Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

hali ya ulimboka ni mbaya sana.....yuko emergence room....anahitaji kuongezewa damu na kifuani inaonekana ameumia sana..
 
kama hii ishu ni kweli basi tungoje itakavokuwa...!!
unajua madaktari wote yani kuazia specialists,registrars,residents,AMO etc mngetoa tamko la pamoja hapo kweli.....ila kama wengine wenu wanaendelea na kazi basi wengine watatolewa kafara na wengine watapona

kwanini hamna ushirikiano basi kati yenu?
 
Mahakama imesema mgomo usitishwe na viongozi wa mgomo watangaze kwenye vyombo vya habari watangaze kuwa hakuna mgomo mpaka jambo hili litapomalizwa kusikilizwa na mahakama.

Mwacheni akafundwe adabu huyo mzandik na muuaji wa wagonjwa wetu na watoto zetu wanaoumwa mahospitalini. Na sasa itabidi apewe adabu aseme ni nani wako nyuma yake wakimshindilia kuwa mkaidi.

Tutawajuwa na kila mmoja atachukuliwa hatua na kupewa adhabu kali sana na kama sheria hazina adhabu kali, basi tutatunga sheria ya "dharura" yenye adhabu kali sana iwe fundisho kwake na kwa wengine.

Ha ha haaaaaaaa kwa kutunga sikuwezi!
Kwanza we nani? Muuaji nani? Ulimboka ama Serekali yako! Mi nafikiri ungesema tutakamata viongozi wote tuwanyonge!
Ndiyo kwa sababu wanaiba mali za watanzania wanajilimbikizia wao! Fedha zinazopatikana kwenye almasi tu zinatosha sana kubadilisha maisha ya Mtanzania! wachilia mbali Tanzanite, Rubby, Green tomarine, Alexanderlite, dhahabu etc! Hii yote iko mikononi mwa wachache. Tungetumia hizi rasilimali kwa ajili ya watanzania wala tusingefikia hapa.
Maumivu ya kichwa huanza polepole! Na wewe ni mmojawapo wa wanaoweweseka na maumivu hayo! Polepole utaanza kujaua tuu!
 
wananchi wenye hasira!! yawezekana waliofiwa na ndugu zao kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea wameamua kumfanzia - madaktari wenzake wamgomee kumtibu basi - natuone.
 
Picha mkuu, huna hata kamchina, Mungu yuko upande wao, watashinda tu.
 
kuna ushahidi gani kama ametekwa na serikali? mbona great thinkers tunakimbilia kuhukumu kabla ya uthibitisho wa kumjua aliyemteka? mm nadhani hiyo ni mbinu ya madokta kuupa attention huu mgomo wao wa sasa hivi maana hauna attention kwenye media kama ile iliyotangulia!
 
Kwa hiyo nyie Chadema ndio mnawatetea madaktari? suala hapa sio vyama vya siasa tunaongelea issue ya madaktari wewe unaleta mambo ya Chadema.

CHADEMA inatetea watanzania wanyonge wote wakiwemo madaktari.......CCM wanatetea mafisadi
 
wananchi wenye hasira!! yawezekana waliofiwa na ndugu zao kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea wameamua kumfanzia - madaktari wenzake wamgomee kumtibu basi - natuone.


acha uongo
 
kuna ushahidi gani kama ametekwa na serikali? mbona great thinkers tunakimbilia kuhukumu kabla ya uthibitisho wa kumjua aliyemteka? mm nadhani hiyo ni mbinu ya madokta kuupa attantion huu mgomo wao wa sasa hivi maana hauna attention kwenye media kama ile iliyotangulia!

acha porojo zisizo na maana....
 
Mkuu ingefaa tuendeze post moja zaidi tu iwe inakuwa updated,na muhimi kama mtakuwa mnatupatia picha.
 
Ukiona kiongozi anasema yeye sio dikteta, halafu baada ya kauli yake matendo ya kidikteta kama kuteka wataalam kama Dr Ulimboka na kutaka kuwaua, au polisi kuua raia na kupora maiti mortuary ujue huyo kiongozi ni bonge la dikteta. Kama daktari akifa, watu wengi tu watakaolipia damu yake nchi ikirudi kwa sisi wenye nayo 2015, wa kwanza atakuwa dikteta mwenyewe. Huenda ndo maana Dr Namala Mkopi hataki kabisa kuskia huu mgomo labda ashajua nini kitafuata
 
ss dr ulimboka atatibiwa vp wkt wapo ktk mgomo?au wao kwa wao haina shida. . . .
 
Hili ndili suluhisho ambalo serikali ilikuwa inalitafuta. sasa na mimi potelea mbali naweka silaha zote chini.
Liwalo na liwe
 
Ndio hali halisi. Niko hapa Muhimbili na madaktari, mageti yote ya Muhimbili yamefungwa na Wamesema LIWALO NA LIWE hakuna huduma yoyote inayotolewa, hakuna wagonjwa wala wahudumu wanaowahudumia wagonjwa KAULI YA PINDA na kitendo walichomfanyia OLIMBOKA vinaliangamiza taifa kutokana na UDHAIFU wa serikali ya Kipuuziii.

Mda mfupi uliopita jamaaa mmoja ambaye ni usalama wa taifa kapigwa alipokuwa anaripoti kwa walio mtuma kuangalia madaktari wamepokeaje hari ya Olimboka

Nalichukia sana hili jina.
 
Back
Top Bottom