Kipa wa KMC FC tukutane wapi unigawie kidogo hela uliyopewa kwa kuwapa goli jepesi la jioni?

Kipa wa KMC FC tukutane wapi unigawie kidogo hela uliyopewa kwa kuwapa goli jepesi la jioni?

KMC jana aliyeharibu ni Beki namba mbili 2. Kikosi kilikuwa vizuri tu. Na huyo No. Mbili kacheza hadi mwisho.

Ile Sub, ya kipindi cha pili iliyowatoa wachezaji watatu wa KMC ilikuwa ya mipango...
Si muhonge na nyie m'bebwe?
 
We nawe unatafuta attention na kujiona special. Kila siku ni kulaumu na kulalama unachukiwa, wakuchukie kwa lipi? Mara mods wanakuonea kwa lipi...
Nonsense.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great.
 
Ila Genta Una akili Sana. Kuna watu ulishawageuza Ndondocha Hadi hawajitambui. Inawezekana hapa unamaanisha kitu tofauti lakini walivyojaa Sasa!!
 
Ila Genta Una akili Sana. Kuna watu ulishawageuza Ndondocha Hadi hawajitambui. Inawezekana hapa unamaanisha kitu tofauti lakini walivyojaa Sasa!!
Ndiyo maana huwa nakuambia Nakukubali sana, Una Akili Kubwa halafu ni Rafiki yangu mkubwa hapa JamiiForums.
 
KMC jana aliyeharibu ni Beki namba mbili 2. Kikosi kilikuwa vizuri tu. Na huyo No. Mbili kacheza hadi mwisho.

Ile Sub, ya kipindi cha pili iliyowatoa wachezaji watatu wa KMC ilikuwa ya mipango...
kwahio team isifanye sub nyinyi mmecheza na Yanga mechi ngapi mmeshidwa kutufunga mnawasakizia KMC mtafta visababu visivyo na kichwa wala miguu
 
We nawe unatafuta attention na kujiona special. Kila siku ni kulaumu na kulalama unachukiwa, wakuchukie kwa lipi? Mara mods wanakuonea kwa lipi?...
Jamani kuna mtu kaumizwa huku! Leteni First Aid kit.
 
Na huu uzee wangu hata kesho unipange golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo, huyu Fei Toto bado hatoweza kunifunga kama alivyomfunga mnafiki na mpuuzi David Kisu kipa wa KMC FC.

Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?
Wewe ni mwehu kumbe sasa lile gori mtu unadakaje ndani ya 6?

Sometimes acha kupumuliwa kisogoni
 
KMC jana aliyeharibu ni Beki namba mbili 2. Kikosi kilikuwa vizuri tu. Na huyo No. Mbili kacheza hadi mwisho.

Ile Sub, ya kipindi cha pili iliyowatoa wachezaji watatu wa KMC ilikuwa ya mipango.
Uwesu Uwesu na wale wawili waliupiga mwingi sana mi walivyo tolewa tu nikacheka na kuwaambia jirani zangu kuwa Yanga ishashinda.
Mmoja ya waliotolewa alikuwa anatikisa kichwa kwa kushangaa kwanini anatoka.

Ndio maana yule msemaji wa KMC anayeropoka kwa jazba wakicheza na Simba jana alikuwa Kimyaaaa.

Nawaambieni Yanga mtakuwa mnachukua makombe yote ya ndani kwa muda huu. Ila mkienda kimataifa mtachapika hadi mkome.

Hao Watunisia watawakaanga hapahapa kwa mkapa kwakuwa refa sio mtanzania.
Imefikia mahali Yanga inabebwa na karibu nchi nzima.

Ni ajabu na kweli.

Ukweli mtupu, aisee
 
Back
Top Bottom