Kiongozi wa waasi wa Syria asema Majeshi ya Urusi yataendelea kusalia nchini humo

Kiongozi wa waasi wa Syria asema Majeshi ya Urusi yataendelea kusalia nchini humo

Mbona hata Hizbullah wamechukua udhibiti wa wa miji yote ya mpakani kati ya Syria na Lebanon baada ya serikali kujiondoa?
Walio ushambulia ubalozi wa Iran ni raia wa kawaida na sio waasi ,Iran ina uwekezaji wa viwanda kadhaa nchini Syria na mpaka sasa hakuna chochote kilicho guswa na waasi.

Wenda Asad amezungukwa na washirika wake wa karibu kabisa na ukitaka kujua hilo mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote wa serikali ya Asad au kijeshi aliye kamatwa na waasi.
kama ni kweli.
 
Nyie mnaowashabikia hawa waasi kwa kudhani watakuwa wema kwa Israel na West nawashangaa sana, mnajisahaulisha hawa walikuwa sehemu ya Al Qaeda.

Wakati wowote kitawaka, watawageuka hamtoamini!
Unavyodhani al qaeda na isis ni makundi ya nani kama si israel na usa!
 
Abu Julani nimemkubali sana, halafu kijana mdogo tu.
Ana mipango na utulivu, hatuoni akiua watu wala machafuko kama mapinduzi mengine.
Mpe muda,huyo ni mzaliwa wa Golan, alikua na ISIS iraq, akaachana nao akajiunga alqaeda,cia wakamkamata,akapotea miezi,akaibuka na mtazamo tofauti na mwanzo,leo hts yake imekua powerful na kubeba nchi,mpe muda
 
Kijana wa kitanzania wa 1982 utakuta bado ana akili za kubet na kuwaza ngono, wstanzania tunachelewa kukomaa kia akili, sijui vya kula au mazingira?
Kubet hata ulaya watu wazima hubeti,baba yake iker casillas ni mbetiji mzuri,huko UK ndiyo usiseme,ngono ni mahitaji ya kibinadam
 
Wakigeuka wanachukua kipigo kama ilivyokua kwa hamas na Hezbollah vibaraka wa Iran. Ndio maana ya IDF wamechukua maeneo ya kimkakati kwenye mpaka wa Syria na Israeli
Muda si muda patakua na mgogoro na israel,ngoja wakae mguu sawa, muislam yoyote wa harakati hizo huichukia USA na israel
 
Vyombo mbalimbali vya habari Nchini Urusi vimethibitisha kuwa Kiongozi wa waasi huko Syria baada ya majadiliano ya muda amekubaliana na serikali ya Urusi kuendelea kutekeleza majukumu yake nchini humo
Itakumbukwa kuwa Urusi ana Kambi mbili za kijeshi nchini Syria.

View attachment 3172710View attachment 3172711
Cha msingi aliyekuwa anapewa support na kubwa la magaidi( Jamhuri ya Kiislamu ya Iran) na Hezbollah ameondoka.
 
Muda si muda patakua na mgogoro na israel,ngoja wakae mguu sawa, muislam yoyote wa harakati hizo huichukia USA na israel
Uzuri Israeli anakupokea jinsi unavyokuja na michezo yote ya Middle East anaijua vizuri sana. Ukija kwa shari anakutuliza kama alivyowatuliza akina Sinwar na genge lake la magaidi
 
Mbona hata Hizbullah wamechukua udhibiti wa wa miji yote ya mpakani kati ya Syria na Lebanon baada ya serikali kujiondoa?
Walio ushambulia ubalozi wa Iran ni raia wa kawaida na sio waasi ,Iran ina uwekezaji wa viwanda kadhaa nchini Syria na mpaka sasa hakuna chochote kilicho guswa na waasi.

Wenda Asad amezungukwa na washirika wake wa karibu kabisa na ukitaka kujua hilo mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote wa serikali ya Asad au kijeshi aliye kamatwa na waasi.
Watu hawana shida na wa Syria wenzao, Waislam wa suni hawataki kuiona Iran ikizid kutanuka kaka na ndio maana Israel inachofanya wanapewa taarifa zote za kijasusi na hao waarabu. We unafikiri Israel ingepata wapi taarifa ndani ya Lebanon kama sio watu ndani ya mfumo ya serikali inawapa.
 
Abu Julani nimemkubali sana, halafu kijana mdogo tu.
Ana mipango na utulivu, hatuoni akiua watu wala machafuko kama mapinduzi mengine.
It's too early, naona hata Pro Israel wamefurahi hawajui huyu ni threat kwa Israel kuliko hata Ayatollah!! Huyu ni literally ISIS na Al qaeda Graduate ni suala la muda tu atakua hatari kuliko Assad.
 
Wakigeuka wanachukua kipigo kama ilivyokua kwa hamas na Hezbollah vibaraka wa Iran. Ndio maana ya IDF wamechukua maeneo ya kimkakati kwenye mpaka wa Syria na Israeli
Wakiwa backed na Russia kama alivyokua Assad miaka ya 2011-16 wataweza?
 
Back
Top Bottom