OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,339
Acha akili fupi umeambiwa uchunguzi ndio unafanyika ili kubaini ukweliHaya majungu, kama wanaushahidi wapeleke kwenye taasisi ya rushwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha akili fupi umeambiwa uchunguzi ndio unafanyika ili kubaini ukweliHaya majungu, kama wanaushahidi wapeleke kwenye taasisi ya rushwa
Kocha anajihami kibarua chake, hana lolote. Hawajazoea capetWakuu kama mnavyokumbuka timu ya Kagera Sugar ilifungwa na Yanga ya Dar jumla ya Goli 6 kwa 2. Na kama mnavyokumbuka Yanga imekuwa ikishutumiwa kununua ama timu nzima au baadhi ya wachezaji ili kurahisha mazingira ya ushindi wa kimbunga.
======================
Uongozi wa Kagera Sugar umewasimamisha wachezaji wake wawili golikipa Hussein Sharif ‘Casillas’ na beki Erick Kyaruzi kwa tuhuma za kuihujumu timu wakati wa mchezo wa liopoteza kwa kufungwa magoli 6-2.
Katibu Mkuu wa klabu hiyo Hamisi Madaki amethibisha kuwasimamisha wachezaji hao kwa muda usiojulikana kwa ajili ya kupisha uchunguzi juu ya tuhuma zinazowakabili.
“Tunaendelea na uchunguzi kwasababu kunaonekana kulikuwa na hujuma katika mechi yetu na Yanga kwahiyo tumeona tuendelee na uchunguzi na tumeona wakae kando wakati tunaendelea na uchunguzi huo.”
“Aina ya magoli tuliyofungwa kila mtu aliyaona na yanatia wasiwasi mkubwa. Suala sio idadi ya magoli suala ni aina ya amagoli mtu aliayofungwa, hata kama ni goli moja lakini kama linatia wasiwasi lazima tuchukue hatua.”
“Makosa ya namna ile hatukuridhika nayo ndiyo maana tunafanya uchunguzi. Hata beki goli alilofungisha unaona dhahiri kwamba halikupashwa kuwa goli ndiyo maana tunafanya uchunguzi.”
“ nikiwa kama Mtendaji mkuu wa klabu, hiyo taarifa sina sisi tumewasimamisha na hata barua tulizowaandikia tumesema tumewasimamisha . Suala la kuwaondoa kabisa hilo siwezi kulisemea, taarifa nilitoa mbele ya wachezaji na benchi la ufundi baada ya kukaa viongozi na benchi la ufundi tulikubaliana kuwasimamisha.”
“Tumewasimamisha kwa muda usiojulikana mpaka tukamilishe uchunguzi, hii si mara ya kwanza watu wanasahau historia, tumeshawahi kusimamisha wachezaji na kuwafukuza kabisa hapo kabla.”
Katika mchezo huo, Hussein Sharif alifungwa magoli matatu kipindi cha kwanza kabla ya kufanyiwa mabadiliko kumpisha David Burhani ambaye pia alifungwa magoli matatu.
Kyaruzi yeye alirudisha pasi fupi kwa golikipa wake ambapo Donald Ngoma aliuwahi mpia huo na kufunga bao.
TAKUKURU fanyika kazi hii timu inatia aibu Taifa.
c.c Makoye Matale na sembo
Uchunguzi ufanyike na ukweli ujulikane
Kama vipi waishushe timu yoteSimba haijawahi hawa kuwaziwa kununua mechi, lakini kwa nini Yanga tu. Kagera sugar sio wajinga kusimamisha wachezaji
Kama Yanga wananua mechi, basi watuonyeshe risiti ya EFD original maana ni kosa kununua bidhaa na ukashindwa kutoa risiti. Simba waanze kuonyesha risiti kwa mechi mbili za msimu uliopita kwa kuwa mechi zao walituuzia.[emoji12]Mkuu mashabiki wengi wa simba ni shida huwa wanaamini simba ndo inapaswa kushinda game tu, ikishinda yanga kahonga.... Simba anaongoza lingi sasa umesikia shabiki wa yanga akipiga kelele simba ananunua mechi au anapendelewa!?
Daima mbele nyuma mwiko:Haya na leo wamefungwa wafukuzane tena
Kagera hawajui ule uwanja wao kwa sasa ni mzuri, na nyasi za plastic zikiwa kwenye baridi utazifurahia mwenyewe kwa hiyo kwa timu za kimataifa kama yanga na Azam zitawapiga sana tuu