Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hawa Mataga hawaeleweki.Ndio kishasifia tena mbele ya umati wa republican [emoji1787]
Wakikemewa na watu wa nje wanasema mabeberu wasiwaingilie mambo ya nchi yao.
Wakisifiwa hata na mpuuzi kama Giuliani, ambaye hawajui kwamba ni mpuuzi kwa sababu hawajui kusoma Kiingereza na kufuatilia habari za Marekani, wanarukaruka kwa furaha kama malaya mbovu ambaye kapata bwana dakika ya mwisho bila kutegemea.
Wachague moja.
Hawa Wamarekani ni mabeberu tusiwasikilize au tuwasikilize?
Giuliani is a senile fool.Right now he is the butt of many jokes here in the US.
If you go gaga over his comments about Tanzania, you are likely a laughingsto k yourself.
New York Daily News Taunts Giuliani With A Gross New Nickname
The Trump lawyer's literal meltdown inspired the tabloid's mocking moniker.