Wewe akili zako fupi kama yule mbunge wa VITU MAALUMU wa Lindi Riziki Lulida aliyeilamu CDM kwa ubadhilifu unaofanya na wakurugenzi huku akijua mamlaka ya kuwateua wa kuwahamisha wakurugenzi ni ya serikali ya CCM.
Huyo Abeid aliyemuitia watekaji Dr. Ulimboka ni mfanyakazi wa IKULU ya Magogoni. Au Siku hizi Ikulu inakaliwa na CDM? Jaribu kuficha ujinga wako. Kama nyinyi ndio usalama wa Taifa, basi kazi ipo!
Huyo Abeid aliyemuitia watekaji Dr. Ulimboka ni mfanyakazi wa IKULU ya Magogoni. Au Siku hizi Ikulu inakaliwa na CDM? Jaribu kuficha ujinga wako. Kama nyinyi ndio usalama wa Taifa, basi kazi ipo!