Kipa na Beki Kagera Sugar wasimamishwa kwa tuhuma ya kuhujumu dhidi Yanga SC

Kocha anajihami kibarua chake, hana lolote. Hawajazoea capet
 
Mkuu mashabiki wengi wa simba ni shida huwa wanaamini simba ndo inapaswa kushinda game tu, ikishinda yanga kahonga.... Simba anaongoza lingi sasa umesikia shabiki wa yanga akipiga kelele simba ananunua mechi au anapendelewa!?
Kama Yanga wananua mechi, basi watuonyeshe risiti ya EFD original maana ni kosa kununua bidhaa na ukashindwa kutoa risiti. Simba waanze kuonyesha risiti kwa mechi mbili za msimu uliopita kwa kuwa mechi zao walituuzia.[emoji12]
 
mbona kama leo pia goli la pili na tatu kuna kauzembe watafukuza nani sasa??

final result Kagera 2 Azam 3 pale pale kaitaba
 
Haya na leo wamefungwa wafukuzane tena
Kagera hawajui ule uwanja wao kwa sasa ni mzuri, na nyasi za plastic zikiwa kwenye baridi utazifurahia mwenyewe kwa hiyo kwa timu za kimataifa kama yanga na Azam zitawapiga sana tuu
 
1. Toto African 0 - Yanga SC 2.

2. Kagera Sugar 2 - Yanga SC 6

3. Yanga SC 4 - JKT Ruvu 0.

Takukuru wafanyie kazi pia na mechi iliyofuatia ya JKT ruvu, huenda yanga pia walitoa rushwa wakashinda goli 4 mtungi. Huenda YANGA hawana uwezo wa kushinda goli 10 ndani ya mechi 2
 
Haya na leo wamefungwa wafukuzane tena
Kagera hawajui ule uwanja wao kwa sasa ni mzuri, na nyasi za plastic zikiwa kwenye baridi utazifurahia mwenyewe kwa hiyo kwa timu za kimataifa kama yanga na Azam zitawapiga sana tuu
Daima mbele nyuma mwiko:
marudiano na Kagera tunashinda goli8 ili tuwathibitishie watani zetu kwamba hakuna figisu bali ni uwezo tu mkubwa wa kimataifa
 
mi sijawahi kuona mechi ya kijinga kama hiyo. kipa anamtemea forward mpira zaidi ya mara mbili. hao wanastahili kufungiwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…