komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Bonge la kejeli[emoji23][emoji23][emoji23]Nadhan ww kejeli zinakupiga chenga? Kama angesema mpaka Tz waliruhusu wangalizi.. na kuishia hapo pengine ingekuwa kejeli lakini aliendelea na kusema nchi zilizo civilized ndio zinaruhusu wangaliz mpka Tz ambayo hata usingetegema kuruhusu wangaliz lakin ilifanya hvyo...sasa hapo iyo ni kejeli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo yani hamtoki hata mkitaka kutafsiri kivipi..
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app