Kipanya amshtaki Mwijaku rasmi Mahakama Kuu, adai malipo mengine ya Tsh. Milioni 500

Kipanya amshtaki Mwijaku rasmi Mahakama Kuu, adai malipo mengine ya Tsh. Milioni 500


Mchoraji wa katuni maarufu nchini Tanzania na kimataifa ambaye pia ni mbunifu na mtangazaji wa vipindi vya redio na televisheni vyenye mvuto mkubwa kwa jamii, Bw. Ally Masoud Nyomwa anayejulikana zaidi kwa jina la Masoud Kipanya (KP), amafungua mashitaka Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala Ndogo ya Dar es Salaam) dhidi ya Bw. Burton Mwemba Mwijaku anayemtuhumu kumkashifu, kumshushia hadhi na heshima yake kupitia maandishi kwenye mitandao ya kijamii.

Mahakama Kuu imepokea na kuisajili kesi hiyo tarehe 05 Agosti 2024 ikiwa ni Petitition No. 18911 of 2024 ambayo amepangiwa Mheshimiwa Jaji David Ngunyale atakayeisikiliza kuanzia tarehe 03 Septemba 2024 ambapo mdaiwa au mlalamikiwa (Bw. Burton Mwijaku) ameshapelekewa wito wa kuitwa mahakamani (summons to file written statement of defence) na kutakiwa kuwasilisha maelezo ya utetezi ndani ya siku 21 tangu alipopokea huo wito au samansi.

Bw. Masoud Kipanya amemshitaki Bw. Burton Mwijaku kwa kumkashifu kwa maandishi mnamo tarehe 04 Juni 2024 kupitia ukurasa wake wa Facebook wenye utambulisho namba 108657908847651 na kwenye akaunti yake ya Instagram aliyoandika maneno ya uongo, yenye nia ovu na kumfedhehesha yakiwemo kwamba yeye KP anafanya biashara haramu inayoharibu maisha ya vijana wengi nchini.

Aidha, Bw. Masoud Kipanya anaeleza katika hati yake ya mashitaka kwamba Bw. Burton Mwijaku aliandika kwenye akaunti za mitandao tajwa kwamba yeye KP huwazodoa na kuwadhalilisha viongozi wa nchi na serikali hususani marais kwa kuhongwa.

Bw. Masoud Kipanya amesema maneno hayo ya uongo na yenye nia ovu yaliyochapishwa mitandaoni na kusomwa na watu wengi ndani ya jamii ya Tanzania na dunani kote, yametafsiri kwamba yeye KP ni sio mtu mwenye tabia nzuri wa kupewa heshima yoyote kwani hafai, anajihusisha na biashara haramu kama dawa za kulevya au nyara za serikali au magendo. Hivyo, kipato chake kinatokana na biashara hiyo haramu na sio uchoraji katuni, utangazaji, ubunifu, ubalozi wa masuala ya jamii, ukurugenzi wa bodi za taasisi mbalimbali kitaifa na kimataifa.

Bw. Masoud Kipanya kupitia mawakili wake wa kampuni yenye wanasheria wazoefu wa masuala ya habari na haki za binadamu Haki Kwanza Advocates amechambua katika vipengele 15 akifafanua maana ya maandishi ya Bw. Burton Mwijaku kwa tafsiri ya watu wa kawaida ndani ya jamii kwamba yeye KP anaonekana ni mla rushwa, jambazi, tapeli, laghai, asiyeaminika, chanzo cha vijana walioharibiwa maisha yao, na kwamba hapaswi kuhusishwa katika masuala yoyote ya kijamii ikiwemo kupewa fursa na kufanya kazi na taasisi za serikali ambazo amekuwa akijihusisha nazo hasa katika elimu na malezi ya vijana mashuleni na mitaani.

Kutokana na maandishi ya kashfa ya maneno ya uongo ya Bw. Burton Mwijaku aliyenukuliwa pia kukiri kufanya hivyo mbele ya vyombo vya habari mnamo tarehe 13 Juni 2024 alipoomba radhi bila kuchukua hatua ya dhati ya kumsafisha kimaandishi Bw. Masoud Kipanya, imemuathiri kiajira, kibiashara, kimahusiano ndani ya jamii ya Tanzania kuanzia kwenye familia yake, kisaikolojia na kumshushia hadhi na heshima aliyoijenga kwa "jasho na damu" kwa zaidi ya miaka thelathini na tano (35).

Bw. Masoud Kipanya anaiomba mahakama imuamurua Bw. Burton Mwijaku nafuu kumi na mbili (12) ikiwa ni pamoja na kumuamuru Bw. Burton Mwijaku amlipe fidia ya madhara halisia (specific damages) atakayothibitisha kwa ushahidi mahakamani kutokana na kashfa hiyo ya shilingi milioni mia tano (500,000,000/-) na fidia ya madahara ya jumla (general damages) yatakayopimwa na kuridhiwa na mahakama kwa mamlaka yake ya shilingi bilioni tano (5,000,000,000/-).

KP ameomba pia malipo ya kiadhabu kwa mdaiwa yaani punitive damages na kwamba malipo ya fidia ya madhara halisia yaambatane na riba ya asilimia thelathini na moja (31%) tangu kashfa ilipotolewa yaani tarehe 04 Juni 2024 hadi utekelezaji wa hukumu utakapokamilika.

Aidha, mdai Bw. Masoud Kipanya anaiomba mahakama katika hukumu yake itamke kwamba maneno yaliyoandikwa na kusambazwa na Bw. Buton Mwijaku yalikuwa ni ya uongo, yenye nia ovu na kuharibu hadhi na heshima yake. Mahakama imuamuru Bw. Mwijaku kuomba radhi bila masharti yoyote na kuondoa mitandaoni maneno ya kashfa yaliyoandikwa na kusambazwa.

Mahakama itamke na kumuamuri mdaiwa Bw. Burton Mwijaku, mawakala. wake, wasaidizi wake na mtu mwingine yeyote aliye katika mamlaka yake kutosambaza maneno hayo ya uongo na kashfa dhidi ya mdai Bw. Masoud Kipanya ambaye ameomba pia kulipwa gharama ya kesi ikwemo ya kuajiri mawakili na nafuu nyingine ambazo mahakama itaona ni haki na zinafaa apewe.

Pia soma

----

Kuna wakati unahisi mtu kuangukia pua. Mwijaku amezidi mdomo. Hata kwenye mambo magumu ambayo shetani mwenyewe anakimbia mbali kukwepa ushahidi
 
Mimi kwa kweli ananikwaza mbona wenzie kina baba levo hawajichetui kwa kuwavunjia watu heshima za kashfa za kijinga??
Unamwambia mtu anajihusisha na drugs hivi anamuweka kwenye nafasi gani kwenye jamii na watu waliomuamini??

Hapana hili jinga lichukuliwe hatua kali zaidi ili iwe fundisho.!
Baba levo ukimsikiliza kwa makinu utagundua sio mwehu kama anavyotaka tumuone,ile huwa ni mikakati tu.

Sasa huyo jamaa mwijaku yuko serious sana na neno kujichetua.
 

Mchoraji wa katuni maarufu nchini Tanzania na kimataifa ambaye pia ni mbunifu na mtangazaji wa vipindi vya redio na televisheni vyenye mvuto mkubwa kwa jamii, Bw. Ally Masoud Nyomwa anayejulikana zaidi kwa jina la Masoud Kipanya (KP), amafungua mashitaka Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala Ndogo ya Dar es Salaam) dhidi ya Bw. Burton Mwemba Mwijaku anayemtuhumu kumkashifu, kumshushia hadhi na heshima yake kupitia maandishi kwenye mitandao ya kijamii.

Mahakama Kuu imepokea na kuisajili kesi hiyo tarehe 05 Agosti 2024 ikiwa ni Petitition No. 18911 of 2024 ambayo amepangiwa Mheshimiwa Jaji David Ngunyale atakayeisikiliza kuanzia tarehe 03 Septemba 2024 ambapo mdaiwa au mlalamikiwa (Bw. Burton Mwijaku) ameshapelekewa wito wa kuitwa mahakamani (summons to file written statement of defence) na kutakiwa kuwasilisha maelezo ya utetezi ndani ya siku 21 tangu alipopokea huo wito au samansi.

Bw. Masoud Kipanya amemshitaki Bw. Burton Mwijaku kwa kumkashifu kwa maandishi mnamo tarehe 04 Juni 2024 kupitia ukurasa wake wa Facebook wenye utambulisho namba 108657908847651 na kwenye akaunti yake ya Instagram aliyoandika maneno ya uongo, yenye nia ovu na kumfedhehesha yakiwemo kwamba yeye KP anafanya biashara haramu inayoharibu maisha ya vijana wengi nchini.

Aidha, Bw. Masoud Kipanya anaeleza katika hati yake ya mashitaka kwamba Bw. Burton Mwijaku aliandika kwenye akaunti za mitandao tajwa kwamba yeye KP huwazodoa na kuwadhalilisha viongozi wa nchi na serikali hususani marais kwa kuhongwa.

Bw. Masoud Kipanya amesema maneno hayo ya uongo na yenye nia ovu yaliyochapishwa mitandaoni na kusomwa na watu wengi ndani ya jamii ya Tanzania na dunani kote, yametafsiri kwamba yeye KP ni sio mtu mwenye tabia nzuri wa kupewa heshima yoyote kwani hafai, anajihusisha na biashara haramu kama dawa za kulevya au nyara za serikali au magendo. Hivyo, kipato chake kinatokana na biashara hiyo haramu na sio uchoraji katuni, utangazaji, ubunifu, ubalozi wa masuala ya jamii, ukurugenzi wa bodi za taasisi mbalimbali kitaifa na kimataifa.

Bw. Masoud Kipanya kupitia mawakili wake wa kampuni yenye wanasheria wazoefu wa masuala ya habari na haki za binadamu Haki Kwanza Advocates amechambua katika vipengele 15 akifafanua maana ya maandishi ya Bw. Burton Mwijaku kwa tafsiri ya watu wa kawaida ndani ya jamii kwamba yeye KP anaonekana ni mla rushwa, jambazi, tapeli, laghai, asiyeaminika, chanzo cha vijana walioharibiwa maisha yao, na kwamba hapaswi kuhusishwa katika masuala yoyote ya kijamii ikiwemo kupewa fursa na kufanya kazi na taasisi za serikali ambazo amekuwa akijihusisha nazo hasa katika elimu na malezi ya vijana mashuleni na mitaani.

Kutokana na maandishi ya kashfa ya maneno ya uongo ya Bw. Burton Mwijaku aliyenukuliwa pia kukiri kufanya hivyo mbele ya vyombo vya habari mnamo tarehe 13 Juni 2024 alipoomba radhi bila kuchukua hatua ya dhati ya kumsafisha kimaandishi Bw. Masoud Kipanya, imemuathiri kiajira, kibiashara, kimahusiano ndani ya jamii ya Tanzania kuanzia kwenye familia yake, kisaikolojia na kumshushia hadhi na heshima aliyoijenga kwa "jasho na damu" kwa zaidi ya miaka thelathini na tano (35).

Bw. Masoud Kipanya anaiomba mahakama imuamurua Bw. Burton Mwijaku nafuu kumi na mbili (12) ikiwa ni pamoja na kumuamuru Bw. Burton Mwijaku amlipe fidia ya madhara halisia (specific damages) atakayothibitisha kwa ushahidi mahakamani kutokana na kashfa hiyo ya shilingi milioni mia tano (500,000,000/-) na fidia ya madahara ya jumla (general damages) yatakayopimwa na kuridhiwa na mahakama kwa mamlaka yake ya shilingi bilioni tano (5,000,000,000/-).

KP ameomba pia malipo ya kiadhabu kwa mdaiwa yaani punitive damages na kwamba malipo ya fidia ya madhara halisia yaambatane na riba ya asilimia thelathini na moja (31%) tangu kashfa ilipotolewa yaani tarehe 04 Juni 2024 hadi utekelezaji wa hukumu utakapokamilika.

Aidha, mdai Bw. Masoud Kipanya anaiomba mahakama katika hukumu yake itamke kwamba maneno yaliyoandikwa na kusambazwa na Bw. Buton Mwijaku yalikuwa ni ya uongo, yenye nia ovu na kuharibu hadhi na heshima yake. Mahakama imuamuru Bw. Mwijaku kuomba radhi bila masharti yoyote na kuondoa mitandaoni maneno ya kashfa yaliyoandikwa na kusambazwa.

Mahakama itamke na kumuamuri mdaiwa Bw. Burton Mwijaku, mawakala. wake, wasaidizi wake na mtu mwingine yeyote aliye katika mamlaka yake kutosambaza maneno hayo ya uongo na kashfa dhidi ya mdai Bw. Masoud Kipanya ambaye ameomba pia kulipwa gharama ya kesi ikwemo ya kuajiri mawakili na nafuu nyingine ambazo mahakama itaona ni haki na zinafaa apewe.

Pia soma

----
Nguvu anazotumia Masoud kujisafisha ni nyingi sana dhidi ya hii tuhuma. Imagine Mwijaku alikwisha omba radhi openly.

Najaribu KUFIKIRI nje ya Boksi. Panafuka moshi panaficha moto. DCEA muko wapi?
 

Mchoraji wa katuni maarufu nchini Tanzania na kimataifa ambaye pia ni mbunifu na mtangazaji wa vipindi vya redio na televisheni vyenye mvuto mkubwa kwa jamii, Bw. Ally Masoud Nyomwa anayejulikana zaidi kwa jina la Masoud Kipanya (KP), amafungua mashitaka Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala Ndogo ya Dar es Salaam) dhidi ya Bw. Burton Mwemba Mwijaku anayemtuhumu kumkashifu, kumshushia hadhi na heshima yake kupitia maandishi kwenye mitandao ya kijamii.

Mahakama Kuu imepokea na kuisajili kesi hiyo tarehe 05 Agosti 2024 ikiwa ni Petitition No. 18911 of 2024 ambayo amepangiwa Mheshimiwa Jaji David Ngunyale atakayeisikiliza kuanzia tarehe 03 Septemba 2024 ambapo mdaiwa au mlalamikiwa (Bw. Burton Mwijaku) ameshapelekewa wito wa kuitwa mahakamani (summons to file written statement of defence) na kutakiwa kuwasilisha maelezo ya utetezi ndani ya siku 21 tangu alipopokea huo wito au samansi.

Bw. Masoud Kipanya amemshitaki Bw. Burton Mwijaku kwa kumkashifu kwa maandishi mnamo tarehe 04 Juni 2024 kupitia ukurasa wake wa Facebook wenye utambulisho namba 108657908847651 na kwenye akaunti yake ya Instagram aliyoandika maneno ya uongo, yenye nia ovu na kumfedhehesha yakiwemo kwamba yeye KP anafanya biashara haramu inayoharibu maisha ya vijana wengi nchini.

Aidha, Bw. Masoud Kipanya anaeleza katika hati yake ya mashitaka kwamba Bw. Burton Mwijaku aliandika kwenye akaunti za mitandao tajwa kwamba yeye KP huwazodoa na kuwadhalilisha viongozi wa nchi na serikali hususani marais kwa kuhongwa.

Bw. Masoud Kipanya amesema maneno hayo ya uongo na yenye nia ovu yaliyochapishwa mitandaoni na kusomwa na watu wengi ndani ya jamii ya Tanzania na dunani kote, yametafsiri kwamba yeye KP ni sio mtu mwenye tabia nzuri wa kupewa heshima yoyote kwani hafai, anajihusisha na biashara haramu kama dawa za kulevya au nyara za serikali au magendo. Hivyo, kipato chake kinatokana na biashara hiyo haramu na sio uchoraji katuni, utangazaji, ubunifu, ubalozi wa masuala ya jamii, ukurugenzi wa bodi za taasisi mbalimbali kitaifa na kimataifa.

Bw. Masoud Kipanya kupitia mawakili wake wa kampuni yenye wanasheria wazoefu wa masuala ya habari na haki za binadamu Haki Kwanza Advocates amechambua katika vipengele 15 akifafanua maana ya maandishi ya Bw. Burton Mwijaku kwa tafsiri ya watu wa kawaida ndani ya jamii kwamba yeye KP anaonekana ni mla rushwa, jambazi, tapeli, laghai, asiyeaminika, chanzo cha vijana walioharibiwa maisha yao, na kwamba hapaswi kuhusishwa katika masuala yoyote ya kijamii ikiwemo kupewa fursa na kufanya kazi na taasisi za serikali ambazo amekuwa akijihusisha nazo hasa katika elimu na malezi ya vijana mashuleni na mitaani.

Kutokana na maandishi ya kashfa ya maneno ya uongo ya Bw. Burton Mwijaku aliyenukuliwa pia kukiri kufanya hivyo mbele ya vyombo vya habari mnamo tarehe 13 Juni 2024 alipoomba radhi bila kuchukua hatua ya dhati ya kumsafisha kimaandishi Bw. Masoud Kipanya, imemuathiri kiajira, kibiashara, kimahusiano ndani ya jamii ya Tanzania kuanzia kwenye familia yake, kisaikolojia na kumshushia hadhi na heshima aliyoijenga kwa "jasho na damu" kwa zaidi ya miaka thelathini na tano (35).

Bw. Masoud Kipanya anaiomba mahakama imuamurua Bw. Burton Mwijaku nafuu kumi na mbili (12) ikiwa ni pamoja na kumuamuru Bw. Burton Mwijaku amlipe fidia ya madhara halisia (specific damages) atakayothibitisha kwa ushahidi mahakamani kutokana na kashfa hiyo ya shilingi milioni mia tano (500,000,000/-) na fidia ya madahara ya jumla (general damages) yatakayopimwa na kuridhiwa na mahakama kwa mamlaka yake ya shilingi bilioni tano (5,000,000,000/-).

KP ameomba pia malipo ya kiadhabu kwa mdaiwa yaani punitive damages na kwamba malipo ya fidia ya madhara halisia yaambatane na riba ya asilimia thelathini na moja (31%) tangu kashfa ilipotolewa yaani tarehe 04 Juni 2024 hadi utekelezaji wa hukumu utakapokamilika.

Aidha, mdai Bw. Masoud Kipanya anaiomba mahakama katika hukumu yake itamke kwamba maneno yaliyoandikwa na kusambazwa na Bw. Buton Mwijaku yalikuwa ni ya uongo, yenye nia ovu na kuharibu hadhi na heshima yake. Mahakama imuamuru Bw. Mwijaku kuomba radhi bila masharti yoyote na kuondoa mitandaoni maneno ya kashfa yaliyoandikwa na kusambazwa.

Mahakama itamke na kumuamuri mdaiwa Bw. Burton Mwijaku, mawakala. wake, wasaidizi wake na mtu mwingine yeyote aliye katika mamlaka yake kutosambaza maneno hayo ya uongo na kashfa dhidi ya mdai Bw. Masoud Kipanya ambaye ameomba pia kulipwa gharama ya kesi ikwemo ya kuajiri mawakili na nafuu nyingine ambazo mahakama itaona ni haki na zinafaa apewe.

Pia soma

----
Ngoja sasa lifungwe jela likafir**we na wafungwa huko jela akili zilirudie. Kubwa jinga!
 
Baba levo ukimsikiliza kwa makinu utagundua sio mwehu kama anavyotaka tumuone,ile huwa ni mikakati tu.

Sasa huyo jamaa mwijaku yuko serious sana na neno kujichetua.
Ushamba nao unachangia, kwanza huyo mkewe kashamkabidhi kwa Ally?
Mke wake akiwa serious anachukua ghorofa, aende kumshtaki kwa kumdhalilisha.!!
 

Attachments

  • EA6C0F96-6E44-479C-839D-B65F993793F8.jpeg
    EA6C0F96-6E44-479C-839D-B65F993793F8.jpeg
    107.2 KB · Views: 3
Maoni ya baadhi ya watu ni kwamba Mwijaku huenda akasaidiwa kumaliza kesi na vigogo serikalini kwasababu ya uchawa wake kwao

Najaribu kujiuliza, hawa viongozi wanaomuendekeza huyu Mwijaku anafaida gani kwao?

Mwijaku anaushawishi gani kwa vijana ambao una tija kwao na kwa jamii?

Hao vigogo wanaomlinda wanaitakia mema nchi yetu kweli? Vitendo vingi anavyofanya Mwijaku ni vya kukemewa na kila mtu mwenye akili timamu

Nilishangaa hata nilipoona Mtaka naye anamtaja Mwijaku kwa kumsifia eti kisa kamjengea nyumba Mama yake.

Kwani hata mashoga nao si wanapata pesa? Malaya pia si wanapata pesa? Wakijenga nyumba kwa pesa za ushoga, umalaya, rushwa, madawa nk tuwasifie na kuhamasisha vijana kuwaiga?

Inafikirisha sana

Masoud Kipanya akomae na hii kesi kwasababu makampuni au taasisi za kimataifa anazofanya nazo kazi au anaweza kupata kazi kwenye moja ya taasisi kubwa, halafu akawa disqualified kwa maneno yaliyowahi kusemwa na mpuuzi mmoja tu.

Naamini shida yake kubwa sio hizo pesa kwasababu yeye mwenyewe anajua hawezi kuzipata, shida yake kubwa ni mahakama imsafishe na kufuta kilichosemwa kiutaratibu kwa ajili ya kulinda brand yake leo na kesho
Penye tajiri lazima mpambe au chawa awepo, hata katika wafalme wa zamani walikuwa na machawa wao.....kazi ya watu kama kina mwijaku huwezi kuiona kwa hao matajiri kwa haraka haraka, wanatumika kirahisi kujua privacies za matajiri wengine kwa wengine (habari za tajiri muulize masikini)....
 
Amevuka mipaka kwa kumchafua mtu brand reputation, huwezi toa tuhuma kirahisi rahisi kwa kudeligates wazi kuwa mtu fulani ambaye ni public figure anauza drugs......
 
Back
Top Bottom