Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Wewe akili zako fupi kama yule mbunge wa VITU MAALUMU wa Lindi Riziki Lulida aliyeilamu CDM kwa ubadhilifu unaofanya na wakurugenzi huku akijua mamlaka ya kuwateua wa kuwahamisha wakurugenzi ni ya serikali ya CCM.

Huyo Abeid aliyemuitia watekaji Dr. Ulimboka ni mfanyakazi wa IKULU ya Magogoni. Au Siku hizi Ikulu inakaliwa na CDM? Jaribu kuficha ujinga wako. Kama nyinyi ndio usalama wa Taifa, basi kazi ipo!
 
Lohhh, ina maana huduma za afya kwa Tanzania ni nzuri siyo?

Kweli Madr. mna dhambi sana. Ndiyo maana hata viongozi wetu wanazikimbia Hospital za Tanzania.

Hapa chini: Binti Nyerere na Waziri Lukuvi wakipata kikombe cha Babu.



Kwa chini ni yule Mwana Sheria Mkono na Waziri Wasira na wao wakipata kikombe cha Babu.


Bado jitu halioni tatizo..... I wish ningelikuwa KAGAME wa Tanzania, niwakaange Vichwa ngumu wanaodhani ukuta wa Berlin bado umesimama (RIP KOLIMBA).
 
nahisi huyu nin mbunge aliyesema bungeni kuwa madaktari wanafadhiriwa na watu wa nje. mtu mzima ovyoooooooooooooooo yaani mtu wa ikulu tena anajulikana na amekuwa anahudhuria vikao vyote vya madaktari na serikali halafu wewe unaleta utumbo wa kuku hapa hebu nenda kaoge usafishe nyota yako naona imeanza kufifia
 


unadhani bila lile biti na Nassari kuwa JK asikanyage arusha wale jamaa wangekamatwa?
 
Achaneni nae huyu bwana mimi na mjua vizuri tunakaa naye jirani mama ake amezaa mtoto na LUKUVI hivi karibuni analinda unga wa hawala ya mama yake wala msimtukane msameheni bure.

You mean Dr. Uli..!? Sikuijua hii kabla.
 


Upuuzi mtupu..mwana-magamba mkubwa ww
 
Tunajua hata humu mpo lakini ni Intelijensia iliyoshindwa kazi, ya kizamani, isiyokuwa na mbinu za kisasa kugeuza hisia za watu waliokuwa na uelewa mkubwa
 
Hapa kila mtu atakuja na sababu zake kuhusiana na mkasa huu, tunasubiri tu muda ukweli wote utajulikana.
 
Mods kuna kitufe mbona sikioni?, yaani nashauri kama mlivyoweka kitufe cha likes,reply na reply with quotes basi muongeze kitufe kingine ama cha shenzi au pumbavu au mjinga we ili tufikishe ujumbe

Kwa hali ilivyo in vigumu kuamini hayo anayosema mwanzishi wa thread.

Lakini ukitafakari, ni jambo linalowezekana.

But no matter what, hilo haliwezi kutua katika vichwa vya watu tena.

Ukweli uliobaki ni ule unaoamini wewe mwenyewe kwani ukweli aidha hautajulikana au hautakubalika
 
Hawa jamaaa wa intelijensia walikuwa wapi kugundua mpango huuuu.....
 
Kuna hoja za kipuuzi hapa jamvini zinazodhalilisha umma wa Tanzania. Inakuwaje karne hii tuna watu wana fikra ndogo kama hizo alizoandika mleta hii thread?

Migomo iko kila mahali duniani na hapa Tanzania migomo haijaanza leo. Hata ndani ya bunge na baraza la mawaziri la sasa wapo watu waliohusika na migomo tena mikubwa miaka ya huko nyuma. Na hata sheria za nchi zinatambua uwepo wa migomo ndio maana kuna hatua zimeelekezwa kabla mgomo haujaitishwa sehemu ya kazi. Sasa mleta mada anataka kutuambia haelewi historia ya nchi hii?

Labda niseme hivi, Serikali ifanye yale wanayotaka madaktari na kama bado wataendelea basi tutajua kweli wamedhamiria kuiangusha serikali.
 

Ha ha ha haaah sijaona kitufe cha LIKE, hii nimeipenda.....:dance:
 

Yote yawezekana lakini kumbuka vita nyingi zimekuwa zikiisha mara tu kiongozi wake anapouawa, unakumbuka Impact ya Kifo cha Savimbi? Mimi naamini kwa Think Tanks za Serikali hii wanaweza kabisa kuichukulia kama kumuua Dr Ulimboka kama ndiyo Solution. Usisahau kwamba Serikali mpaka sasa imekwisha tekeleza mambo mengi ambayo inashauriwa vibaya. Hivi unaweza ukaamini kwamba Kitendo cha Rais kuwasamehe watu walioiba Pesa za EPA alishauriwa na Think Tanks hizi hizi?
 

Only retards will think like u!
 

Manifestations of Myopic syndrome!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama hapo ndio ume think very loud, basi ubongo wako umejaa makamasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…