Kipa wa KMC FC tukutane wapi unigawie kidogo hela uliyopewa kwa kuwapa goli jepesi la jioni?

Kipa wa KMC FC tukutane wapi unigawie kidogo hela uliyopewa kwa kuwapa goli jepesi la jioni?

Kama KMC mnajitambua mfukuzeni huyo kocha. Sababu ya kwanza ilikuwa ni ya kimkakati.
Wa Yanga ashinde.
La mwulizeni hivi, hao wachezaji watatu alio watoa iipindi cha pili walikosea wapi ?
Video zipo, na ziletwe tuone
 
Na huu Uzee wangu hata Kesho unipange Golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo huyu Fei Toto bado hatoweza Kunifunga kama alivyomfunga Mnafiki na Mpuuzi David Kisu Kipa wa KMC FC.

Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?
Popoma charismatic fela .....

Bila shaka ushamaliza pepa la darasa la nne
 
Bahasha kama bahasha

Mkachukue mgao na kwa Manula

JamiiForums-1802561754.jpg
 
Achana na Mimi Mnafiki na Mpumbavu mkubwa Wewe. Kutwa unahubiri Kunichukia GENTAMYCINE hapa Jamiiforums lakini cha Kushangaza unapenda Kushobokea Mada ( Threads ) zangu.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Hauna thread hapa jamiiforums, hili ni jukwaa huru. Ukishapost kila mtu yuko huru kuchangia.

Pia mtu akikukosoa haimaanishi kwamba awe na prejudices against you.
 
Hauna thread hapa jamiiforums, hili ni jukwaa huru. Ukishapost kila mtu yuko huru kuchangia.

Pia mtu akikukosoa haimaanishi kwamba awe na prejudices against you.
Hongera kwa Kukazana kunipa Umaarufu.
 
Na huu uzee wangu hata kesho unipange golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo, huyu Fei Toto bado hatoweza kunifunga kama alivyomfunga mnafiki na mpuuzi David Kisu kipa wa KMC FC.

Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?
Unapoteza nguvu nyingi bure kuisema yanga
 
KMC jana aliyeharibu ni Beki namba mbili 2. Kikosi kilikuwa vizuri tu. Na huyo No. Mbili kacheza hadi mwisho.

Ile Sub, ya kipindi cha pili iliyowatoa wachezaji watatu wa KMC ilikuwa ya mipango.
Uwesu Uwesu na wale wawili waliupiga mwingi sana mi walivyo tolewa tu nikacheka na kuwaambia jirani zangu kuwa Yanga ishashinda.
Mmoja ya waliotolewa alikuwa anatikisa kichwa kwa kushangaa kwanini anatoka.

Ndio maana yule msemaji wa KMC anayeropoka kwa jazba wakicheza na Simba jana alikuwa Kimyaaaa.

Nawaambieni Yanga mtakuwa mnachukua makombe yote ya ndani kwa muda huu. Ila mkienda kimataifa mtachapika hadi mkome.

Hao Watunisia watawakaanga hapahapa kwa mkapa kwakuwa refa sio mtanzania.
Imefikia mahali Yanga inabebwa na karibu nchi nzima.

Ni ajabu na kweli.
 
Na huu uzee wangu hata kesho unipange golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo, huyu Fei Toto bado hatoweza kunifunga kama alivyomfunga mnafiki na mpuuzi David Kisu kipa wa KMC FC.

Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?

Mashabiki wa simba baadhi yenu ni watu wa hovyo sana, ngoja Leo azam wawafunge ndo mtaelewa
 
KMC jana aliyeharibu ni Beki namba mbili 2. Kikosi kilikuwa vizuri tu. Na huyo No. Mbili kacheza hadi mwisho.

Ile Sub, ya kipindi cha pili iliyowatoa wachezaji watatu wa KMC ilikuwa ya mipango.
Uwesu Uwesu na wale wawili waliupiga mwingi sana mi walivyo tolewa tu nikacheka na kuwaambia jirani zangu kuwa Yanga ishashinda.
Mmoja ya waliotolewa alikuwa anatikisa kichwa kwa kushangaa kwanini anatoka.

Ndio maana yule msemaji wa KMC anayeropoka kwa jazba wakicheza na Simba jana alikuwa Kimyaaaa.

Nawaambieni Yanga mtakuwa mnachukua makombe yote ya ndani kwa muda huu. Ila mkienda kimataifa mtachapika hadi mkome.

Hao Watunisia watawakaanga hapahapa kwa mkapa kwakuwa refa sio mtanzania.
Imefikia mahali Yanga inabebwa na karibu nchi nzima.

Ni ajabu na kweli.
Boss!!! Ata sisi Sub zetu za Nkane na Fei Baby ndio zilizaa kakitu. Wacha izo.
 
Na huu uzee wangu hata kesho unipange golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo, huyu Fei Toto bado hatoweza kunifunga kama alivyomfunga mnafiki na mpuuzi David Kisu kipa wa KMC FC.

Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?
Acha Upuuzi angalia hapa

 
Na huu uzee wangu hata kesho unipange golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo, huyu Fei Toto bado hatoweza kunifunga kama alivyomfunga mnafiki na mpuuzi David Kisu kipa wa KMC FC.

Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?

WE taahira kweli
 
Achana na Mimi Mnafiki na Mpumbavu mkubwa Wewe. Kutwa unahubiri Kunichukia GENTAMYCINE hapa Jamiiforums lakini cha Kushangaza unapenda Kushobokea Mada ( Threads ) zangu.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
We nawe unatafuta attention na kujiona special. Kila siku ni kulaumu na kulalama unachukiwa, wakuchukie kwa lipi? Mara mods wanakuonea kwa lipi? Ebu kuwa bwana mkubwa na ubadilike. Unaboa bwana sio kila siku wewe. Member tushindwe wachukia magreater thinker akina Mshana Jr, the Bold au mzee saidi wa Zanzibar au Paschal, Da Vinci n.k wanaondika vitu vya maana tukuchukie wewe unayeandika ushuzi humu. Huna umuhimu na uspecial huo humu JF. Tuliza mshono
 
Na huu uzee wangu hata kesho unipange golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo, huyu Fei Toto bado hatoweza kunifunga kama alivyomfunga mnafiki na mpuuzi David Kisu kipa wa KMC FC.

Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?
Dah kazi ipo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji375]
 
Back
Top Bottom