Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera Tanzania kuwa mfano wa kuigwa ulimwenguni
Democracy yetu ama kwa hakika imekua ya kupigiwa mfano kila pembe ya dunia.
Kingereza kingereza jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera Tanzania kuwa mfano wa kuigwa ulimwenguni
Democracy yetu ama kwa hakika imekua ya kupigiwa mfano kila pembe ya dunia.
Kiti iko wazi ...ila nyie ni mizigoKingereza kingereza jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Mbona kaongea kitu iko wazi...inamana hakutegemea sehem kam Tanzania ( Africa ) ingeruhusu observers....iko wazi wanaiona Africa kama domant continent sasa ww unasema amekejel duuuh hahaha poleMasomo yenu haiwaruhusu kutambua kejeli.
Bwana Giuliani anashangaa kwanini Tanzania ambayo sio 'civilized' inaruhusu inspekta wa uchaguzi, ilhali USA haikuruhusu.
Hapa Keshatupigia Prome ya kufa mtu kama Kuna mtu duniani alikua hajui Tanzania ndio kashajua na tena ni Civilised Country [emoji23][emoji23][emoji23]Hongera Tanzania kuwa mfano wa kuigwa ulimwenguni
Democracy yetu ama kwa hakika imekua ya kupigiwa mfano kila pembe ya dunia.
Kwa mujibu wa akili zako za kikunya? Giuliani anasema many civilised countries including Tanzania...Masomo yenu haiwaruhusu kutambua kejeli.
Bwana Giuliani anashangaa kwanini Tanzania ambayo sio 'civilized' inaruhusu inspekta wa uchaguzi, ilhali USA haikuruhusu.
😅😅😅 Mediocre wa mombasani na wewe limekuuma?Kingereza kingereza jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Wameelewa kila kitu vizuri tuMbona kaongea kitu iko wazi...inamana hakutegemea sehem kam Tanzania ( Africa ) ingeruhusu observers....iko wazi wanaiona Africa kama domant continent sasa ww unasema amekejel duuuh hahaha pole
Mkuu Tanzania ni nchi ya karibu sana kwenye akili nyingi za wamarekani, nimeshawasikia wamarekani wengi waki mention Tanzania pale wanapomention African countries au foreign countriesHapa Keshatupigia Prome ya kufa mtu kama Kuna mtu duniani alikua hajui Tanzania ndio kashajua na tena ni Civilised Country [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata hivyo hivi kulikua na haja ya kuitaja Tanzania kwenye Mambo yao ya ndani ya uchaguzi ? ?
Hahahaha, kwamba Tanzania nchi ya Africa ambako wamarekani hawategemei kuwa ni mfano katika demokrasia lakini kuna nchi ambayo imeizidi USA ambaye ni baba wa demokrasia hapa duniani katika kufanya uchaguzi bora kabisa kwa kuruhusu waangaliziMasomo yenu haiwaruhusu kutambua kejeli.
Bwana Giuliani anashangaa kwanini Tanzania ambayo sio 'civilized' inaruhusu inspekta wa uchaguzi, ilhali USA haikuruhusu.
Na wew una tatizo la inferiority complex sasa hapo tatizo nini?Mlemata maada una tatizo linaitwa foolishness, mods futeni huu uzi manyag'au yatautumia kama ushahidi wa kutubagaza kuwa sisi ni wajinga. Kuna muda wazungu akikutukana unaweza kumwambia thank you very much kama akili yako itakwama kuchanganua mambo.
Hujui kitu wewe boyaMlemata maada una tatizo linaitwa foolishness, mods futeni huu uzi manyag'au yatautumia kama ushahidi wa kutubagaza kuwa sisi ni wajinga. Kuna muda wazungu akikutukana unaweza kumwambia thank you very much kama akili yako itakwama kuchanganua mambo.
Umekua kichekesho siku hizi[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28] Mediocre wa mombasani na wewe limekuuma?
Yani hapo huoni kabisa km mmekejeliwa[emoji23][emoji23]Mbona kaongea kitu iko wazi...inamana hakutegemea sehem kam Tanzania ( Africa ) ingeruhusu observers....iko wazi wanaiona Africa kama domant continent sasa ww unasema amekejel duuuh hahaha pole
Hyo inaitwa kumpaka mtu mafuta kw mgongo wa chupa[emoji23][emoji23]Kiti iko wazi ...ila nyie ni mizigo
Nadhan ww kejeli zinakupiga chenga? Kama angesema mpaka Tz waliruhusu wangalizi.. na kuishia hapo pengine ingekuwa kejeli lakini aliendelea na kusema nchi zilizo civilized ndio zinaruhusu wangaliz mpka Tz ambayo hata usingetegema kuruhusu wangaliz lakin ilifanya hvyo...sasa hapo iyo ni kejeli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani hapo huoni kabisa km mmekejeliwa[emoji23][emoji23]