Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,933
- 5,394
Sasa kama tuache kama lilivyo kwa nini wewe unalazimisha hoja? kila mtu ana haki ya kuliangalia hili jambo kwa jinsi anayoona ila wewe unataka kulazimisha tuamini kua polisi wanahusika.! kama huna ushahidi na wewe kaa kimya angalia tu wengine wakichangia
toka mwanzo nimekwambia...na mwanzo ulikuja hapa na uongo wako wa kuseme kuwa umemwona ulimboka viunga vya muhimbili asubuhi akiwa buheri wa afya...baaya kuujua ukweli sasa hivi unadandia hoja...pole sana