Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo,kwani yeye ni Mungu mkuu mpaka asidanganye???[emoji17] [emoji17] [emoji17]......siku hizi kuna account fake pia usisahau hilo mkuu![emoji30]kwa hiyo na le mutuz ametudanganya ?
Kukosoa utendaji wa serikali inayoboronga inatafsiriwa ni matusi???Tatizo Mange haishi Bongo, kama kapata uraia wa USA ni ngumu kweli kumkamta raia wao na kumleta Bongo kujibu mashitaka, hasa kwa makosa ya matusi mtandaoni. Ila ipo siku atajichanganya kuja bongo watamdaka.
Eatv walienda kuuliza jina gani? Unajua jina lake la kiserekali?Acheni kutudanganya please,haya mambo tunafuatilia kwa undani,wewe mleta uzi ndo unatakiwa kukamatwa kwa kudanganya uma![emoji116] [emoji17] [emoji17] [emoji17]
Akikujibu njoo unishtueKukosoa utendaji wa serikali inayoboronga inatafsiriwa ni matusi???
akaunti ya le mutuz hapa jf ni verified sio fekiNdiyo,kwani yeye ni Mungu mkuu mpaka asidanganye???[emoji17] [emoji17] [emoji17]......siku hizi kuna account fake pia usisahau hilo mkuu![emoji30]
Ok,cool!....note my first point,yeye siyo mungu anaweza kudanganya pia! 🙂akaunti ya le mutuz hapa jf ni verified sio feki
mkuu unataka na serikali ifanye mambo kwa kuzingatia uteam.Ila wakimkamata dullahsqure hapo haki itatendeka....
Sema huyu dogo kazingua wenzake wote wanaficha sura zao yeye alitaka sifa mbona dengue na dougiemasta wanatukana lakini wanapetaUnatutisha au [emoji23] [emoji23] [emoji23] vijana acheni matusi, hakuna sheria yoyote inayokataza ushabiki nyie shabikieni muwezavyo ila sio hilo alilokuwa analifanya huyo mvulana mdogo. Wakamatwe wote watukanaji hata kama ni timu magufuli.
Mkuu sizungumzii kukosoa serikali bali nazungumzia jinsi anavyo shambulia hata watu wengine matusi kama yule mama naniino.Kukosoa utendaji wa serikali inayoboronga inatafsiriwa ni matusi???
Haha kiongozi wa team kiba ni dengue homa ya jiji ukimkamata yule hakuna kazi ila ni mjanja Sana hata huyo shilole alikuwa anamuiga dengue kutukanaOk lets wait and see hehehe
Nashukuru kwa kuliona hilo ila ushabiki ni kitu kibaya Sana nimeaminiWakisema most of timu kiba ni mental case unadhani huwa wanakosea? Hebu soma ulichokiandika hapo.
Wanapeta aiseeeee.... kwahiyo kumbe hao noma tuige mfano wao? Pathetic Tanzanians!Sema huyu dogo kazingua wenzake wote wanaficha sura zao yeye alitaka sifa mbona dengue na dougiemasta wanatukana lakini wanapeta
Kwani kuna taarifa rasmi iliyosema watanzania njooni mmjadili huyu dogo? Nenda kajadili maendeleo ndugu.Kwa io tusijadili maendeleo leo tujadili uyu anayejiita shilole kiuno dah Tanzania ya viwanda