Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Naelekea huko muda huu.Tanasubiriwa ili maelezo yake ya awali yachukuliwe.Kama yalichukuliwa bila uwepo wetu,ni batili.Hatuwezi kukubali...
 
Safi sana serikali ya chama cha mapinduzi!!!!
kamata na wana harakati wa cdm wanao sababisha mshindwe kutawala!
Kamata na wamiliki wa JF;Funga midomo waandishi wa habari makini!!!!
hapo ndipo mwisho wenu utakuja na kuwaweka kwenye kumbukumbu za kihistoria!!!
poor you!!!
 
Wanahangaika bure na scare tactics ambazo hazikumsaidia gadafi na Syria sasa mapambano yako mlangoni mwa Assad Damascus. Hiyo ni mbinu za kuwatisha baadhi ya madaktari wasio na msimamo kufyata mkia.

They can kill the man but the principles he stands for can never die, proteges will pick up the tongs and the race continues. Madaktari kaza uzi.
 
Crazy move by the government. Hii jambo italeta hasira zaidi toka kwa madaktari.
 
Du imbombo ngafu ni simple kuwatrack hao waliomkamata kupitia call records zao tu mpaka watajulikana.

Nani atafanya hio tracking? kesi ya Nyani hio, hivi hakuna mwenye contact zake au a person ambaye yupo karibu na familiya yake anaweza kuthibitisha hili.
 
Hivi wanadhani ku deal na ulimboka ndo kumaliza tatizo? Shame on JK,shame on P.INDA, shame on the JMT.sasa wamemwaga petrol kwenye moto!
 
Serikali ya CCM sasa imefikia mwisho wa kufikiri, naona hata 2012 imekuwa mbali

mods unganisheni hizi threads zinazohusu Dk. Ulimboka. Kuna thread imeandikwa na mzee mwanakijiji inadaiwa yupo ki2o cha polisi Bunju.
 
Tuweke shinikizo aachiliwe mara moja na bila madhara yoyote; utawala wetu umewekwa kwenye kona na sasa unatafuta namna ya kutokea...

Kikubwa tushirikiane kwa bidii kuja yuko wapi na nini kinaendelea juu yake na kila anaepata taarifa sahihi basi atujuze wakati huo huo tuwe tunafikiri namna nzuri ya kuunganisha nguvu ili tuishinikize serikali imwachie huru.na kwa strategy hii sidhani kama wanatatua tatizo la madaktari juu ya maslahi yao na wala sidhani kama ndio wanaboresha huduma za afya mahospitalini na sidhani kama kwa kumkamata Ulimboka tayari kuna vifaa tiba mahospitalini.

Nawaomba watu wote wenye mapenzi mema tuweke shinikizo aachiliwe mara moja,eneo mojawapo ni humu jamvini kuwa na sauti moja,lakini pia ikiwa na hatua za kufuatilia kupitia wanasheria na haki za binadamu na wananchi wa kawaida
 
Safi sana serikali ya chama cha mapinduzi!!!!
kamata na wana harakati wa cdm wanao sababisha mshindwe kutawala!
Kamata na wamiliki wa JF;Funga midomo waandishi wa habari makini!!!!
hapo ndipo mwisho wenu utakuja na kuwaweka kwenye kumbukumbu za kihistoria!!!
poor you!!!
waambie wajaribu waone.
 
Hii ni primitive way of finding solutions. Serikali itambue kwamba hii ni karne mpya. hatuwezi kutatua matatizo kwa mbinu za miaka ya themanini. AIBU!!

FREE DR ULIMBOKA UNCONDITIONALLY
 
Haitosaidia, ni mmoja kati ya wengi na kumkamata au kumtesa kwa namna yoyote ile hakutosaidia.

Mwachieni dokta Uli.
 
Naelekea huko muda huu.Tanasubiriwa ili maelezo yake ya awali yachukuliwe.Kama yalichukuliwa bila uwepo wetu,ni batili.Hatuwezi kukubali...

Naomba mkusanya taarifa vizuri za kukamatwa kwa Dr. Ulimboka halafu mmpelekee Mh. Freeman Mbowe KUB, ili kesho katika kipindi cha maswali na majibu amuulize swali hili Pinda PM at least liingie kwenye hansard za bunge.

Free Dr. Ulimboka now uncondition
 
Serikali ya Tanzanaia imeanza kutumia MAFIA tactic kupambana na watumishi wanaodai haki zao.
Free Doctor Ulimboka.
 
Back
Top Bottom