MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Habari nilizozipata punde kutoka kwa mtu wangu wa karibu na wakuaminika ni kwamba Dr. Ulimboka amemtambua mtu mmoja kati ya watatu waliomteka akiwa kitandani MOI, huyo jamaa ni afisa usalama alievaa kiraia na kujifanya mwandishi wa habari kwenda kuhakikisha kama kazi waliotumwa ya kumaliza Ulimboka imekamilika ndipo Ulimboka alipomtambua na Madaktari kuweka zana zao za kazi chini na kuanza kumshughulikia kikamilifu kama mbwa mwizi mtu alie husika na mateka ya Ulimboka....
Kimbinu huyo angedakwa kimya kimya then ateswe hadi ataje wenzake maana hapo polisi wameshamuokoa na hilo soo! Huyo alikuwa si wa kuachia polisi kabisa,very big mistake. JINO KWA JINO TUU!
East Africa TV ‏@eastafricatv