Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 3,506
- 2,606
Nimesikia eti Zembwela wa EA radio anasema huu ni uzushi tu...ni mtu mwingine aliyekuwa anadhaniwa ni usalama wa taifa ndiyo amepigwa na madaktari na yupo chini ya ulinzi wa askari wa muhimbili...katahadharisha na uvumi unaoenea kwenye mitandao ya kijamii...