GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Uwezo wa yanga ndo uliipoishiaNa huu Uzee wangu hata Kesho unipange Golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo huyu Fei Toto bado hatoweza Kunifunga kama alivyomfunga Mnafiki na Mpuuzi David Kisu Kipa wa KMC FC.
Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?
Kabisa mkuu, yaani hadi simba amepewa bahasha na yanga, hii haikubaliki.😁hawa utopolo wakikutana na watu kimataifa wanashindwa kutembeza bahasha yanaanza kulia hapa
Mgao kwa Manula usheumaliza?Na huu Uzee wangu hata Kesho unipange Golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo huyu Fei Toto bado hatoweza Kunifunga kama alivyomfunga Mnafiki na Mpuuzi David Kisu Kipa wa KMC FC.
Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?
Kwahiyo Simba nayo siyo ya kimataifa? Mbona inachezea NDOIGE za kutosha au pia huwq wanapokea bahasha?.😁hawa utopolo wakikutana na watu kimataifa wanashindwa kutembeza bahasha yanaanza kulia hapa
Dah! Ila Aden Rage anawajua Shimbwa akili ndogo....sijui atawasaidiaje!?Na huu Uzee wangu hata Kesho unipange Golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo huyu Fei Toto bado hatoweza Kunifunga kama alivyomfunga Mnafiki na Mpuuzi David Kisu Kipa wa KMC FC.
Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?
Na huu Uzee wangu hata Kesho unipange Golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo huyu Fei Toto bado hatoweza Kunifunga kama alivyomfunga Mnafiki na Mpuuzi David Kisu Kipa wa KMC FC.
Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?
Mara Trilioni yako na wana Ukoo wako.Nyanoko rushindo
Achana na Mimi Mnafiki na Mpumbavu mkubwa Wewe. Kutwa unahubiri Kunichukia GENTAMYCINE hapa Jamiiforums lakini cha Kushangaza unapenda Kushobokea Mada ( Threads ) zangu.Lile goli mbona la kawaida? Labda ungehoji wale washambuliaji waliokosa magoli ya wazi.
Haya bana, wacha tuone hapo kwenye makundi mtafanya nini kama sio kuzibwa kinyeo halafu mrudi kutushabikia tukichukua kombe la shirikisho.Yanga mtapigwa kimataifa hadi mnye mavi mekundu.
Timu yenu ni ya mipango tu basi.
Ni kama ushawahi kuyanya sio?Yanga ndo mkakati wenu umeishia hapo. Kimataifa mtapigwa hadi mnye mavi meusi.