Kiongozi wa Hisbullah aongea kuhusu kuivamia Tele Aviv

Kiongozi wa Hisbullah aongea kuhusu kuivamia Tele Aviv

kinyume chake ni kwamba, ukifa ukiwa muislam, unaenda moja kwa moja jehanum. hii ni kwasababu, kitabu chenu hakijathibitishwa. kitabu cha wakristo kila kilichotabiriwa kimetokea jambo linalokifanya kijitetee chenyewe na yale yaliyoandikwa ndani yake yawe ni ya kweli.
Kafiri unajipa jipa moyo. Toka huko njoo huku ukaishi maisha mazuri baada ya kufa
 
wanao vamia hua hawatoi taarifa ni kama vile hamas walifanya sasa nashangaa aka kagaidi ka JF kanasubiri Bibi Nasrah avamie Tel aviv 😂😂😂
 
Back
Top Bottom