Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 1,384
- 2,880
Lazima auuze lile NDUKU mgese yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda serikali imlipe KP kwaniaba ya mwijaku ..... Kikwete aliwabudu kwakuwa wanaccm watupuHii kesi itayeyuka tu. Miaka ya zamani Ruge alimbana pabaya Shigongo kwa kumwandika vibaya kwenye magazeti yake na kweli Shigongo ilikuwa inakula kwake ila JK akaimaliza juu kwa juu. Na kwa jinsi Mwijaku alivyo karibu na vigogo hii kesi haitafika popote.
ThibitishaKP mbona kweli anajihusisha na biashara haramu
Ndiyo mkathibitishe mahakamani sasaKP mbona kweli anajihusisha na biashara haramu
Una uthibitisho bwana mdogo uulete?KP mbona kweli anajihusisha na biashara haramu
Thibitisha
Ndiyo mkathibitishe mahakamani sasa
Ova
Mwijaku akikosa pakutokea niko tayari kumsaidia na nitatoa ushahidi anitafute kwa muda wakeUna uthibitisho bwana mdogo uulete?
Atakukuta wapi sasa jina lenyewe unatumia Id fake? Toka hadharani kamanda ili tulinusuru taifa na hawa wapiga dili haramuMwijaku akikosa pakutokea niko tayari kumsaidia na nitatoa ushahidi anitafute kwa muda wake
Hatari, kwahiyo ngada au meno ya tembo?Mwijaku akikosa pakutokea niko tayari kumsaidia na nitatoa ushahidi anitafute kwa muda wake
Atakukuta wapi sasa jina lenyewe unatumia Id fake? Toka hadharani kamanda ili tulinusuru taifa na hawa wapiga dili haramu
Jamaa hakuropoka tu bila sababu aliropoka kitu ambacho kipo sema alichokosea ni kuropoka bila ushahidi na ndo hapo jamaa atamnyongea ila alichokisema hajasingizia.Hatari, kwahiyo ngada au meno ya tembo?
Wewe umesema una ushahidi ulete hata hapa jf kwa hiyo hiyo Id fake, upload mambo kama picha, secret docs n.k ili umwokoe Mwijaku otherwise huo utakuwa umbeyaJamaa hakuropoka tu bila sababu aliropoka kitu ambacho kipo sema alichokosea ni kuropoka bila ushahidi na ndo hapo jamaa atamnyongea ila alichokisema hajasingizia.
Itabidi niifuatilie hii movie nione mwisho wake... inaonekana itakua tamu sana huko mbeleJamaa hakuropoka tu bila sababu aliropoka kitu ambacho kipo sema alichokosea ni kuropoka bila ushahidi na ndo hapo jamaa atamnyongea ila alichokisema hajasingizia.
DuhMwijaku akikosa pakutokea niko tayari kumsaidia na nitatoa ushahidi anitafute kwa muda wake