Kuna mtu wanamuita dame kule[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa akaonyeshe ujuzi wa kiuno kwa wanajela avalishwe taji la umalkia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiku mwema!!Hizi team zitatuua jamani unamtukana diamond mwenzio ananunua nyumba South Africa unamtukana kiba ndo kwanza Sony wanamtafuta wampe mihela we unabaki "team simbaaaaaa" simba gani daily unakula makande!!!utaskia mwingine "team kingiiiiiii" unajiita King na hujawahi kuwa hata monita wa darasa shule ya msingi
Unalalaje wakati bro analiw na mbu jela[emoji26] [emoji26] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiku mwema!!
Hahaha mkuu dame wa Sinza nn unamuongelea?Kuna mtu wanamuita dame kule[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoshaaa....!!Uyoo sio yeye..nmeona post flan akihusishwa kukamatwa kwake kwny sehm ya moment katoa matus km buku hiv af mapya yoteeee... Uyo sio mshkaj,Ni mdada flan alopinda sana
Karibu wastaarabu WCB tunaenda kisomiyani mimi ni team mwenyewe.....ila ningefikiria kuwa na teama basi ingekua team diamond mana kwa kautafiti kangu kadogo teamkiba wanakuaga na matusi sana
I'd yako ingine ipi?Unalalaje wakati bro analiw na mbu jela[emoji26] [emoji26] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hehehe.. Mwadela mayooo..[emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoshaaa....!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] me natania bhanI'd yako ingine ipi?
Sasa wew ulitaka aweje labda!! Mi ndio maana huku pananishindaga.. Ngoja nisepe zang MMU
Hapa ndipo style ya kiba kuwa na zero kwenye kufollow watu inapoonekana ya maana.....Ndo ujue hizi timu zinapewa support na wasanii wenyewe sasa dai kachelewa kumu unfollow wanakimbilia kulaumu timu moja ili waonekane wema sana
Jamii ya akina KAOGEmi nilijua ni mwanamke, halafu yupo kama vile wale wakina vidole juu
Naona huna timu!Ndo maana mziki wetu hauendelei hivi wasanii wengi wakifanikiwa kuna shida, a focus na mtu wake tu mpanga riziki ni Mungu, tu Mara awe back stage sijui afatiliwe hichi sasa na kufatilia ya timu kiba na kuacha timu mond ina maana gani?
Kwahyo mkuu wewe ni timu gani mana sina timu yoyote Mimi. Maana mnaojidai mnatimu hamna mbele wala nyuma mnategemea kutukana huko insta mpate followers ili mtangaze vijibiashara uchwara
Ngoja tu nikuache muelewa unayejipeleka chaka mwenyewe kwa kuongozwa na hisiaNaona huna timu!
Na la ziada hunijui sikujui mwanzo wa mimi kuwa na shaka na mtazamo wako ni hiyo comnent yako.
Na ulivyo hujielewi unadai huna timu