Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
Bora mazungumzo (software approach) kuliko kutunishiana misuli. Life is a one time special gift from God. Once lost it can not be replenished. Save it!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew mtanzania wa wap? Labda unanufaika na mafisadi lakini kwa serikali dhaifu ya ccm inahitaji upunguani kuongea unachokisema hapo juu! All in all udhaifu wa hawa manyang'au unadhiilika siku hadi siku...
Na sababu nyingine ni serikali kufanya hivyo ili kuwatisha madaktari wengine wasiendelee na mgomo,
Pia kufanya hivyo ili kumkomoa Dr Ulimboka mwenyewe ambaye ameonekana kuwasumbua serikali.
Unajua kuwa kila Hospitali yule DR aliyeonekana kiongozi alionywa kivyake na serikali?!!!!!!!!!!!!
wewe kimeo haiwezi kukusaidia,na utasuburi sana usaidike,chakula cha mafusadi.Wote hao ni walewale tu. Usilete misamiati mingine hapa. Haitusaidii!
Mimi ni mtanzania na sipo upande wa muuaji huyu, na ningefurahi kama angefia hapo MOI kwa kukosa huduma labda watoto wake watajua ubaya vifo baba yao alivyo sababisha.
wakuwafikiria walala hoi ni serikali yao,sio madokta.
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri...Serikali ni nani??? Madokta si sehemu ya serikali???
Huyo hajatekwa bali kakamatwa kwa mahojiano zaidi. Hata hivyo, reconciliation ndio aende pekee yake ? Naye alikosea kama kweli alienda pekee yake; maana hata watu wenye nia mbaya na Serikali wanaweza kuchukua hatua kama hiyo ili kuleta taharuki zaidi !!!!
Katika hali kama hii, halafu unakuta kuna lijitu linasimama na kuisifia CCM bila hata aibu. Hii nchi ina wajingaa wengi sana
Kama ni kweli hii habari basi lazima nitamke wazi kwamba serikali haiwezi kufanya jambo la kipuuzi kama hilo wakati madhara ya upuuzi kama huo yapo wazi. Kwa vyovyote vile, hiyo inaweza kuwa ni ama hujuma dhidi ya serikali, au hujuma dhidi ya kiongozi wa nchi au mchezo wa kitoto uliofanywa na madaktari wenyewe, au wabaya wa Ulimboka mwenyewe...
MAADUI BINAFSI WA Dr. ULIMBOKA MWENYEWE: Hawa wanaweza kutumia opportunity ya Dr. Ulimboka kuwa ndani ya mgogoro ili ionekane kwamba waliomdhuru ni watu wa serikalini.
MOJA kati ya hizo inaweza kuwa ndio sababu sahihi lakini there's no way kwamba serikali inaweza kufanya utoto kama huo. Ki
Atakuwa Dhaifu na mpumbavu kukubali wito huo kwa wakati huo, tena akiwa peke yake..au alidanganywa kuwa atapewa Kitu kidogo ili awashawishi madaktari walioajiriwa na serikali walegeze kamba!!! maana yeye si mwajiriwa wa serikali so he has nothing to loose. Lets wait as the drama is about to unveilSina hakika na ukweli wa habari hii!
Kwa uhusiano alionao na serikali hii, saa sita ya usiku anaenda kufanya 'reconciliation' na 'mtu' wa serikali? Tena peke yake bila viongozi wenzie? Atakuwa wa ajabu basi!