Kiongozi wa magaidi wa Hamas auwawa. Na askari wa Israel huko Jenin

Kiongozi wa magaidi wa Hamas auwawa. Na askari wa Israel huko Jenin

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Majeshi ya Israel yanaendelea kuwasaka magaidi wa Hamas popote walipo siku ya leo kiongozi wa magaidi hao huko JENIN aliweza kuuwawa na sasa.

.Jenin imekuwa ngome kubwa ya Magaidi ambao mara kwa mara walikuwa wakipigana na wenzao wanaoongozwa na Serikali ya Mahmoud Abas. Israel imekuwa ikiingia huko toka Oct 07,2023 baada ya kuonekana kuna mambo ya kigaidi yanafanyika kutokea huko West Bank. Kwa sasa Magaidi hawana pa kupumlia Majeshi ya Israel yanawapiga kila kona.
 
Majeshi ya Israel yanaendelea kuwasaka magaidi wa Hamas popote walipo siku ya leo kiongozi wa magaidi hao huko JENIN aliweza kuuwawa na sasa.inasemekana tayari keshakabidhiwa wale Mabikira 72 walioahidiwa. Jenin imekuwa ngome kubwa ya Magaidi ambao mara kwa mara walikuwa wakipigana na wenzao wanaoongozwa na Serikali ya Mahmoud Abas. Israel imekuwa ikiingia huko toka Oct 07,2023 baada ya kuonekana kuna mambo ya kigaidi yanafanyika kutokea huko West Bank. Kwa sasa Magaidi hawana pa kupumlia Majeshi ya Israel yanawapiga kila kona.
Vizuri Sana
 
Nyie mnaojiita wakristo mnashida Sana sisi mbona tunaheshimu dini zingine mpaka wale ambao hawana dini nao waheshimiwe unaitukana vipi dini ya mwenzako wewe unauhakika Gani Kama dini Yako Imani Yako ndio sahihi? Mpaka hapo nyie ndio watu wahovyo pamoja na wayahudi katika huu ulimwengu Kwa kua hamtaki watu waaabudu Imani Yao Kwa amani
 
Nyie mnaojiita wakristo mnashida Sana sisi mbona tunaheshimu dini zingine mpaka wale ambao hawana dini nao waheshimiwe unaitukana vipi dini ya mwenzako wewe unauhakika Gani Kama dini Yako Imani Yako ndio sahihi? Mpaka hapo nyie ndio watu wahovyo pamoja na wayahudi katika huu ulimwengu Kwa kua hamtaki watu waaabudu Imani Yao Kwa amani
Mimi sijasema dini ya mtu mimi najibu tu mapigo kwa hawa wanajinasibu wako kwenye Swaum wakati wao wako kwa Salum. Ugomvi wao mkuu ni walokole,Wakristo na wayahudi ukiwemo wewe mwenyewe. Nawashangaa sana hivi ninyi ni waislam gani? Mbona midomo yenu Ina matusi sana kwa mtindo huu mkifa mtapewa kweli wale Mabikira 72?
 
Nyie mnaojiita wakristo mnashida Sana sisi mbona tunaheshimu dini zingine mpaka wale ambao hawana dini nao waheshimiwe unaitukana vipi dini ya mwenzako wewe unauhakika Gani Kama dini Yako Imani Yako ndio sahihi? Mpaka hapo nyie ndio watu wahovyo pamoja na wayahudi katika huu ulimwengu Kwa kua hamtaki watu waaabudu Imani Yao Kwa amani
Tulia wewe nyie hamjioni sio au mkiona watu wamekaa kimya mna waona wajinga sio nyie mnavyo kashifu ukiristo tena hadharani mpaka kwenye madaladala mnaweka mahubiri ya kashfa na chuki mnafikiri hao wakristo wanajisikiaje, tuondolee ushuzi hapa hovyo kabisa
 
Nyie mnaojiita wakristo mnashida Sana sisi mbona tunaheshimu dini zingine mpaka wale ambao hawana dini nao waheshimiwe unaitukana vipi dini ya mwenzako wewe unauhakika Gani Kama dini Yako Imani Yako ndio sahihi? Mpaka hapo nyie ndio watu wahovyo pamoja na wayahudi katika huu ulimwengu Kwa kua hamtaki watu waaabudu Imani Yao Kwa amani
Tangu lini Kobazi anaheshimu dini zingine? Hapo Zanzibar tu mtu kula wakati wa mfungo inakuwa nongwa
 
Na Trump kawaambia atawapoteza kabisa. Ngoja tuendelee kuvurahia video za vita.
 
Tulia wewe nyie hamjioni sio au mkiona watu wamekaa kimya mna waona wajinga sio nyie mnavyo kashifu ukiristo tena hadharani mpaka kwenye madaladala mnaweka mahubiri ya kashfa na chuki mnafikiri hao wakristo wanajisikiaje, tuondolee ushuzi hapa hovyo kabisa
Kuna matusi na challenge hivyo ni vitu viwili tofauti
 
Nyie mbona mnalazimisha kila mtu avae pampas Hilo hulioni
Harafu ifike jioni ufuturu useme ulikuwa na Swaum kumbe ulikuwa kwa Salum ukiongelea Pampas tu!! Wa hovyo sana nyie!!
 
Majeshi ya Israel yanaendelea kuwasaka magaidi wa Hamas popote walipo siku ya leo kiongozi wa magaidi hao huko JENIN aliweza kuuwawa na sasa.

.Jenin imekuwa ngome kubwa ya Magaidi ambao mara kwa mara walikuwa wakipigana na wenzao wanaoongozwa na Serikali ya Mahmoud Abas. Israel imekuwa ikiingia huko toka Oct 07,2023 baada ya kuonekana kuna mambo ya kigaidi yanafanyika kutokea huko West Bank. Kwa sasa Magaidi hawana pa kupumlia Majeshi ya Israel yanawapiga kila kona.
Sasa mbona Video yenyewe imerekodiwa kwa uwoga sana au ndio upo kwenye mwendelezo wako wakulisha watu Matango pori
 
Back
Top Bottom