BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Kifo ni kifo tu..Asilimia kubwa ya kataa ndoa wana vinasaba vya uchoyo pia. Kukaa na ndugu pia wanaona gharama, mwisho wa siku ndio kufa kibudu.
R.I.P my brother.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo ni kifo tu..Asilimia kubwa ya kataa ndoa wana vinasaba vya uchoyo pia. Kukaa na ndugu pia wanaona gharama, mwisho wa siku ndio kufa kibudu.
Upo nao hapo karibu?Waulize nzi waliowahi kufika chumbani kwake.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiona kataa ndoa wakiongoza point, leo kataa ndoa wamepigwa ma kitu kizito, sijui watakuja na hoja gani tena!Kataa ndoa 2-3 Kubali ndoa
Sasa huyo mke anakusaidia halafu anagongwa huko. Bora ufe tu mwenyewe.Tusikatae ndoa jameni. Hapo mke angemsaidia labda hizo nyakati zake za mwisho
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Mkoa wa Kagera, Seth Niyikiza amefariki dunia akiwa kajifungia ndani mwake.
Akithibitisha tukio hilo leo Jumatano Februari 26, 2025 Kamanda wa Polisi mkoani humo, Brasius Chatanda amesema mwili wa wakili huyo ulibainika baada ya mteja wake kwenda nyumbani kwake kufuatilia kwa nini haudhurii kesi yake mahakamani.
"Alilala, hakuonekana mpaka mteja wake amekuja mahakamani hamuoni... ndio akaamua kwenda nyumbani kufika akafanikiwa kusukuma geti, kuingia eneo la ndani akakuta kuna inzi...yaani kuna ‘movement’ ya inzi nyingi kwenye dirisha hali ambayo ilimshtua ikabidi awashirikishe majirani," amesema.
Amesema baada ya majirani kuona hali hiyo wakaamua kuvunja mlango na kumkuta amefariki na mwili umeharibika.
Kwa mujibu wa kaka yake, Laurent Seth mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera mjini Bukoba, wakisubiri kufanyiwa uchunguzi ili kujua chanzo cha kifo chake.
Ukioa haufi.Kama asingekuwa kataa ndoa,angeweza kupata msaada wa haraka
Mimi ni nusu kataa ndoa lakin sitakubal kukaa peke yangu
Kuna mume alikuwa amepatwa na kwikwi. Mkewe akakata kipande cha tikiti na kupaka sumu kisha akampatia mumewe. Mumewe alipokula hicho kipaande cha tikiti akaenda peponi.Ukioa haufi.
Pengine mwanamke angekumalizia na kobilo au chepe la shingo kabisa.
Nawaza tu.
Rafiki wa nyoka pale Eden hanaga jema.Kuna mume alikuwa amepatwa na kwikwi. Mkewe akakata kipande cha tikiti na kupaka sumu kisha akampatia mumewe. Mumewe alipokula hicho kipaande cha tikiti akaenda peponi.