Kipanya amshtaki Mwijaku rasmi Mahakama Kuu, adai malipo mengine ya Tsh. Milioni 500

Kipanya amshtaki Mwijaku rasmi Mahakama Kuu, adai malipo mengine ya Tsh. Milioni 500

Maoni ya baadhi ya watu ni kwamba Mwijaku huenda akasaidiwa kumaliza kesi na vigogo serikalini kwasababu ya uchawa wake kwao

Najaribu kujiuliza, hawa viongozi wanaomuendekeza huyu Mwijaku anafaida gani kwao?

Mwijaku anaushawishi gani kwa vijana ambao una tija kwao na kwa jamii?

Hao vigogo wanaomlinda wanaitakia mema nchi yetu kweli? Vitendo vingi anavyofanya Mwijaku ni vya kukemewa na kila mtu mwenye akili timamu

Nilishangaa hata nilipoona Mtaka naye anamtaja Mwijaku kwa kumsifia eti kisa kamjengea nyumba Mama yake.

Kwani hata mashoga nao si wanapata pesa? Malaya pia si wanapata pesa? Wakijenga nyumba kwa pesa za ushoga, umalaya, rushwa, madawa nk tuwasifie na kuhamasisha vijana kuwaiga?

Inafikirisha sana

Masoud Kipanya akomae na hii kesi kwasababu makampuni au taasisi za kimataifa anazofanya nazo kazi au anaweza kupata kazi kwenye moja ya taasisi kubwa, halafu akawa disqualified kwa maneno yaliyowahi kusemwa na mpuuzi mmoja tu.

Naamini shida yake kubwa sio hizo pesa kwasababu yeye mwenyewe anajua hawezi kuzipata, shida yake kubwa ni mahakama imsafishe na kufuta kilichosemwa kiutaratibu kwa ajili ya kulinda brand yake leo na kesho
 
Nilitamani ampotezee sema KP akiipotezea hiyo ishu itaonekana kweli anafanya mambo ya sembe sema wahuni kama Mwijaku ni wa kuwapotezea tu ila kwenye hii ishu inaonekana wana bifu la chini chini kitambo sana.
Hii ni Vita ya Clouds FM ambapo pia Mmiliki wake ana Hisa Kubwa na Wasafi FM ya Diamond Platinumz dhidi ya Crown Media ya Hasimu mkubwa wa Diamond Platinumz Mtoto wa Mjini na Kariakoo Ali Kiba. Ali Kiba kawakomba sana Watangazaji wa both Clouds FM na Wasafi FM.

Na kinachotafutwa hasa hapa ni Kumfanya Ali Kiba ( ambaye ndiyo Boss wa Mwijaku ) aogope Media yake Kuchafuka na aachane na Mwijaku ili Wao ( Clouds Media Group na Wasafi Media Group ) washangilie Ushindi na Lengo Kuu liwe limefikiwa.

Chukua hii Mkuu.
 
Hii kesi itayeyuka tu. Miaka ya zamani Ruge alimbana pabaya Shigongo kwa kumwandika vibaya kwenye magazeti yake na kweli Shigongo ilikuwa inakula kwake ila JK akaimaliza juu kwa juu. Na kwa jinsi Mwijaku alivyo karibu na vigogo hii kesi haitafika popote.
HAKI JINAI.
 
KIPANYA AJITAFAKARI,

MTU ALIKOSEA

AKAGUNDUA ALIKUKOSEA

AKAITISHA VYOMBO VYA HABARI KWA GHARAMA ZAKE

AKAKUOMBA RADHI HADHARANI.

LAKINI WEWE BADO UMELISHIKILIA , HUU SIYO UBINADAMU NA WALA SIYO UCHA MUNGU.

NA KAMA ANA DINI YAKE BASI BORA AACHE KWENDA KUSWALI .

MUNGU ANAAGIZA BINADAMU KUSAMEHEANA .MTU KAKUOMBA RADHI MBELE YA WANDISHI WA HABARI.
Ujue tatizo sio kusamehe ........tatizo mwijaku anatakiwa kukaa jera hata 5yrs tu akitoka atakuwa mtu mwingine ........maaana anataka kujiona kama alizaliwa kwenye umaarufu hapa mjini.......wakati katoka kigoma kawakuta watu wapo mjini wanaishi maisha yaoo............na akienda jera mkewe akute kashazalishwa.............
 
Ujue tatizo sio kusamehe ........tatizo mwijaku anatakiwa kukaa jera hata 5yrs tu akitoka atakuwa mtu mwingine ........maaana anataka kujiona kama alizaliwa kwenye umaarufu hapa mjini.......wakati katoka kigoma kawakuta watu wapo mjini wanaishi maisha yaoo............na akienda jera mkewe akute kashazalishwa.............
Wivu ,

Kaomba msamaha shida ipo wapi?

Mimi binafsi mtu akiomba msamaha kwangu ugomvi unaisha hapo hapo
 
Masiku kadhaa nyuma, Bigi na Blevo walimwambia jamaa unavuka mipaka siku utayatimba kwa wahuni wa mjini hawatakuonea huruma.
Tukacheka sana na jamaa kama kawaida yake akakaza fuvu na kujitamba mtoto wa mama.
Nikasema ayayaaaa, ubaya ubwege HALAAA

Hallelujah!!!
 
Mimi kwa kweli ananikwaza mbona wenzie kina baba levo hawajichetui kwa kuwavunjia watu heshima za kashfa za kijinga??
Unamwambia mtu anajihusisha na drugs hivi anamuweka kwenye nafasi gani kwenye jamii na watu waliomuamini??

Hapana hili jinga lichukuliwe hatua kali zaidi ili iwe fundisho.!
Anapewa attention sana, sasa anahisi kila muda inabidi atrend, kila siku sje na tukio. Shida inaanzia hapo.

Babalevo naona ana projects mbalimbali nje ya huo uchawa ambao haupromote kama ilivyokua mwanzo.
Huyu bwana uchawa kaifanya ajira rasmi, nimemskia akimuweka rehani mkewe iwapi simba itafungwa leo 😂😂
 
Anapewa attention sana, sasa anahisi kila muda inabidi atrend, kila siku sje na tukio. Shida inaanzia hapo.

Babalevo naona ana projects mbalimbali nje ya huo uchawa ambao haupromote kama ilivyokua mwanzo.
Huyu bwana uchawa kaifanya ajira rasmi, nimemskia akimuweka rehani mkewe iwapi simba itafungwa leo 😂😂
Ni mpumbavu huo uchawa wake isiwe chanzo cha kuwavunjia watu heshima zao kwa jamii..!!

Na hiyo ya mke wake naombea waungwana wafanye kweli ili akili imkae sawa.!!
Hata huyo mkewe anamchekea na uchizi wake, amemdharau sana kumuweka bond kisa ushabiki wa sifa sifa za kijinga.!!
 
Back
Top Bottom