Kiongozi wa waasi wa Syria asema Majeshi ya Urusi yataendelea kusalia nchini humo

Kiongozi wa waasi wa Syria asema Majeshi ya Urusi yataendelea kusalia nchini humo

We huoni haminiki kila mwenye kuvaa msalaba lazima apate lana, wewe wachunguze tu lazima utakuta wana kasoro tu. Na wengi wao waongo sana.
Km haamiki kitu gani kinawafanya kumuimba km shujaa wenu kwenye vijiwe vya gahawa mkilumagia na kashata.. kwani kuna watetezi wa uislamu ambao ni makafir ?
 
Netanyahu? Huyi vita zikiisha ana kesi ya ufisadi huko kwao inamsubiri ila ana buy time tu kesi zisogezwe mbele mind you ana arrest warrant pia ya ICC. So ongelea Israel siyo huyo anayekalia kuti kavu Israel.

Pia anguko la Israel itakua muungano wa Iran, Russia na China maadam Israel ni kibaraka wa marekani then mwisho wake utakua mikononi mwa haya mataifa matatu. Ni suala la muda tu ataingia kwenye 18 za Russia hapo syria
Hakutatokea muungano wa Iran, China na Urusi hayo ni matamanio ya wanyonge dhidi ya mabeberu ambayo hayawezi kutimia mbele ya USA, UK na France katika karne hii.
 
Nilibebwa na mihemuko, nilipotulia nikafanya homework vizuri ndio natoa credit where it's due, Abu katisha.
Iko hivi Dada,

Huyu jamaa ni mjanja sana na ametumia akili

Angetoa tu jeshi la Urusi hapo Syria, baada ya wiki mbili USA ingeshajaza Puppets wake na baadae jeshi kabisa

Ambacho kingefuata ni Syria kuharibiwa yote kama ilivyokuwa IRAQ au LIBYA

Mahala popote alipo Mrusi kwa Waarabu basi wapo salama kwakuwa USA hawaingii wala kuweka kambi

Wataendelea kuwa salama, ila sasa utashangaa wataanza kugombania madaraka wenyewe kwa wenyewe
 
Netanyahu? Huyi vita zikiisha ana kesi ya ufisadi huko kwao inamsubiri ila ana buy time tu kesi zisogezwe mbele mind you ana arrest warrant pia ya ICC. So ongelea Israel siyo huyo anayekalia kuti kavu Israel.

Pia anguko la Israel itakua muungano wa Iran, Russia na China maadam Israel ni kibaraka wa marekani then mwisho wake utakua mikononi mwa haya mataifa matatu. Ni suala la muda tu ataingia kwenye 18 za Russia hapo syria
Hizo ni ndoto za Abunuasi

Ni kweli Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, anakabiliwa na kesi , Desemba 3, 2024, mahakama ya Israel iliamuru Netanyahu kutoa ushahidi katika kesi yake baada ya kuahirishwa mara kadhaa.

Kuhusu hati ya kukamatwa iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Ufaransa imesema kwamba Netanyahu ananufaika na "kinga" ambayo inapaswa kuzingatiwa.

Kuhusu uhusiano wa Israel na mataifa kama Iran, Urusi, na China, ni kweli kwamba Israel ina uhusiano wa karibu na Marekani, ambayo ni mshirika wake mkuu wa kijeshi na kiuchumi. Hata hivyo, uhusiano kati ya Israel na mataifa kama Urusi na China ni mgumu zaidi. Urusi na China zimekuwa zikishirikiana na Iran katika masuala mbalimbali, na mara kwa mara zimeonyesha msimamo tofauti na Marekani na Israel katika masuala ya kimataifa.

Israel ina jeshi lenye nguvu na inaungwa mkono na washirika wake wa kimataifa, hasa Marekani. Hali ya baadaye ya eneo hili itategemea mienendo ya kisiasa, diplomasia, na kijeshi ya pande zote zinazohu
sika.
 
Uzuri Israeli anakupokea jinsi unavyokuja na michezo yote ya Middle East anaijua vizuri sana. Ukija kwa shari anakutuliza kama alivyowatuliza akina Sinwar na genge lake la magaidi
Myahudi yeye kwake ni jino kwa jino.
Waarabu hawana hamu naye
 
Nyie mnaowashabikia hawa waasi kwa kudhani watakuwa wema kwa Israel na West nawashangaa sana, mnajisahaulisha hawa walikuwa sehemu ya Al Qaeda.

Wakati wowote kitawaka, watawageuka hamtoamini!
Au Qaeda ni chombo cha Marekani
 
It's too early, naona hata Pro Israel wamefurahi hawajui huyu ni threat kwa Israel kuliko hata Ayatollah!! Huyu ni literally ISIS na Al qaeda Graduate ni suala la muda tu atakua hatari kuliko Assad.
Hakuna kiumbe wa kumtisha Israel kwa sasa
 
Naona waliokuwa wanasema Urusi hatakubali Asad aondoke wamebadilisha msemo.
Mkuu mtu akikusaidia haina MAANA ATAFANYA KWA NIABA YAKO .NINACHOKIONA MINI NI WANAJESHI WA SIRIA KUGOMA KUPIGINA
 
Hakutatokea muungano wa Iran, China na Urusi hayo ni matamanio ya wanyonge dhidi ya mabeberu ambayo hayawezi kutimia mbele ya USA, UK na France katika karne hii.
Kivipi? Mbona huko Syria waliungana? Achaga hizo statement za "Haitotokea" wakati its obvious China is likely to ally with Russia kuliko USA due to historical factors.
 
Kijana wa kitanzania wa 1982 utakuta bado ana akili za kubet na kuwaza ngono, wstanzania tunachelewa kukomaa kia akili, sijui vya kula au mazingira?
Mbaya zaidi ni kijana asiye na masilahi na CCM, kuishabikia CCM
 
Hakutatokea muungano wa Iran, China na Urusi hayo ni matamanio ya wanyonge dhidi ya mabeberu ambayo hayawezi kutimia mbele ya USA, UK na France katika karne hii.
Kuchanganyikiwa huko kwa mugwana wa hizbollah hajui ashike lipi aache lipi yeye kila anachokisikia anakibeba tu ili mradi kinaufurahisha moyo wake, sasa china sijui anaingiaje hapo?
 
Nyie mnaowashabikia hawa waasi kwa kudhani watakuwa wema kwa Israel na West nawashangaa sana, mnajisahaulisha hawa walikuwa sehemu ya Al Qaeda.

Wakati wowote kitawaka, watawageuka hamtoamini!
Wenzio hawajui hayo,wao wamebakia na chuki kwa kobazi,utadhani hao waasi ni wagalatia watupu, kweli dini ni utahira
 
Nyie mnaowashabikia hawa waasi kwa kudhani watakuwa wema kwa Israel na West nawashangaa sana, mnajisahaulisha hawa walikuwa sehemu ya Al Qaeda.

Wakati wowote kitawaka, watawageuka hamtoamini!
Na hao ndio ISIS wenyewe. Gaidi haaminiki.

Wakiishatulia, sasa Kurdish wanaanza kuishambulia Uturuki tena, sasa hivi Assad hayupo wa kuwazuia, Endorgan naye mpaka akimbie nchi.
 
Back
Top Bottom