Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kampeni pole mwenzenu aliyekutwa chooni anawapa taarifa kwamba Ulimboka hajafa!!!:mod:
 
Jamaa walidhamiria kumuua kabisa bahati nzuri Mungu yupo upande wake.
 

vijana wa pinda wanahusika , hata yeye mtoto wa mkulima anhusika , si msafi tupige kura ya kutokuwa na imani naye .lsikumtgemea mtu anapendenda kusali kanisa letu la RC hannasifueo kasema naliwe na iwe maanake nini?
 
Kwa hili serikali haiwezi kukwepa, kwani tangu jana naibu wa mwanasheria mkuu wa serikali alitoa tamko na kusema tusiporudi kazini leo tutaona na leo waziri mkuu bungen ametoa kauli na kusema liwalo na liwe na tumeon kamanda wetu alitekwa na kutendwa kama ilivyooneshwa kwenye picha ,aluta continua
 
Niwe mwanaharakati au niwe chama gani ukweli unabakia pale pale kwamba keki ya taifa inatakiwa igawanywe kwa staili inayotakiwa,tunasema sekta ya afya imedharauliwa wakiwemo wataalamu wake,hata kwenye rasimu inayozunguka ya mishahara mipya Kilimo na Mifugo ndio inaongozwa
wewe ungekuwa na kaka yako mama yako baba yako daktari anafanya kazi kwenye mazingira hatarishi kama anayofanya daktari wa Tanzania ungesemaje
leo hii madaktari wameonyesha ushirikiano serikali inawadharau kwa sababu inadharayu wananchi hospitali hizi za serikali bado ni kimbilio kuu la wananchi haitoshi kusema uwajali wagonjwa wakati siku nenda rudi unashuhudia vifo mbele ya uso wako bila uwezo wowote wa kusaidia kwa sababu serikali ya majambazi wanaiba fedha na kuzificha nje ya nchi ,nauunga mkono mgomo wa madaktari mwanzo mwisho na nalaani serikali ya Jakaya Kikwete kutaka kunyamazisha sauti za madaktari kwa kuuwaua
 
pumbav huna akili kutetea ujinga.lait ungemuona alivyopigwa ungelia.ujinga mtupu

hivi hua unatembea mahospitalini wewe au Ulimboka ndio mgonjwa wako wakwanza mahututi kumuona?
kama huyu utalia ukifika muhimbili ukawaona watanzania waliokosa matibabu ulimboka utamuona mzima kabisa,
tuache ushabiki ulimboka hawezi kua na thamani kuliko maelfu ya wagonjwa walala hoi wanaoteseka mahospitalini.
 
Sina hakika na ukweli wa habari hii!
Kwa uhusiano alionao na serikali hii, saa sita ya usiku anaenda kufanya 'reconciliation' na 'mtu' wa serikali? Tena peke yake bila viongozi wenzie? Atakuwa wa ajabu basi!
Huyo Dr Ulimboka atakuwa ni mla rushwa (CORRUPT) sana na inavyoonekana anaweza kuwauza wenzake.Nasema hivyo kwa sababu ukiiangalia hii incidence unaona kuwa huyu Dr Ulimboka ana tamaa ya pesa na anaendesha mgomo kwa kushawishi wenzake ili anufaike binafsi.Nasema hivyo kwa sababu hebu fikiria kwa akili ya kawaida tu,wewe una ishu kubwa kama hiyo ya mgomo,halagu unaitwa na mtu usiyemjua ili mkafanye reconcilliation.Bila shaka ni reconcilliation kuhusu mgomo.Hapo naona kuwa anaweza kuitwa na kupewa kitu kidogo na watu asiowajua na yeye akaenda tena peke yake???!!!!!!.Baada ya hapo anaweza kuwageuka wenzake.HAFAI KABISA ANASUMBULIWA NA TAMAA NA NJAA TU.
 
wewe mpumbavu kama una huruma na walio ICU, mbona unaunga mkono vp kwa serikali kutotekeleza matakwa waliyokubaliana kama wao ndio wanaidhinisha vibali(referals) za kwenda kutibiwa nje na Invoices zinazokuja wanaziona serikali wanalipa
 
Not fair at all, why they want to kill this person? wezi wa hela zetu za umma na wala rushwa wakubwa waliorudisha maendeleo ya nchi mbona hawaguswi au sababu wengi wao ni viongozi???????????????//
 
Hii hari ndugu zangu tusiiache ipite hivi hivi, lazima tufe na mtu. Ulimboka ni kiongozi tu wa kuwakilisha mawazo ya wengi, Kwa stauli tutegemee vifoo vingi kwa wagonjwa hata kama madakari watarudi, hawatakuwa na moyo wa huruma tena kwa wagonjwa.

Na chama hiki dhaifu ndio kitasababisha machafuko katika nchi hii. huu si wakati wa lelemama tena kila mtu ajiandae
 
Amevunjwa mikono yote miwili,shingo na sehemu za siri zimeasiwa.Hii taarifa kutoka chanzo cha uhakika kutoka muhimbili

Mkuu, sitaki kabisa kuamini kama haya maneno ni ya kweli...inasikitisha sana...
 
Huyu aliyemshughulikia huyu mbwiga na-mpa Bigup ... akipona atajifunza kuwa wale anawogomea kuwatibu husikia maumivu pia...akiamka atakuwa wa kwanza kwenda kutoa huduma pale muhimbili
 

Katiba mpya wakati munauwa watanzania wenzenu tuu kwa sababu munataka kulinda mali mulizotuibia a very wrong calculation
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…