Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Haya mambo ya kutekana na kupigwa na kutelekezwa uwa yanatokea Colombia, Mexico, Cambodia, sasa yamefika mpaka Tanzania ni hatari sana tunapoelekea...Umafia umefika Tanzania.
CCM hiyo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo ya kutekana na kupigwa na kutelekezwa uwa yanatokea Colombia, Mexico, Cambodia, sasa yamefika mpaka Tanzania ni hatari sana tunapoelekea...Umafia umefika Tanzania.
Mi siamini kama ni serikali/polisi wamefanya hivyo....Haya mambo ya kutekana na kupigwa na kutelekezwa uwa yanatokea Colombia, Mexico, Cambodia, sasa yamefika mpaka Tanzania ni hatari sana tunapoelekea...Umafia umefika Tanzania.
Haya mambo ya kutekana na kupigwa na kutelekezwa uwa yanatokea Colombia, Mexico, Cambodia, sasa yamefika mpaka Tanzania ni hatari sana tunapoelekea...Umafia umefika Tanzania.
Ritz nakupa tano mkuu kilasiku huwa tunalumbana naishia kupata ban nyingine za mwakaHaya mambo ya kutekana na kupigwa na kutelekezwa uwa yanatokea Colombia, Mexico, Cambodia, sasa yamefika mpaka Tanzania ni hatari sana tunapoelekea...Umafia umefika Tanzania.
sio siasa,ni utendaji mbovu wa watawala wetu na ubinafsi walionao.Siasa sasa inataka kuiangamiza nchi
Pinda si kasema liwalo na liwe inabidi akafanune kauli yake polisi
Uonevu kuvunja amri ya mahakama?
serikali yako ya ccm unayoitetea hapa jamvini kila siku ndio inayofanya umafia huu kwa watu wema, wezi waliochota 303bil wameficha uswiss wanawaficha. shameHaya mambo ya kutekana na kupigwa na kutelekezwa uwa yanatokea Colombia, Mexico, Cambodia, sasa yamefika mpaka Tanzania ni hatari sana tunapoelekea...Umafia umefika Tanzania.
Busara itumike na Mungu azipe pande zote busara ili nyasi zisiumie
Mi siamini kama ni serikali/polisi wamefanya hivyo....
unadhani ni nani?Mi siamini kama ni serikali/polisi wamefanya hivyo....
Hii hatari sana, yaani YAAMSHO HAYAKama hili ni la kweli basi Tanzania si kisiwa cha amnai tena, na inabidi serikali itamke wazi kuhusu hili sasa.
Sheria itumike. Serikali imefata sheria, kwenye mgogoro inatakiwa uende kwenye vyombo vya sheria, vyombo vya sheria vimesitisha mgomo na vimetowa amri, bado unaleta ukaidi? sasa ataijuwa Serikali ni nini, ingawa yeye kwa gonjwa linalomsumbuwa anaona kuwa hana cha kupoteza, lakini hii itakuwa ni fundisho kwa wengine wajuwe kutumia sheria na kuheshimu mahakama.
CCM hiyo....
kila mtu muuaji,,,na asiyepeleka dawa hospitali anaitwaje???????mwehu kweli wewe