Kiongozi wa team kiba instagram akamatwa, anaejiita shilolekiuono

Kiongozi wa team kiba instagram akamatwa, anaejiita shilolekiuono

Dah afadhali huyu jamaa ni anatukana, yaani mpaka basi na Kuna mwenzake anaitwa dullah nani sijui nae anatukana. Kwa wale msiojua ukitaka update au taarifa yyt mpya ya kiba lazima ianzie either kwa huyu shilole au dengue na hata habari ya kiba kushinda mtv ema zilianzia kwa huyu. Sijui labda anaweza kukawa na support anayoipata hatujui. Huyu shilole mimi nilizani atakuwa mwanamke (sijui shoga), kumbe mwanaume, dah nawahurumia wazazi wake, kama ulikuwa unaangalia comment za watu ktk page za mtv ema, mtv mama kiranja aliyekuwa anaongoza kutukana matusi baada ya mtv kukosea kumpa tuzo wizkid ni huyu, akaenda mpaka ktk page ya wizkid, wizkid baada ya kuchoshwa na matusi take akamblock, baadaye akahamia ktk instagram page za mabloger, TV na radio zilizokuwa zikitangaza utata wa tuzo za mtv ema katukanana na wanaijeria ww na baadhi ya wajinga wenzake wakajiunga nae.Kuna watu watasema mbona wengine hawajakamatwa, mi naamini ni swala la Muda watakamatwa, Ila asanteni vyombo vya usalama ila bado hawa dullah na dengue Homa ya jiji hawa nao wasekwe ndani.
Dengue hawamuwezi walishamkamata Mara kibao na akawashinda halafu anajielewa yani dengue na dougiemasta wale wameshindakana na mange Google haina taarifa zake
 
Dengue hawamuwezi walishamkamata Mara kibao na akawashinda halafu anajielewa yani dengue na dougiemasta wale wameshindakana na mange Google haina taarifa zake
Ww dengue hajawahi kamatwa
 
Huyu dogo ana matusii makubwa cjaona loh afadhar akamatwee na bora amekatwa tuu bado yule duller square
 
Mange hana uraia Wa ki marekani.kwa maelezo yake mwenyewe.hataki kuchukua uraia wa huko kwani atapoteza Mali zake ( ardhi tanzania) mimi najiuliza huku kutukana watu hawachoki miaka nenda miaka rudi . mtu anaetukana Tukana ovyo ana frustration zake za maisha
kumrudisha ni ngumu tayari ana watoto wenye uraia wa kule! halafu marekani sheria ya mitandao sio kali kama hii yetu
 
alizidi mpaka inafikia hatua anamuharibia biashara mwenzie aliyowekeza pesa nyingi kiasi hicho!
 
Kama Ali Kiba hakuwahi kumkana huyu bwana basi naye ni Mnafiki namba moja kwani huyu bwana hakuwa muungwana hata kidogo na alihitaji kukemewa na waliokuwa wanadhani wananufaika na utovu wakw wa nidhamu.
 
Wala sikuwahi kufikiri mitusi yote hiyo alokuwa anaitoa atakuwa mwanaume , mungu atuepushie vijana wetu.
Hapo ndo unashangaa skuiz dunia imeisha mtu anatukana mpaka basi
 
Back
Top Bottom