wapalestina
 
Leo kupelekwa kwenye mabikra 72 Bwana Yahya Sinwar

 
You have been overtaken by events bro
He is burning in hell
 
Swali kwako wewe Muisrael mweusi wa Ilomba kaondoka Gaza kaenda wapi?
Ritz & Faizafox bado watasema Hamas wanashinda vita, hahaha. Where's satan allah to help you?
 
Hawa jamaa wrnyeqe wana deal na makamanda tu.

Hii inanikumbusha walivyo deal na Goliathi, Agagi, Adonbezeki wafalme wa Filisti, Amaleki na Bezeki kwa mfuatano huo.
 
Hawa jamaa wrnyeqe wana deal na makamanda tu.

Hii inanikumbusha walivyo deal na Goliathi, Agagi, Adonbezeki wafalme wa Filisti, Amaleki na Bezeki kwa mfuatano huo.
Wacha wee inakukumbush
 
Kobazi hawapumui, sasa hii taarifa inawezekana ikawa ni mtego, si muda utasikia innah lillah, wainalillah rajiun😂
The two terrorists who were killed next to Sinwar are Mahmoud Hamdan and Hani Zarov, senior members of the Rafah Brigade of Hamas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…