boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Ni kweli sikupingi wanaweza kukengeuka kama HamasNyie mnaowashabikia hawa waasi kwa kudhani watakuwa wema kwa Israel na West nawashangaa sana, mnajisahaulisha hawa walikuwa sehemu ya Al Qaeda.
Wakati wowote kitawaka, watawageuka hamtoamini!