We ni Doctor ? unatuambia nini kuhusu watu waliokufa mapokezi kwa kukosa huduma katika mgomo uliopita? angekufa mama yako ungeelewa nnachoongea....Madaktari wengine hawana ubinadamu kabisa...mizimu ya wale watu itawafata hadi makuburini....vilaza wakubwa
Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.
Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).
UPDATE:
Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!
Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.
Sasa kama tuache kama lilivyo kwa nini wewe unalazimisha hoja? kila mtu ana haki ya kuliangalia hili jambo kwa jinsi anayoona ila wewe unataka kulazimisha tuamini kua polisi wanahusika.! kama huna ushahidi na wewe kaa kimya angalia tu wengine wakichangiaZanta hili swala liache kama lilivyo.....nimeshwambia ndugu yangu we soma na kufatilia mjadala usijifanye unajua kila kitu....
All except a devilish like you will not. Shame on you.
ss dr ulimboka atatibiwa vp wkt wapo ktk mgomo?au wao kwa wao haina shida. . . .
Edson na wewe usijifanye unajua kila kitu acha watu wachangiehujitambui
Mkuu mbona unakuja mjini bila kupiga hodi?Ndio hali halisi. Niko hapa Muhimbili na madaktari, mageti yote ya Muhimbili yamefungwa na Wamesema LIWALO NA LIWE hakuna huduma yoyote inayotolewa, hakuna wagonjwa wala wahudumu wanaowahudumia wagonjwa KAULI YA PINDA na kitendo walichomfanyia OLIMBOKA vinaliangamiza taifa kutokana na UDHAIFU wa serikali ya Kipuuziii.madaktari wa hospitali zingine wengi wako hapa ili kujua hali ya dr ulimboka inaendeleaje..
Wakati suala hili linahusu maisha ya watu wapumbavu wengine waroho madaraka wanawaza jinsi watakavyo yapata. Mpo tayari kutumia maiti kufika ikulu, ila kumbukeni hakuna aliyepata madaraka kwa damu ya watu aliyeondoka salama.
Ni makosa km bado anahema. Wangemaliza kazi twende sawa. Jiulize ni watz wangapi wameshafariki kwa migomo hii isiyo kichwa wala miguu.
Haya mambo ya kutekana na kupigwa na kutelekezwa uwa yanatokea Colombia, Mexico, Cambodia, sasa yamefika mpaka Tanzania ni hatari sana tunapoelekea...Umafia umefika Tanzania.
Ndio hapo nawashangaa watu wanleta hisia kwenye ishu sensitive namana hiiKama ni kweli hii habari basi lazima nitamke wazi kwamba serikali haiwezi kufanya jambo la kipuuzi kama hilo wakati madhara ya upuuzi kama huo yapo wazi. Kwa vyovyote vile, hiyo inaweza kuwa ni ama hujuma dhidi ya serikali, au hujuma dhidi ya kiongozi wa nchi au mchezo wa kitoto uliofanywa na madaktari wenyewe, au wabaya wa Ulimboka mwenyewe.
MCHEZO WA KITOTO WA MADAKTARI:
Kikundi kidogo cha madaktari wenyewe wanaweza ku-engineer mpango wa kipuuzi kama huo ili kutafuta huruma ya wananchi. Michezo ya kitoto kama hii inafanywa sana na huwa inaaminiwa na wale wasio na uwezo wa kuchanganua mambo...