KERO Kipande cha Barabara Mbagala-Kongowe ni kero kubwa kwa tunaotumia njia hii

KERO Kipande cha Barabara Mbagala-Kongowe ni kero kubwa kwa tunaotumia njia hii

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

nzahaksm

Member
Joined
Dec 2, 2018
Posts
17
Reaction score
31
Hii njia kama wewe ni mkazi wa huku nadhani unaelewa maumivu tunayoopitia wananchi. Hazipiti siku mbili au tatu bila kuwa na shida ya ajali na kusababisha foleni. Lakini wakati mwingine kupelekea vifo. Mfano jana ilitokea ajali na kusababisha vifo pale pale darajani mlimani. Gari lilifeli break na kuvamia boda na abiria.

Hii tatizo lilishakuwa sugu lakini lishajulikana muda baada ya miji inayotumia hii njia kukukua.

Ni kawayda kupoteza zaidi ya masaa manne kwenye foleni ama utembee kwa miguu au kupanda boda ambapo na kwenye unahatarisha usalama wako kwa kuwa kipindi cha foleni kunakosekana utaratibu wa utumiaji barabara kama magari yanayochomekea wenzao etc.

Nashauri kwa kuanzia tu Serikali ianze kupanua daraja kwanza kuhakikisha zile service road mbili za kushoto na kulia zote zinafanya kazi hadi kongowe.

Mbili zichongwe service road zote ziwe level mana kuna maeneo zipo juu sana ambapo inaongeza hatar za ajali zaidi.

Wakati tukisubiri upanuzi wa barabara hili lingefanyika ingekuwa msaada mkubwa na kuruhusu magari kuzitumia hizi service road bila shida bila hata kuwa na lami.

Ni jambo linalowezekana tusisubiri majanga yazidi kuendelea wakati suluhisho la haraka lipo wazi. Naiomba serikali yangu sikivu kusiki kilio cha wananchi wake.

 
Kwa ukuaji wa jiji la Dar na viunga vyake, ingependeza ijengwe barabara kubwa ya njia nne ikianzia Mbagala mpaka Mkuranga pale, Mkuranga kwa sasa ndo inapokea watu wengi toka Dar wanaotafuta viwanja vya bei nafuu. Viwanda/karakana za Wachina zinajengwa kwa wingi huko. Sio muda mrefu ujao tutashuhudia tatizo la umeme achia mbali suala la maji.
 
Nimepita hapo muda huu nimekutana na foleni imeanzia kongowe Hadi mzinga kuna lorry limeanguka Toka usiku ..
Hilo eneo sijui serikali wana mpango upi wa kuondoa hiyo kero
 
Wapumbavu nyie.
Nani aliwaambia mchague CCM?

Haya tengenezeni barabara kwa meno
 
Hii njia kama wewe ni mkazi wa huku nadhani unaelewa maumivu tunayoopitia wananchi. Hazipiti siku mbili au tatu bila kuwa na shida ya ajali na kusababisha foleni. Lakini wakati mwingine kupelekea vifo. Mfano jana ilitokea ajali na kusababisha vifo pale pale darajani mlimani. Gari lilifeli break na kuvamia boda na abiria.

Hii tatizo lilishakuwa sugu lakini lishajulikana muda baada ya miji inayotumia hii njia kukukua.

Ni kawayda kupoteza zaidi ya masaa manne kwenye foleni ama utembee kwa miguu au kupanda boda ambapo na kwenye unahatarisha usalama wako kwa kuwa kipindi cha foleni kunakosekana utaratibu wa utumiaji barabara kama magari yanayochomekea wenzao etc.

Nashauri kwa kuanzia tu Serikali ianze kupanua daraja kwanza kuhakikisha zile service road mbili za kushoto na kulia zote zinafanya kazi hadi kongowe.

Mbili zichongwe service road zote ziwe level mana kuna maeneo zipo juu sana ambapo inaongeza hatar za ajali zaidi.

Wakati tukisubiri upanuzi wa barabara hili lingefanyika ingekuwa msaada mkubwa na kuruhusu magari kuzitumia hizi service road bila shida bila hata kuwa na lami.

Ni jambo linalowezekana tusisubiri majanga yazidi kuendelea wakati suluhisho la haraka lipo wazi. Naiomba serikali yangu sikivu kusiki kilio cha wananchi wake.

View attachment 3141446
Kwa ukuaji wa mji wa Mbagala, serikali wajiandae kuweka bypass ili kupunguza msongamano pale Rangi Tatu. Wazo la kupeleka terminal ya mabus ya mikoani nje ya Mbagala itasaidia kupunguza vurugu pale Mbagala.
 
Hii njia kama wewe ni mkazi wa huku nadhani unaelewa maumivu tunayoopitia wananchi. Hazipiti siku mbili au tatu bila kuwa na shida ya ajali na kusababisha foleni. Lakini wakati mwingine kupelekea vifo. Mfano jana ilitokea ajali na kusababisha vifo pale pale darajani mlimani. Gari lilifeli break na kuvamia boda na abiria.

Hii tatizo lilishakuwa sugu lakini lishajulikana muda baada ya miji inayotumia hii njia kukukua.

Ni kawayda kupoteza zaidi ya masaa manne kwenye foleni ama utembee kwa miguu au kupanda boda ambapo na kwenye unahatarisha usalama wako kwa kuwa kipindi cha foleni kunakosekana utaratibu wa utumiaji barabara kama magari yanayochomekea wenzao etc.

Nashauri kwa kuanzia tu Serikali ianze kupanua daraja kwanza kuhakikisha zile service road mbili za kushoto na kulia zote zinafanya kazi hadi kongowe.

Mbili zichongwe service road zote ziwe level mana kuna maeneo zipo juu sana ambapo inaongeza hatar za ajali zaidi.

Wakati tukisubiri upanuzi wa barabara hili lingefanyika ingekuwa msaada mkubwa na kuruhusu magari kuzitumia hizi service road bila shida bila hata kuwa na lami.

Ni jambo linalowezekana tusisubiri majanga yazidi kuendelea wakati suluhisho la haraka lipo wazi. Naiomba serikali yangu sikivu kusiki kilio cha wananchi wake.

View attachment 3141446
Kwa ukuaji wa mji wa Mbagala, serikali wajiandae kuweka bypass ili kupunguza msongamano pale Rangi Tatu. Wazo la kupeleka terminal ya mabus ya mikoani nje ya Mbagala itasaidia kupunguza vurugu pale Mbagala.
 
Hakuna jinsi.ila.inahitajika.nkia.zote zenye.service road zijengwe lami na.zitumike. viongozi wetu wanapanda.ndege kila siku.lakini.hawaoni aibu njia.zetu.zilivyo za kijinga
 
Back
Top Bottom