TANZIA Kiongozi wa TLS Kagera, Seth Niyikiza akutwa amekufa nyumbani kwake

MUNGU awape nguvu kipindi hiki kigumu ndugu na jamaa wa marehemu
 
Alafu kweli ukishindwa mtihani wa kukaa na mtu ambae hamna undugu kabisa(mke) huwezi shinda mtihani ya kukaa na ndugu..
1 .huaminiki kwa ndugu wenyewe hata wageni hupati kwa sababu huna mke.

2. Huoni haja ya kukaa na ndugu unaona wanakukera unajikuta unakaa kibachela.

3.Unaona gharama za uendeshaji ni kubwa kuhudumia watu ambao sio damu yako.

4.Kwa umri huo kufa peke yako ndani ni mashaka hata lifestyle yake inaonesha alikuwa mkaksi balaa.


Ila team kataa ndoa buana...Anyway Mungu ampumzishe salama.
 
POle sana Mwamba.

Mtu mzima kuishi peke yako Asubuhi hadi jioni, week hadi mwezi mpaka mwaka.

Unajua ukiwa kijana unajiona una nguvu, una pesa, life is easy but ́y frienf When you reach 50, my frienf you will regret
Wakifika 50 na hawana wake nao wanapataga changamoto kipata wenza..wanaogopwa na wanawake
 
Tujifunze kiswahili fasaha sio kufa binadamu hafi. Sema Amefariki
wanaokufa ni wanyama kama mbuzi kondoo nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…