Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Apumzike kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanikera sana huyo jamaa mpaka nataka niache kuusoma uzi huu.Wewe jamaa na mastori yako yasiyo na kichwa wala miguu ya Mkwe wake sjui nn unatukela
Wakifika 50 na hawana wake nao wanapataga changamoto kipata wenza..wanaogopwa na wanawakePOle sana Mwamba.
Mtu mzima kuishi peke yako Asubuhi hadi jioni, week hadi mwezi mpaka mwaka.
Unajua ukiwa kijana unajiona una nguvu, una pesa, life is easy but ́y frienf When you reach 50, my frienf you will regret
Tujifunze kiswahili fasaha sio kufa binadamu hafi. Sema AmefarikiMakamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Mkoa wa Kagera, Seth Niyikiza amefariki dunia akiwa kajifungia ndani mwake.
Akithibitisha tukio hilo leo Jumatano Februari 26, 2025 Kamanda wa Polisi mkoani humo, Brasius Chatanda amesema mwili wa wakili huyo ulibainika baada ya mteja wake kwenda nyumbani kwake kufuatilia kwa nini haudhurii kesi yake mahakamani.
"Alilala, hakuonekana mpaka mteja wake amekuja mahakamani hamuoni... ndio akaamua kwenda nyumbani kufika akafanikiwa kusukuma geti, kuingia eneo la ndani akakuta kuna inzi...yaani kuna ‘movement’ ya inzi nyingi kwenye dirisha hali ambayo ilimshtua ikabidi awashirikishe majirani," amesema.
Amesema baada ya majirani kuona hali hiyo wakaamua kuvunja mlango na kumkuta amefariki na mwili umeharibika.
Kwa mujibu wa kaka yake, Laurent Seth mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera mjini Bukoba, wakisubiri kufanyiwa uchunguzi ili kujua chanzo cha kifo chake.