Kiongozi wa umma apimwe kwa Uwezo wake si kwa Jinsia, Ukabila, Dini, Uzanzibari au Ubara

Kiongozi wa umma apimwe kwa Uwezo wake si kwa Jinsia, Ukabila, Dini, Uzanzibari au Ubara

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Salamu wakuu,
Siku za karibuni kumekuwa na kundi kubwa la watu wanaopiga matarumbeta kunadi viongozi kwa munajili wa Jinsia. Watu hao wanasahau kabisa kwamba ubora wa kiongozi hautokani na Jinsia yake, Dini yake, Uzanzibari wake, Utanganyika wake, Sura yake nk. Bali ubora wa Kiongozi unatokana na uwezo wake na nia yake ya dhati ya kuwainua watanzania katika ngazi zote kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine, Kiuchumi na Kijamii.

Bila kujali Jinsia ya kiongozi, Kama anayeonekana ana uwezo zaidi ni Mwanaume, anapaswa kupewa, Kama anayeonekana ana uwezo zaidi ni Mwanamke basi naye apewe.Lakini masuala ya Gender balance na kulazimisha watu wasio na uwezo kuongoza na kushika idara nyeti za taifa ni hatari sana, Na sote tumelishuhudia hilo kwa miaka minne iliyopita.

Wako viongozi wa Jinsia ya kike waliopambana ma kuonyesha uwezo wa uongozi kuzidi Jinsia ya kiume na wakaweza kupewa nyadhifa mbalimbali Tanzania na hata Duniani, Mfano walikuwepo kina Dr. Asharose Migiro, Dr. Mary Nagu, Prof. Tibaijuka nk. Viongozi hawa hawakubebwa kwa jinsia zao, Uzanzibari/utanganyika wao wala dini zao, bali waliingia kwenye Kinyang'anyiro na wenzao wa jinsia ME na wakashinda!

Hitimisho;
Viongozi hususan wa idara nyeti za umma, wapewe nyadhifa hizo kwa kuonyesha competency na uwezo usiopingika si kwa kuonyesha UZANZIBARI, JINSIA au DINI zao.
 
Mbona unazunguka sana mkuu....!!
Yaani ungesema tu mama asipingwe, uzi ungekua tayari...😜
Kwanini asipingwe wakati kwa mtazamo wangu naona kuna viongozi wengi tu wenye uwezo zaidi yake? Mfano Bashungwa, Dotto Biteko, Freeman Mbowe, Tundu Lissu nk.
 
Salamu wakuu,
Siku za karibuni kumekuwa na kundi kubwa la watu wanaopiga matarumbeta kunadi viongozi kwa munajili wa Jinsia. Watu hao wanasahau kabisa kwamba ubora wa kiongozi hautokani na Jinsia yake, Dini yake, Uzanzibari wake, Utanganyika wake, Sura yake nk. Bali ubora wa Kiongozi unatokana na uwezo wake na nia yake ya dhati ya kuwainua watanzania katika ngazi zote kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine, Kiuchumi na Kijamii.

Bila kujali Jinsia ya kiongozi, Kama anayeonekana ana uwezo zaidi ni Mwanaume, anapaswa kupewa, Kama anayeonekana ana uwezo zaidi ni Mwanamke basi naye apewe.Lakini masuala ya Gender balance na kulazimisha watu wasio na uwezo kuongoza na kushika idara nyeti za taifa ni hatari sana, Na sote tumelishuhudia hilo kwa miaka minne iliyopita.

Wako viongozi wa Jinsia ya kike waliopambana ma kuonyesha uwezo wa uongozi kuzidi Jinsia ya kiume na wakaweza kupewa nyadhifa mbalimbali Tanzania na hata Duniani, Mfano walikuwepo kina Dr. Asharose Migiro, Dr. Mary Nagu, Prof. Tibaijuka nk. Viongozi hawa hawakubebwa kwa jinsia zao, Uzanzibari/utanganyika wao wala dini zao, bali waliingia kwenye Kinyang'anyiro na wenzao wa jinsia ME na wakashinda!

Hitimisho;
Viongozi hususan wa idara nyeti za umma, wapewe nyadhifa hizo kwa kuonyesha competency na uwezo usiopingika si kwa kuonyesha UZANZIBARI, JINSIA au DINI zao.
Iwe marufuku Mzanzibari kutawala bara, vinginevyo na sisi turuhusiwe kushika nyadhifa mbalimbali Zanzibar
 
Salamu wakuu,
Siku za karibuni kumekuwa na kundi kubwa la watu wanaopiga matarumbeta kunadi viongozi kwa munajili wa Jinsia. Watu hao wanasahau kabisa kwamba ubora wa kiongozi hautokani na Jinsia yake, Dini yake, Uzanzibari wake, Utanganyika wake, Sura yake nk. Bali ubora wa Kiongozi unatokana na uwezo wake na nia yake ya dhati ya kuwainua watanzania katika ngazi zote kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine, Kiuchumi na Kijamii.

Bila kujali Jinsia ya kiongozi, Kama anayeonekana ana uwezo zaidi ni Mwanaume, anapaswa kupewa, Kama anayeonekana ana uwezo zaidi ni Mwanamke basi naye apewe.Lakini masuala ya Gender balance na kulazimisha watu wasio na uwezo kuongoza na kushika idara nyeti za taifa ni hatari sana, Na sote tumelishuhudia hilo kwa miaka minne iliyopita.

Wako viongozi wa Jinsia ya kike waliopambana ma kuonyesha uwezo wa uongozi kuzidi Jinsia ya kiume na wakaweza kupewa nyadhifa mbalimbali Tanzania na hata Duniani, Mfano walikuwepo kina Dr. Asharose Migiro, Dr. Mary Nagu, Prof. Tibaijuka nk. Viongozi hawa hawakubebwa kwa jinsia zao, Uzanzibari/utanganyika wao wala dini zao, bali waliingia kwenye Kinyang'anyiro na wenzao wa jinsia ME na wakashinda!

Hitimisho;
Viongozi hususan wa idara nyeti za umma, wapewe nyadhifa hizo kwa kuonyesha competency na uwezo usiopingika si kwa kuonyesha UZANZIBARI, JINSIA au DINI zao.

Umepata lunch lakini mkuu???


Anyway weka audio story imekua ndefu sana!!
 
Back
Top Bottom