Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Huyu aliyemshughulikia huyu mbwiga na-mpa Bigup ... akipona atajifunza kuwa wale anawogomea kuwatibu husikia maumivu pia...akiamka atakuwa wa kwanza kwenda kutoa huduma pale muhimbili

Mmmmh!! haya bwana...
 
Huyu aliyemshughulikia huyu mbwiga na-mpa Bigup ... akipona atajifunza kuwa wale anawogomea kuwatibu husikia maumivu pia...akiamka atakuwa wa kwanza kwenda kutoa huduma pale muhimbili

Mtajuta kwa uwamuzi wenu this is a very fragile nation kwa sasa musitegemee pesa mulizohongwa kwenye mikataba ya gas itawawezesha mutengeneze tanzania nyingine nyie na sisi tutabanana mbavu hapa hapa
 

Pambaf wa mwisho unataka madaktari wafanye kazi bila dhana hata kama mgonjwa atakuwa ICU ndio atapona kwa Vifaa duni?
 
Hivi Imrani Kombe, aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa aliuwawa vipi na nani?
 

Kaka ubarikiwe kwa kuwa mkweli
 
Mbona kwenye picha hapo anaonekana kashika maji ya kunywa? hivi mikono yote ikivunjika unaweza kubeba kitu?
Mimi mwenyewe sielewi naona watu wamnaongea tu mara kahasiwa .......na blabalaaaa nyingi...!!
 
Hata serikali ya Tito Poland yenye propaganda nyingi ulianguka
 
Jamani hili swala sasa linachukuwa sura nous kabisaaaaa... Hivi wana jf mnakua yale maneno aliyoongea mh J Mnyika wakamfukuza bungeni sasa naona alikuwa ameona mbali sana... Kama kweli kwa namna moja ama nyingine serekali ikiwa imejihusisha kwenye tukio hili Hapo itakuwa imeprove failure kubwa sana na niaibu isiyoweza kusahaulika hata kidogo .... Hii nchi inakwenda wapi?? Sasa hivi hata wale wahudumu wachache waliokuwa wanatoa huduma wamegadhabika na kila mtu ameacha kufanya kazi .... Is that what this gvnmnt wanted???? Shame on them...
 

Na wewe upo? msalimie Rostam kaka.
 
Mtajuta kwa uwamuzi wenu this is a very fragile nation kwa sasa musitegemee pesa mulizohongwa kwenye mikataba ya gas itawawezesha mutengeneze tanzania nyingine nyie na sisi tutabanana mbavu hapa hapa

%%%##@@@ Habari Mchanganyiko au Vipi ?
 
Mimi mwenyewe sielewi naona watu wamnaongea tu mara kahasiwa .......na blabalaaaa nyingi...!!

Watu wanazusha mengi tu humu ndugu yangu yaani ukikonect dot utaona ishu nyingi zinakuzwa tu humu
 
Jamani hapa saa kuna umuhimu wa kila mtu kuwa na LPG home! CCM wakimwaga mboga na sie tunamwaga ugali
 
Lord Have Mercy! this country tutaja chinjana very soon! hii yote ni kwasababu ya DHAIFU! I HATE CCM, I HATE THIS GOVERNMENT, I HATE OUR LEADERS! PERIOD!
 
kama ni kweli serikali imehusika, basi serikali itakua imethibitisha kuwa madai ya madaktari ni ya kweli na yana msingi na ndio mana hawana hoja zaidi ya kutumia ubabe.

iwe serikali au mtu binafsi ubabe ni lazima kurudisha hali ya kawaida mahospitalini!madaktari wemesomeshwa na hela za wananchi afu wanagoma kuwatibu!madaktari wote waliogoma washughulikiwe kwa kufutwa kazi mara moja, wakajibu kesi mahakamani!wao waigomee serikali na si kugoma kutibu wagonjwa!ukishakubali kusomeshwa na ukawa 'dokita'kutibu ni lazima
mkweche ningekuwa president mkweche,kiongozi wa mgomo ningemchapa viboko mwenyewe!chezea kila kitu ila si uhai wa wananchi!wagoma wakati hata deni la kuwasomesha hawajalilipa!
Mkweche nimewachoka wagomaji!hata kama dawa hakuna mahospitali ila asikosekane mtu wa kutuelekeza tukanunue dawa madukani!nala buk!
 
Tusisahau Dr. Ulimboka ana maadui wengi. Ukiacha Serikali (well, watu wachache serikalini), kuna aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya aliyefutwa kazi hivi majuzi. That woman is capable of organizing this. Greedy.
 
Wewe ni wazi unapakuliwa na magamba ndo maana unaandika udivi kama huu !! Ungekuwa mtoto wa/au mke wa Daktari ukawa unasota wakati kuna watu wanakwiba mamimilioni kila siku au kuwaongezea posho madiwani na hao wabunge usingeandika kabisa uharo kama huu !! Siku zenu zinahesabika, zikifika basi itakuwa mara alfu ya Gadafi- tutachemsha mafuta ktk gudulia la kupikia vitumbua na kuwakandamiza mchuchumae ili minywele yote huko chini iiungue na kuyeyusha mafuta ktk masaburi huku tukiwasomea haya maandiko yenu yote.... !! Unastahili kujiita homosxl na sio homosapiens maana hao wana akili timamu !!!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…