Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kama kuna watu wana njaa ni waandishi wa habari cheap cheap cheap so cheeeeeeeaaaaapppp!!wanahongwa wanaandika ipo siku yenu mtapata hukumu
 
...sitaki nkuamini hata kidogo kam serikali kupitia jeshi la polisi could be dare to do this. K.
Kikwebo mimi naomba twende taratibu tu tuelimishane bila jazba wala matusi. Ninayo maswali mawili tu kwako;

  1. Ulijisikiaje siku ile serikali kupitia Waziri Mkuu na kiongozi wa shughuli za serikali bungeni dared to admit this... mafisadi wakikamatwa nchi itatikisika!
  2. Ulijisikiaje siku ile Raisi wa Tanzania, Mwenyekiti wa Chama Tawala, Kiongozi Mkuu wa serikali, Mlinzi Mkuu wa katiba na Jemadari Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama dared kuwasamehe wezi (mafisadi wa EPA) mradi tu warudishe hela walizokwiba!
 
Last edited by a moderator:
Ana habari gani huyo?

Habari awe nayo Ritz; ni kitu gani kama si UBUNIFU wa tangu leo asubuhi kumtafutia Dr Ulimboka 'Mbaya Mpya Mwenye Uwezo wa Kuteka Kijeshi' ili mhusika halisi aliyefanya mambo bila kutafakari apate kubaki salama.

Too late na narudia kwamba ni TOO LATE for any cover-up in this instance. DNA info zote zilishachukuliwa saa nyiiiiingi ajabu.

Na satelite pictures and voice signals za ndani y wiki mbili hadi leo are SO DAMNING if not overwelming!!! Ehe, hebu endelea kutuletea theories nyinginezo za kule CCM Barabara ya Lumumnba hapa tukasome.
Na wewe nae usitake kujifanya james bond bana, huna lolote. Eti satelite picture. Wabongo bana
 
kuna haja ya kuanzishwa jukwaa la kutukanana ili thread kama hizi ziwe zinapelekwa huko...
Mbona akiingia Mh Livingstone Lusinde mnaingia kona na kulialia mm naomba Mods waondoe BAN kwenye huu mgomo wa Kisiasa wa maDr wametumwa hawa jamani mm jioni hii nimetokea Hospital ya Mkoa wa Doboma General Hospital kubba huduma km kawaida kuanzia. OPD hadi Grade
 

Attachments

  • Hosp%20Dom.jpg
    Hosp%20Dom.jpg
    85.7 KB · Views: 68
Dah, yaani nimeshindwa hata kuandika nilichotaka kuandika kwa hasira ya huu ***** nikajikuta nimeishia kutukana kwa sauti kubwa !!

Serikali ya dhaifu ipinduliwe kwa migomo ya waalimu ? Na hao wabunge wenu wanaopinga usanii sasa bungeni ? Na leo wamekumbushia zile fiksi za kununua meli kama za kruzi kila ziwa, sijui kutengeneza singapore mpya ect ambazo jamaa alizitoa 2010 na sasa wabunge wamebanwa gololi na wanachi.... !!

At times I wish wanachama wa JF tungekuwa tunakutana ktk conference kama ya bunge. Walah tungeruhusu magamba mje na hao FFU wenu then tungewaonyesha kuwa bicepts na tricepts zikiandaliw hao fanta wanakwenda chini kirahisi !!

Katika pitapita zangu, nimedokezwa kuwa mfululizo huu wa migomo na maandamano ni kufanikisha mpango wa ki haini wa kutaka kuiangusha serikali iliyoko madarakani. Tulianza kushuhudia maandamano na kuambiwa kama nchi haitatawalika, nadhani ilitakiwa iwe kama yale ya arab spring. Lakini Mungu bariki mbinu hii ikabuma.

Ikaja mgomo wa wafanyakazi, nao ukabuma. Ukaja mgomo wa madaktari kupitia interns...huu ulisumbua kiasi mpaka ukang'oa vigogo kule wizarani lakini ukapita. Sasa mgomo huu mwingine kwa kisingizio kile kile cha hali bora za madaktari. Cha kushangaza wanaoshabikia zaidi migomo yote hii ni wale walioanzisha maandamano.

Nashawishika kuamini jamaa yangu aliyenin'gata sikio kuwa mpango huu unalenga kutaka kuifanya nchi isitawalike, nimedokezwa kuwa waalimu nao wameshawishiwa kugoma.

Sasa kama nadharia hii ni kweli, basi masikini dr. Uli jamaa zako wenyewe ndio wamekutia jiti. Na jamii iaminishwe kama ni jeshi la polisi and so serilkali ili umma woote uanze kuichukia serikali na kuiangusha. Dr. Uli adui yuko chumbani kwako, usimtafute mchawi.

I was just thinking very loud, sitaki nkuamini hata kidogo kam serikali kupitia jeshi la polisi could be dare to do this.

Kuna silku ukweli utadhihiri.

K.
 
Kwa hili la Dr Ulimboka sisiem itazikwa ikiwa hai, kwani damu ya Ulimboka ni laana kwa hako kachama
 
Katika pitapita zangu, nimedokezwa kuwa mfululizo huu wa migomo na maandamano ni kufanikisha mpango wa ki haini wa kutaka kuiangusha serikali iliyoko madarakani. Tulianza kushuhudia maandamano na kuambiwa kama nchi haitatawalika, nadhani ilitakiwa iwe kama yale ya arab spring. Lakini Mungu bariki mbinu hii ikabuma.

Ikaja mgomo wa wafanyakazi, nao ukabuma. Ukaja mgomo wa madaktari kupitia interns...huu ulisumbua kiasi mpaka ukang'oa vigogo kule wizarani lakini ukapita. Sasa mgomo huu mwingine kwa kisingizio kile kile cha hali bora za madaktari. Cha kushangaza wanaoshabikia zaidi migomo yote hii ni wale walioanzisha maandamano.

Nashawishika kuamini jamaa yangu aliyenin'gata sikio kuwa mpango huu unalenga kutaka kuifanya nchi isitawalike, nimedokezwa kuwa waalimu nao wameshawishiwa kugoma.

Sasa kama nadharia hii ni kweli, basi masikini dr. Uli jamaa zako wenyewe ndio wamekutia jiti. Na jamii iaminishwe kama ni jeshi la polisi and so serilkali ili umma woote uanze kuichukia serikali na kuiangusha. Dr. Uli adui yuko chumbani kwako, usimtafute mchawi.

I was just thinking very loud, sitaki nkuamini hata kidogo kam serikali kupitia jeshi la polisi could be dare to do this.

Kuna silku ukweli utadhihiri.

K.
Mhhhhh 50/50.....
 
Katika pitapita zangu, nimedokezwa kuwa mfululizo huu wa migomo na maandamano ni kufanikisha mpango wa ki haini wa kutaka kuiangusha serikali iliyoko madarakani. Tulianza kushuhudia maandamano na kuambiwa kama nchi haitatawalika, nadhani ilitakiwa iwe kama yale ya arab spring. Lakini Mungu bariki mbinu hii ikabuma.

Ikaja mgomo wa wafanyakazi, nao ukabuma. Ukaja mgomo wa madaktari kupitia interns...huu ulisumbua kiasi mpaka ukang'oa vigogo kule wizarani lakini ukapita. Sasa mgomo huu mwingine kwa kisingizio kile kile cha hali bora za madaktari. Cha kushangaza wanaoshabikia zaidi migomo yote hii ni wale walioanzisha maandamano.

Nashawishika kuamini jamaa yangu aliyenin'gata sikio kuwa mpango huu unalenga kutaka kuifanya nchi isitawalike, nimedokezwa kuwa waalimu nao wameshawishiwa kugoma.

Sasa kama nadharia hii ni kweli, basi masikini dr. Uli jamaa zako wenyewe ndio wamekutia jiti. Na jamii iaminishwe kama ni jeshi la polisi and so serilkali ili umma woote uanze kuichukia serikali na kuiangusha. Dr. Uli adui yuko chumbani kwako, usimtafute mchawi.

I was just thinking very loud, sitaki nkuamini hata kidogo kam serikali kupitia jeshi la polisi could be dare to do this.

Kuna silku ukweli utadhihiri.

K.
Mimi kwa mara ya kwanzan nipo tayari kula ban kwa nkukuliza hivi wewe, Martha Mlata, John Komba na Livingstone Lusinde nani alikuwa anashika nafasi ya kwanza kutoka mwishoni darasani kwenu?
 
Dr Ulimboka amevuna alichopanda.

Polee

nawasikitikia watoto wake,NANI ATAWASOMESHA,WATABAKI KUWA MACHOKORAA NAO WATAZAA MACHOKORAA AJILI LA KOSA LA BABA YAO ALIYEKUBALI KUTUMIKA KISIASA.
Na wale waliomtuma kuivuruga nchi baada ya nchi kuchafuka watatimkia UJEREMAN waliko jiandalie makao na kuwaacha raia wakichinjana.
Makes me mad.
 
Dr Ulimboka amevuna alichopanda.

Polee

nawasikitikia watoto wake,NANI ATAWASOMESHA,WATABAKI KUWA MACHOKORAA NAO WATAZAA MACHOKORAA AJILI LA KOSA LA BABA YAO ALIYEKUBALI KUTUMIKA KISIASA.
Na wale waliomtuma kuivuruga nchi baada ya nchi kuchafuka watatimkia UJEREMAN waliko jiandalie makao na kuwaacha raia wakichinjana.
Makes me mad.
 
nawasikitikia watoto wake,NANI ATAWASOMESHA,WATABAKI KUWA MACHOKORAA NAO WATAZAA MACHOKORAA AJILI LA KOSA LA BABA YAO ALIYEKUBALI KUTUMIKA KISIASA.
Na wale waliomtuma kuivuruga nchi baada ya nchi kuchafuka watatimkia UJEREMAN waliko jiandalie makao na kuwaacha raia wakichinjana.
Makes me mad.

Ukipanda bangi, utavuna bangi. Tusishangae yaliyompata, alijitakia.
 
Kama katekwa na amebahatika kupona hajafa!!!!!!!! basi hakuna haja ya kuunda chombo cha uchunguzi kwani huyo aliyekuwa amemuita anamkumbuka ni kumtaja tu na akamatwe naye atataja wenzake na waliomtuma.
 
maana ipi tena unayoitaka? "liwalo na liwe"
umafioso nchi hii haukuanza leo. Killing attempt haikufanikiwa tu. Wako wapi na nani aliwaua steven kibona
gilman rutihinda, gibonns mwaikambo, generali kombe, amina chifupa, horace kolimba, zakayo chacha wangwe........................?????????????????
Haki inakanywagwa namna hii. Kauli ya mkulu < 24 hours . Dr ulimboka anafanyiwa umafia.
lengo kuu: madaktari wauvyate mkia watu wachanginyikiwe sasa wanaanza kutaka kuwashughulikia madr. Wamepotea serkali ndiye mpishi wa yote haya.
watz amkeni mnaponzwa na uelewa finyu wa mambo.wanasiasa wanawatumia vibaya kunyonya nchi hii sisi wafanyakazi hali mbaya siyo mdr. Tu . Ukifika ofisini zinaendeshwa kiubabaishaji . Hakuna stationeries wakati mwingine computer zimekolapsi tutaendeshaji nchi hii kwa ubabaishaji namna hii halafu tutegemee maendeleo? Serkali isibaki kulipa mishahara itoe nyenzo za kufanyia kazi iache ubabaishaji wakakukumbatia wabunge tu wanaochumia tumbo .
 
:sleepy:Mhmmmmm! Siku nikisimama hakuna ataekaa kwa amani nyie endeleeni ku:boink: tu bado kidogo coz imeanza
ku:croc::target:............
 
Kama ni kweli hii habari basi lazima nitamke wazi kwamba serikali haiwezi kufanya jambo la kipuuzi kama hilo wakati madhara ya upuuzi kama huo yapo wazi. Kwa vyovyote vile, hiyo inaweza kuwa ni ama hujuma dhidi ya serikali, au hujuma dhidi ya kiongozi wa nchi au mchezo wa kitoto uliofanywa na madaktari wenyewe, au wabaya wa Ulimboka mwenyewe.

MCHEZO WA KITOTO WA MADAKTARI:
Kikundi kidogo cha madaktari wenyewe wanaweza ku-engineer mpango wa kipuuzi kama huo ili kutafuta huruma ya wananchi.
Michezo ya kitoto kama hii inafanywa sana na huwa inaaminiwa na wale wasio na uwezo wa kuchanganua mambo.

HUJUMA DHIDI YA SERIKALI:
Watu wenye maslahi tofauti dhidi ya serikali wanaweza kufanya upuuzi kama huo ili kujenga picha kwamba serikali iliyopo ni ya kidhalimu inayoweza kufanya lolote dhidi ya raia wake wanaotetea maslahi yao. Watu wanaoweza kufanya haya ni wale wenye maslahi ya kisiasa...ni Political Sabotage.

HUJUMA DHIDI YA RAIS:
Ulingo wa siasa ni ulingo uliojaa uadui baina ya mtu na mtu. Katika hilo, mtu au kikundi cha watu wanaweza kufanya upuuzi kama huo ili kumuumbua kiongozi mkuu wa nchi.

MAADUI BINAFSI WA Dr. ULIMBOKA MWENYEWE: Hawa wanaweza kutumia opportunity ya Dr. Ulimboka kuwa ndani ya mgogoro ili ionekane kwamba waliomdhuru ni watu wa serikalini.

MOJA kati ya hizo inaweza kuwa ndio sababu sahihi lakini there's no way kwamba serikali inaweza kufanya utoto kama huo. Ki
Hii imekaa a kabisa ukiingia katika akili yangu. Naona ulichoandika hapa ni zaidi ya upuuzi.
 
iwe serikali au mtu binafsi ubabe ni lazima kurudisha hali ya kawaida mahospitalini!madaktari wemesomeshwa na hela za wananchi afu wanagoma kuwatibu!madaktari wote waliogoma washughulikiwe kwa kufutwa kazi mara moja, wakajibu kesi mahakamani!wao waigomee serikali na si kugoma kutibu wagonjwa!ukishakubali kusomeshwa na ukawa 'dokita'kutibu ni lazima
mkweche ningekuwa president mkweche,kiongozi wa mgomo ningemchapa viboko mwenyewe!chezea kila kitu ila si uhai wa wananchi!wagoma wakati hata deni la kuwasomesha hawajalilipa!
Mkweche nimewachoka wagomaji!hata kama dawa hakuna mahospitali ila asikosekane mtu wa kutuelekeza tukanunue dawa madukani!nala buk!
Mkweche, hilo ni sahihi, kwani sekta moja ikijiona yenyewe ni muhimu kuliko zingine ni tatizo, kwa sababu fikiria kuna watu wanafanya kazi masaa 24 lkn wana uzalendo, keep it up. though kuumiza ni vibaya, lkn kugoma ni mbaya zaid.
 
Mgomo ulikwaza wengi, kuna ndugu walifiwa na ndugu zao kwa ajili ya siasa za wachache hivyo perpetrators wanaweza kuwa wengi...
 
Back
Top Bottom