Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,191
MOD, ondoa huu uchafu hapa plz!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Yule 'liwalo na liwe' ni kiongozi wa chama cha TLP nchini sio????????????
Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa tukio la kutekwa na kupigwa vibaya kwa Dr ULIMBOKA limefanywa na baadhi ya vyama vya upinzani ikiwa ni njia ya kuwapandikizia wananchi chuki zaidi dhidi ya serikali iliyopo madarakani.
Akiongea kwa kuijiamini sana mpelelezi huyo amesema wameshaanza kufanya uchunguzi juu ya tukio hilo lakini awali picha ya tukio zima linawafanya waamini Serikali haijahusika kwa namna yeyote kwa hili.
Mengi tutayasikia na kuyashuudia Tanzania ni zaidi ya uifikiriavyo.
Get well soon Dr ULIMBOKA na haki itatafutwa hata kwa upanga.
Keep it up.