Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Naona kuna wajinga wenzio wamekupa like hapa. Alichosema ni kuwa hata Tanzania, nchi ambayo hakuna demokrasia kabisa, wasingeweza kulifanya hilo ambalo anasema limefanyika kwenye uchaguzi wa Marekani. Jielimishe Kiingereza kidogo.
Halafu Rudi siyo kiongozi wa marekani. Ni mwanasheria wa Trump.
Halafu Rudi siyo kiongozi wa marekani. Ni mwanasheria wa Trump.
Hongera Tanzania kuwa mfano wa kuigwa ulimwenguni
Demokrasia yetu ama kwa hakika imekuwa ya kupigiwa mfano kila pembe ya dunia.
View attachment 1631243